sound

In physics, sound is a vibration that propagates as an acoustic wave, through a transmission medium such as a gas, liquid or solid.
In human physiology and psychology, sound is the reception of such waves and their perception by the brain. Only acoustic waves that have frequencies lying between about 20 Hz and 20 kHz, the audio frequency range, elicit an auditory percept in humans. In air at atmospheric pressure, these represent sound waves with wavelengths of 17 meters (56 ft) to 1.7 centimetres (0.67 in). Sound waves above 20 kHz are known as ultrasound and are not audible to humans. Sound waves below 20 Hz are known as infrasound. Different animal species have varying hearing ranges.

View More On Wikipedia.org
  1. Mukulu wa Bakulu

    Sound Bars za JBL

    Juzi kati hapa nilitaka kununua sound bar nzuri jamaa yangu akanishauri ninunue za JBL kua ni nzuri sana. Katika kufanya window shopping hapa Dar nikaenda Mlimani city nikauliza bei nikaambiwa, kisha nikaenda maduka mengine yako Sinza na mengine online nikapata bei. Sasa kabla sijaamua kununua...
  2. M

    INAUZWA Philips Sound Bar Music systeam

    p
  3. Faana

    President Nyerere in Britain - Colour - sound

  4. W

    Used Pioneer Amplifier 1000watts inauzwa

    Original imenunuliwa Nje na imetumika kwa mda mfupi.Bei yake ni Shillingi 350,000.Kama unauhitaji tupigie simu au tuma meseji namba 0742662669.Napitikana Dar es Salam Mwananyamala Komakoma karibu na CRDB bank
  5. Mtu Asiyejulikana

    Home Theater, Sound Bar na HI-Fi Music kilicho Bora kwa Wapenda music Majumbani

    Home Theater, Sound Bar na HI-Fi Music kilicho Bora kwa Wapenda music Majumbani. kwa wale ambao tunapenda music..... je kati ya hivi vitu ni kipi ni bora ? tuweze saidiana kama mtu anataka kununua music system ninunue kipi katika ya hivyo.
  6. The Assassin

    Kwa hapa Dar napata wapi Sound Bars za JBL

    Habari wakuu. Naomba kufahamu kwa hapa Dar napata wapi Sound Bars za viwango za kampuni ya JBL. Nimejaribu Mlimani city ila nikakuta wana options chache. Naomba kujua dedicated shop ya sound bars za JBL. Ahsante sana.
  7. Eric Cartman

    How stupid do these people sound? If you know anything about Project Management

    Like seriously can a management team amend the WBS of a designed project? Do these people understand contract consideration and the significance of WBS in the first place. I can understand the weakness on supervision matrix from TANESCO’s side just by listening to those two bozzos (i.e the...
  8. Chance ndoto

    INAUZWA Nauza Mziki wa Club

    Habari wakubwa. Nauza Mziki wa Club, Used 5 years, Umetumika kwenye Club Nauza full kama ulivyo kila kitu chake. Bei sawa na bure. Unafaa wamiliki wa Bar, Club, au wapiga sherehe au hata kwaajili ya majukwaa. CLUB MUSIC SOUND MILIONI 25,000,000 tu. Milioni 25. Bei inaongeleka kidogo. Inakuja...
  9. Deejay nasmile

    INAUZWA Vifaa vya muziki vinauzwa booster, mixer, spika n.k

    Vifaa ni vipya kabisa.. bei ni nafuu kulingana na kifaa unachotaka.. Mziki kwa ajili ukumbini, uwanjani, kanisani na kadhalika.. Karibuni
  10. Wilhelm Johnny

    Msaada wajinsi ya kuondoa background noise sound

    Wakuu kwema humu jukwaani jana litok kununua studio microphone kuifunga ikawa inatoa sauti kama ya upepo shhhhhhhh. Nilikua naomba kujuzwa namna ya kuiondoa au mic itakua chenga. natumia mixer ya yamaha na desktop chumba akiingizi sauti za nje ni sound proof
  11. L

    Biashara ya kutafsiri movie za Hollywood kwa sound dubbing kama wafanyavyo Azam two

    Habari wanajamii. Mwaka jana mwezi wa Desemba nilikuwa naangalia filamu iliyotafsiriwa na Ahmada Abdulrahman maarufu kama Dj Mark nikajiuliza inashindikana nini kuingiza sauti za Kiswahili kama wanavyofanya Azam tv kwenye tamthilia zao kama Sultan, Jamai raja na Kufli. Jibu ni kwamba gharama ya...
  12. KIXI

    Ipi sound bar bora kati ya hisence watt 200 na lg watt 300

    Habari member kama title inavyosema ipi sound bar kati ya hizo ni bora coz mimi sina uzoefu na redio nahitaji tuchukue moja kati ya hizo
  13. A

    Sound bars za hisence

    Naomba msaada wa kufahamu kwa anaejua sound bar za hisence zenye watts 130 na 320. Naulizia ubora wa hizo kwa ambae anatumia
  14. Chinga One

    Sound of Africa;Album ya Vanny Boy

    Nimeipitia hii albumb,binafsi nyimbo mbili au tatu tu ndo nimeziona kidogo ziko vizuri,Zamani, Mama na Lala ft Jux kiasi,..nyingine zote hazina maajabu,watoto wa mjini siku hizi wanaita "utopolo" Hitimisho:Binafsi EP ya Flowers was the best kuliko hii albumb ya hovyo kabisa tangu kuzaliwa...
  15. M

    Wadau naombeni Anayefahamu Drivers za Sound Boost za PC.

    Msaada wenu Tafadhali Wadau.Natumia HP ina sauti ndogo Sana.Nataka niongeze angalau.Mwenye kufahamu drivers msaada Tafadhali.
  16. Nafaka

    Watalaam wa audio recording na sound engineers, je huu mziki umerekodiwa kwa vyombo live?

    Eti huu wimbo, unaweza kuwa umerekodiwa wakati wa kuteneneza video? Yani hii video na audi vimefanyika wakati mmoja, vyombo vikipigwa live kama inavyoonekana. Au ni kwamba wamerekodi video wakaimba ila audio ikawa replaced na audio waliosharekodi kwenye studio. Napenda huyo mpiga drum...
  17. KIBESENI

    RecordPad Sound Recorder. keys

    RecordPad Sound Recorder, wakuu mwenye kuwa na reg key ya hii kitu hapo juu tafadhari.nimeshindwa kuinunua online maana sijui. mwenye kunisaidia tafadhari
  18. MC44

    Wapi napata sound effects?

    Habari, Navutiwa sana kupiga mziki hasa kwenye halaiki. Natumia simu na power-mixer huku watu wanapiga mziki kishamba sana. Au telegram channel ambayo inahusisha haya mambo
Back
Top Bottom