sony

Sony Corporation (ソニー株式会社, Sonī kabushiki gaisha, SOH-nee, commonly known as Sony and stylized as SONY) is a Japanese multinational conglomerate corporation headquartered in Kōnan, Minato, Tokyo. The company operates as one of the world's largest manufacturers of consumer and professional electronic products, the largest video game console company, the second largest video game publisher, the second largest record company, as well as one of the most comprehensive media companies.Sony, with its 50 percent market share in the image sensor market, is among the semiconductor sales leaders and, as of 2015, the fifth-largest television manufacturer in the world by annual sales figures. It is the world's largest player in the premium TV market, a market for a television of at least 55 inches with a price higher than $2,500.Sony Corporation is the holding company of the Sony Group (ソニー・グループ, Sonī Gurūpu), which comprises Sony Electronics, Sony Semiconductor Solutions, Sony Pictures, Sony Music, Sony Interactive Entertainment, Sony Financial Holdings, and others.
The company's slogan is Be Moved. Their former slogans were The One and Only (1979–1982), It's a Sony (1982–2005), like.no.other (2005–2009) and make.believe (2009–2013).Sony has a weak tie to the Sumitomo Mitsui Financial Group (SMFG) corporate group, the successor to the Mitsui group. Sony is listed on the Tokyo Stock Exchange (in which it is a constituent of the Nikkei 225 and TOPIX Core30 indexes) with an additional listing in the form of American depositary receipts listed in the New York Stock Exchange (traded since 1970, making it the oldest Japanese company to be listed in an American exchange), and was ranked 122th on the 2020 Fortune Global 500 list.

View More On Wikipedia.org
  1. Teknolojia ni Yetu sote

    Mwaka 2078 game za playstation zitakuwa ndani ya mwili wa binadamu

    Mwaka 2000 Sony walitoa utabiri wa Ps9 itakavyokuwa mwaka 2078 Sijui mwaka 2000 ulikua wapi ? Na umri Gani ? Lakini mnamo mwaka 2000 Sony waliweza kutoa Tangazo la biashara la kushangaza ambalo linaloonyesha jinsi Playstation itavyokuwa miaka ijayo. Inasemekana mpaka kufikia mwaka 2078...
  2. Barantogwa

    MSAADA : SIMU YANGU AINA YA SONY SO 41B HAIPANDISHI MTANDO WA INTERNET.

    Wakuu nahitaji msaada, nina simu yangu Aina ya Sony so41b imekuwa haipandi mtandao wa intranet toka juzi, Chanzo cha tatizo kuna dogo nilipa alikuwa nataka kufanya mawasiliano na mtu, kumbe aliichezea mfumo wa setting hadi akawa ame backup hivyo kupelekea kila kitu kufutika. Nimejalibu kufanya...
  3. S

    Phone4Sale Tunauza simu

    LG style 3 Ram 4gb Storage 64gb Clean Bei 250,000/= Ubungo darajani 0️⃣6️⃣9️⃣3️⃣1️⃣7️⃣6️⃣1️⃣9️⃣7️⃣
  4. Mbabani

    Msaada Sony xz1

    Habari wakuu. Napata shida kutumia simu aina ya Sony xz1. Kila nikitaka kununua kifurushi inatakiwa niwashe data. Hata kama nabonyeza menu ya M PESA (*150*00#) JE NIFANYEJE?
  5. Lord Lofa

    Sony kuzindua PS5 Pro Novemba

    Wadau wa teknolojia ya gaming, leo Sony wametoa wasilisho la kitaalamu kuhusu sifa za Ps5 Pro ambayo itazinduliwa rasmi Novemba 7, kwa wale wa pre order dirisha litafungufuliwa 26 septemba, na Bei katika maduka yao itaanza kwa $699 tu, hiyo ikiwa ni version isiyo support disc...
  6. Msela Wa Kitaa

    Msaada Wa Jinsi Ya Kuwasha Data kwenye simu ya Sony SOV39

    Msaada tutani wakuu nimsaidie jamaa yangu Sehemu ya data ipo on lakini kwenye screen haionekani kuwa on, hata ukiingia mtandaoni hapafunguki
  7. Rumi96

    Phone4Sale Nahitaji simu second hand, Vivo, Oppo au Sony.

