solar

  1. Zacht

    Kilimo cha umwagiliaji kwa solar

    Habari zenu wakuu, Binafsi kilomo kwangu kipo damuni hio inatokana kwanza Mimi ni mzaliwa wa morogoro lakini kubwa zaidi ni mtoto wa mkulima lakini hio haijanifanya kuwa mkulima Bora. So nipo mbele yenu wakuu naomba msaada wa kimawazo, kule kwetu moro tunalima mazao mengi Sana ya umwagiliaji...
  2. N

    INAUZWA Solar PTZ Camera

    4G SOLAR PTZ CAMERA Available, built in Simcard slot, mobile view access, no need of electricity or wifi/ internet Free delivery Condition: New Location: Kinondoni Studio Price: 495,000/= Call/ Whatsapp 0656190449/ 0745146690
  3. C

    Kufa kufaana: Biashara ya majenereta na solar yapamba moto Mwanza

    Ni kutokana na mgao wa kimyakimya unaoendelea kwa kishindo jijini mwanza,wanyonge wananunua solar na generators kwa kasi kabisa Wafanyabiashara wa bidhaa hizo wengi wanaishukuru awamu ya sitaa kwa opportunity hiyo na wameahidi kulipa Kodi kwa kutoa risiti halali
  4. A

    Naomba ushauri wa Kitaalamu kuhusu solar

    Habarini, Nimenunua solar watt 40 sasa nataka kununua betri na chager controller. Naomba ushauri wa kitaalamu kwa anaefahamu hapo natakiwa kununua betri yenye ukubwa gani na hiyo chager controller yenye ukubwa gani ambavyo vitaendana na ukubwa wa hyo solar watt40?
  5. Z

    Natafuta Mtaalam wa Solar system/Products ambaye anaweza kuwa business Partner

    Wadau Nimepewa nafasi ya kuwa sole distributor wa solar solutions/products kutoka wa manufacturer wa china, mimi sina utaalam wa hiyo makitu . Sasa kabla ya kufanya any commitment na kuingia mkataba na manufacturer, nahitaji mtaalam ambaye tunaweza tukashirikiana (partners in business)...
  6. kimsboy

    Muulizeni Tony Blair ziko wapi solar alizosema atagawa kwa sekondari zote nchini za vijijini?

    Nisaidieni kumuuliza Rais Samia atuambie zile Solar tony blair aliahidi atagawa kwa shule zote za sekondari za vijijini imeishia wapi? Aliahidi toka mwaka 2013 hadi leo hatujaona kitu Pia alipewa tuzo kama mtetezi bora wa mashoga kwa miaka 30 mfululizo Habari kamili hiyo...
  7. M

    Ninaanza kutumia solar badala ya umeme nyumbani

    Salamu Wakuu, Je, ninahitaji solar power yenye ukubwa gani inawasha Tv, kingamuzi, pasi, fridge na taa 5? Nimechoka luku. Naomba kufahamishwa tafadhali
  8. M

    Migori County Hybrid Solar System Installation( 5.76Kw)

Back
Top Bottom