Solar capacity additions to accelerate with 85-90 GW projected for FY26-27: Report
New Delhi: Solar capacity additions in India will accelerate in the Financial Ye ..
Read more at:
Solar capacity additions to accelerate with 85-90 GW projected for FY26-27: Report - ET EnergyWorld
Wadau ninataka kununua TAA za kushika mkononi za SOLAR kwa ajili ya dharura pindi umeme unapokatika.
Naomba ushauri ninunue AINA GANI maan nyingi ni Vimeo. Nahitaji itakayowaka muda mrefu ikiwa full charged angalau masaa 12 na kuendelea.
Au km kuna yeyote aliewahi kutumia hii hapa chini (D...
Habari wana JF
Solar power system yenye uwezo wa kuwasha nyumba nzima inauzwa TShs7.5M. Maongezi yapo
Specifications 5kw inverter, 10kw battery and 2,000watts solar panel zenye ukubwa sawa na ceiling board yaan 1.2m X 2.4m
Ni mpya kabisa kutoka China bado kwny box kama inavyoonekana.
Ipo Tabata...
Habari Wakuu,,
Kutokana na changamoto ya kukatikakatika umeme huku ninakoishi, Sasa nimeamua kununua solar(Umeme wa Jua).
Hivyo basi, kutokana na shughuli zangu huwa narudi nyakati za usiku home, kuanzia mida ya 1:30 - 2:00 usiku na familia yangu imeindoka kwa muda.
Nahitaji nipate kifaa...
SU VASTIKA SOLAR INVERTER
SU-VASTIKA
Inverter kutoka India zenya ubora wa hali ya juu
Kwa sasa zinapatikana dukani kwetu zipo size kwanzia 850VA hadi 5500VA
Warranty ipo.. karibu sana ndugu mteja
0653 615 773
Solar water pump, zinapatikana kwa bei ya punguzo.
Ili kujua bei na pampu inayokufaa tupe maelezo yafuatayo
-Aina ya chanzo cha maji.
-umbali toka chanzo hadi maji yapohitajika kufika.
-mwiunuko upo au haupo,
-urefu wa kisima .
-na matumiz ya kilimo au matumiz ya nyumbani.
Kumbuka pampu zetu...
Habari za wakati huu wana Jf naomba kujuzwa undani wa biashara hii ya solar panels kwa hapa nchini kwetu Tanzania, Vifaa vitegemeavyo solar power na ni kwa kiwango gani solar system and panels zinahitajika Nchini Tanzania(Maeneo yapi nchini) na ni kwa matumizi yapi?
Wataalamu/wazoefu naomba kujua hii kitu inawezekana? Au kuna njia nyingne ya kuendesha freezer nje ya umeme?
Kuna sehemu nataka niweka banda la chuma yale ya kuhamishika kwa biashara, nahitaji kuweka fridge(SIO FREEZER) ya 340 ltr, umeme kuufikisha ni kipengele...
Je naweza funga Solar power...
Niko mbioni kununua pikipiki au baiskeli hizi za kuchaji. Hii ninayotaka kununua inatembea km 60 then ndo itatakiwa ichajiwe. Sasa nilichokiwaza ni hiki, vipi kama hiki kifaa nikikiunganisha na solar panel ya watt 100 ambayo itakuwa kama paa, so itanikinga Kwa jua. Then nifunge na charger...
Mwenye kujua ubora wa taa za solar kwa ajili ya security light nje nahitaji kujua brand zilizo bora, je, Watts ni kigezo cha bei?
Ni kweli unaweza kuwa na solar ya 2000Wats ikiwa combined na pannel? Kuna mahali nimeiona inauzwa Tsh. 150,000.
Naomba ushauri pia wa vitu gani kuzingatia kabla...
Tanzania, a land bathed in sunshine, holds immense potential to harness the power of the sun. "Future of Tanzania in Solar Energy" is not just a hopeful vision, but a call to action. By embracing solar energy through strategic partnerships with international energy companies, Tanzania can...
Furahia umeme wa nishati ya jua (Solar Energy) kwa gharama nafuu ambazo zitakupunguzia ulipaji wa bili kubwa za umeme,utumiaji mkubwa wa mafuta kwa ajiri ya uendeshaji wa pump za maji.Karibu tukufungie Automatic Power Backup System,Solar Pumping System za gharama nafuu kabisa.
Tunapatikana...
Mwaka huu kutatokea tukio la kupatwa kwa jua ila kwa huku Tanzania hatutaliona vizur kama watu wa Mexico na Marekani
Ila imekunimbusha tukio kama hili nililishuhudia na nikiwa na utimamu wa akili kuanzia mida ya saa saba mpaka saa tisa kulikua na kivuli flani hivi japokua jua lilikua linawaka...
Kama kichwa kilivyojieleza,
Sina uzoefu na mambo ya back up system, shida kila muuzaji unaemuuliza anakupa majibu yake kutetea maslahi
Jamii form najua ina watu wenye maarifa na haya mambo nitumie kama muongozo.
Battery na invertor capacity gani vinaweza kurun 140Watts kwa masaa 7-10? Bei...
Hali ni tete, joto kali umeme hakuna,
Naomba kufahamu badget inayotosha kupata umeme wa solar ambao unaweza kuchukua majukumu yote ya TANESCO
1. Taa
2. Feni tatu na AC 1,
3. Fridge
4. TV mbili
5. Computer mbili za desktop
6. Oven ila haitumik mara nyingi
Yaweza ni cost kiasi gani?
Kwa wale walio karibu na
Mikoa ya Mbeya au Songwe na una miliki Mtambo wa Solar power basi nahitaji tafadhari.
Kama ni unahama kwenda Mkoa mwingine au una shida tu kidogo.
Basi mteja nipo hapa naomba tuwasiliane.
Ukubwa wa Mtambo wa Sola nahitaji ni kuanzia:-
Battery N70 & Solar Panel Watt100...
A Our Solar System
a.( Planets circling the sun)
The Sun
1. Mercury
2. Venus
3. Earth
4. Mars
the asteroid belt
5. Jupiter
6. Saturn
7. Uranus
8. Neptune
Mpaka hapo nadhani tuko pamoja.
Pleiades Constellation
b(solar systems circling Alcione)
Alcione
1. Marope
2. Atlas
3. Maya
4. Electra
5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.