In physics, sound is a vibration that propagates as an acoustic wave, through a transmission medium such as a gas, liquid or solid.
In human physiology and psychology, sound is the reception of such waves and their perception by the brain. Only acoustic waves that have frequencies lying between about 20 Hz and 20 kHz, the audio frequency range, elicit an auditory percept in humans. In air at atmospheric pressure, these represent sound waves with wavelengths of 17 meters (56 ft) to 1.7 centimetres (0.67 in). Sound waves above 20 kHz are known as ultrasound and are not audible to humans. Sound waves below 20 Hz are known as infrasound. Different animal species have varying hearing ranges.
Juzi kati hapa nilitaka kununua sound bar nzuri jamaa yangu akanishauri ninunue za JBL kua ni nzuri sana.
Katika kufanya window shopping hapa Dar nikaenda Mlimani city nikauliza bei nikaambiwa, kisha nikaenda maduka mengine yako Sinza na mengine online nikapata bei.
Sasa kabla sijaamua kununua...
Original imenunuliwa Nje na imetumika kwa mda mfupi.Bei yake ni Shillingi 350,000.Kama unauhitaji tupigie simu au tuma meseji namba 0742662669.Napitikana Dar es Salam Mwananyamala Komakoma karibu na CRDB bank
Home Theater, Sound Bar na HI-Fi Music kilicho Bora kwa Wapenda music Majumbani. kwa wale ambao tunapenda music..... je kati ya hivi vitu ni kipi ni bora ? tuweze saidiana kama mtu anataka kununua music system ninunue kipi katika ya hivyo.
Habari wakuu.
Naomba kufahamu kwa hapa Dar napata wapi Sound Bars za viwango za kampuni ya JBL.
Nimejaribu Mlimani city ila nikakuta wana options chache. Naomba kujua dedicated shop ya sound bars za JBL.
Ahsante sana.
Like seriously can a management team amend the WBS of a designed project? Do these people understand contract consideration and the significance of WBS in the first place.
I can understand the weakness on supervision matrix from TANESCO’s side just by listening to those two bozzos (i.e the...
Habari wakubwa. Nauza Mziki wa Club, Used 5 years, Umetumika kwenye Club Nauza full kama ulivyo kila kitu chake. Bei sawa na bure.
Unafaa wamiliki wa Bar, Club, au wapiga sherehe au hata kwaajili ya majukwaa.
CLUB MUSIC SOUND
MILIONI 25,000,000 tu.
Milioni 25.
Bei inaongeleka kidogo.
Inakuja...
Wakuu kwema humu jukwaani jana litok kununua studio microphone kuifunga ikawa inatoa sauti kama ya upepo shhhhhhhh.
Nilikua naomba kujuzwa namna ya kuiondoa au mic itakua chenga. natumia mixer ya yamaha na desktop chumba akiingizi sauti za nje ni sound proof
Habari wanajamii.
Mwaka jana mwezi wa Desemba nilikuwa naangalia filamu iliyotafsiriwa na Ahmada Abdulrahman maarufu kama Dj Mark nikajiuliza inashindikana nini kuingiza sauti za Kiswahili kama wanavyofanya Azam tv kwenye tamthilia zao kama Sultan, Jamai raja na Kufli. Jibu ni kwamba gharama ya...
Nimeipitia hii albumb,binafsi nyimbo mbili au tatu tu ndo nimeziona kidogo ziko vizuri,Zamani, Mama na Lala ft Jux kiasi,..nyingine zote hazina maajabu,watoto wa mjini siku hizi wanaita "utopolo"
Hitimisho:Binafsi EP ya Flowers was the best kuliko hii albumb ya hovyo kabisa tangu kuzaliwa...
Eti huu wimbo, unaweza kuwa umerekodiwa wakati wa kuteneneza video? Yani hii video na audi vimefanyika wakati mmoja, vyombo vikipigwa live kama inavyoonekana. Au ni kwamba wamerekodi video wakaimba ila audio ikawa replaced na audio waliosharekodi kwenye studio.
Napenda huyo mpiga drum...
RecordPad Sound Recorder,
wakuu mwenye kuwa na reg key ya hii kitu hapo juu tafadhari.nimeshindwa kuinunua online maana sijui. mwenye kunisaidia tafadhari
Habari,
Navutiwa sana kupiga mziki hasa kwenye halaiki. Natumia simu na power-mixer huku watu wanapiga mziki kishamba sana.
Au telegram channel ambayo inahusisha haya mambo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.