    Wakuu, hoping mko salama. Nahitaji simu second hand, isiwe ya wizi, ikiwa na receipt au used toka nje itakua vema zaidi. Iwe miongoni mwa brands tajwa hapo juu. Specs 1. Resolution iwe na 1080x2400 au zaidi 2. RAM 6 au above storage 128. 3. Battery 4000 au above 4. Dual simu (ikiwa na esim)...
  8. jahanbaksh

    Chukua Infinix Smart 7 au Sony Experia 8 kwa 170 na 180

    Sony Experia 8 Rom 64 GB PRICE 180
  9. L

    Iphone X kwa bei ya 485,000 used from dubai

    Karibuni boss zangu. Iphone X zipo za kutosha tupo kariakoo .storage 64gb,256gb . Kwa mawasiliano piga 0695022051 Whatsapp 0734123440
  10. Basi Nenda

    Natafuta spare ya Sony MHC-GNZ7D

    Ningependa kufahamu ni wapi hasa nitaweza kupata spare ya Radio Sony MHC-GNZ7D, spare ninayohitaji ni part yote ya mbele ya Radio,kuanzia chini ya cd door mpaka milango ya tape cassette hapo chini, kwa kifupi ni kwamba Radio imepasuka sehemu yote ya milango ya tape sasa nataka kuirudisha...
  11. NetMaster

    Nitoe tahadhari kwa mnaotaka kununua simu za Sony Xperia Z1, Ni bei rahisi kamera kali ila utajuta kwenye Network.

    Ni kwa toleo lile lilioandika nyuma Docomo kutoka Japan - SO-O1K. niliwahi kununua simu hii yani kamera ni kali, ram si 4gb, battery inachaji fasta na inakaa, simu ngumu, n.k ila kwenye network sasa!! ukiwa mjini centre utaiona simu iko poa kabisa inashika 4g+ ni ngumu kujua kuna tatizo...
  12. BARD AI

    Familia yaridhia Sony Music Africa waachie album mpya ya AKA

    Timu ya Rapa #AKA kwa kushirikiana na Kampuni za Kusimamia Kazi za Sanaa Sony Music Entertainment na The T Effect zimepata baraka za familia ya #JarrydForbes kuachia albam kama alivyopanga mwenyewe. Mkurugenzi Mtendaji wa #SonyMusicAfrica, Sean Watson amesema “Mioyo yetu imevunjika, tumepoteza...
  13. CORAL

    Sony na teknolojia ya S-Force Front Surround, Sound Pressure Horn

    Utazamaji wa filamu wa sasa sio kama ule wa zamani ambapo unasimuliwa matukio kwa kutumia picha zinazosonga (movie) na sauti kwenye mifumo ya stereo ukiwa umeketi sebuleni au kwenye ukumbi wa sinema bali sasa surround sound technology kujumlisha na video za 3D imewezesha mtu ‘kupelekwa kwenye...
  14. Mr_S

    INAUZWA Sony Playstation 3 (PS3) inauzwa

    Sony PlayStation 3 (PS3) inauzwa. Imetumika kwa mwezi mmoja (1) *Ina HDD yenye 250 GB. *Inakuja na padi mbili (2) *Inakuja na waya wa power, waya wa HDMI na nyaya mbili (2) za kuchajia padi. *Ina games tisa (9) ndani: AC: Black flag, AC: Rogue, Metal Gear Solid, Tomb rider, Injustice, Blur, PES...
  15. Mr_S

    INAUZWA Sony Playstation 3

    Sony Playstation 3 inauzwa. Imetumika kwa muda wa miezi minne tu. ->HAINA TATIZO(KIPENGELE) chochote ->Imechipiwa na ina game zaidi ya 6 ndani. ->Nakupa na padi mbili, waya wa kuchajia padi na waya wa power. ->Bei: 280,000/- Kwa mawasiliano nicheki, simu/WhatsApp: +255 688 841884
  16. Zogolo1550

    Phone4Sale Sony Xperia XZ1

    Sony xperia xz1 inauzwa. RAM 4GB na storage 64GB 200000TZS 0758700852
  17. Mad Max

    Wapenzi wa Muziki Mzuri: Home Theatre ya Sony vs Soundbar ya Hisense

    Wakuu Mambo. Nataka kununua kati ya Home Theater ya Sony DAV TZ 140 5.1 au Sound Bar ya Hisense HS 281 2.1 Zote mbili bei zinafanana approximately Tsh 450,000/= kila moja. Sony Home Theatre hiyo hapo, Wat 320. Nimeona haina Bluetooth connectivity sijui itafaa? Na Hapa chini ni Hisense...
  18. man pog

    Young Lunya kusainiwa Sony

    Hivi mnaonaje kuhusu huyu mwamba Young Lunya kusainiwa Sony music Africa kunaweza kuwa na faida kwake au ndo amepoteza maana kwa kumbukumbu za haraka haraka ni kwamba wasanii wengi wa Tanzania walio sainiwa na label hiyo wengi wamepotea mfano Baraka da prince, Vanessa Mdee, Ommy Dimopzi...
  19. mbinda_smartphones

    Phone4Sale Tunauza simu aina mbalimbali

    Sony Xperia XZ1 || 4GB RAM || 64GB Storage || Free Cover & USB || Used From Dubai || Price 220,000/= Call: 0765 683 574 Instagram mbinda_smartphones
  20. Mr_Plan

    Mwenye uelewa na simu aina ya Sony Exeria XZS

    Mwenye Uelewa na simu aina ya Sony Xperia Xzs Atupe review yake
Back
Top Bottom