soko la mahindi

  1. ngara23

    Serikali tutafutie wanunuzi wa mahindi

    Huku vijijini tumevuna mahindi Mahindi yapo mengi mno. Wakulima hatuna wanunuzi wa mazao haya ya mahindi, Sasa tunavuna na msimu wa kupanda unaanza tunapanda tukiwa na mahindi mengi ndani Tunawekeza pesa, nguvu na muda kulima ila tukivuna tunakosa bei na hata wateja wa bei ndogo hatuwaoni...
Back
Top Bottom