speaker

  1. K

    Je naweza ungalisha speaker ya JBL Boombox2 kwenye redio ya gari?

    Salaam, Nawaza, Je naweza kuungalisha speaker ya JBL Boombox2 kwenye redio ya gari? Lengo ni kuongeza hiyo speaker kwenye idadi ya speaker za gari. Msaada tafadhali.
  2. O

    Motivational speaker na madalali chanzo cha umasikini kwa vijana

    Watu wengi wakifanikiwa uanza kuwa motivational speaker,na wanatengeneza story ili wauze wapate pesa zaidi kwa wasio na pesa. Unamponda kijana hana nyuma wala mbele kama vile andazi, kitumbua au chapati. Unamwambia afanue uwinga au achinga mtaji ni mdogo tu lakini aumpi abc za wapi aende...
  3. T

    I'm Looking for someone in dar es salama who is a Native English Speaker

    Hello JF, I'm looking for someone in dar es Salam who is a Native english Speaker, The purpose of looking for that person is learning Anyone interested please check me
  4. Stephano Mgendanyi

    MP Mpembenwe: Happy Birthday Hon. Speaker, Madame, Dr. Tulia Akson Mwansasu!

    Happy Birthday Hon. Speaker, Madame, Dr. Tulia Akson Mwansasu! I am reverently writing you a birthday wish, my Heart is overflowing with emotional goose bumps of gratitude! Dear Madame speaker and president of IPU! You’re the most loving, caring, enduring, encouraging, forgiving, considerate...
  5. Teknolojia ni Yetu sote

    Majizzo kiboko kaja na speaker zake Kali

    𝗠𝗮𝗷𝗶𝘇𝗼 𝗸𝗮𝗷𝗮 𝗻𝗮 𝘀𝗽𝗲𝗮𝗸𝗲𝗿 𝘇𝗮𝗸𝗲 Hatimaye mkurugenzi na muanzilishi wa media Efm na ETV nchini tanzania mfanyabiashara Majizzo amefanikiwa kupiga hatua kwa kuweza kuleta speaker zake nzuri 🔊. Majizzo ameamua kuleta speaker izo ambazo zenye kutumia teknolojia ya Bluetooth kuweza kukupatia...
  6. nipo online

    Speaker za kuchongesha bei gani wakuu

    Tafadhali anaejua bei za speaker za kuchonga saizi ya kati inauzwaje aniambie bei au kama anajua wapi naweza pata, Kuna posho ya maji ya kunywa Asanteni.
  7. chris emex

    INAUZWA Harman Kardon Onyx Studio 6 Wireless Bluetooth Speaker 190,000

    Harman Kardon Onyx Studio 6 Wireless Bluetooth Speaker - IPX7 Waterproof Extra Bass Sound System sauti na mdundo mtamu Call 0628 880 380 190,000tsh tu.
  8. Eli Cohen

    Mimi sio motivatonal speaker ila nina uhakika zifuatazo ndizo sababu kuu za sisi Waafrika kuwa na maendeleo duni ya kifikra na mali.

    Kuna wakati nilihisi tumelaanika, kuna wakati nilihisi ndivyo tulivyopangiwa kuwa. Kuna wakati nilihisi mafanikio tunayoyasaka ni mipangilio ya mzungu alioleta labda hii ligi sio yetu kwa maana asili yetu ilikuwa ni bush kufanya hunting and gathering. Lakini i was wrong, Sio kwamba sisi ni...
  9. D

    Kauli gani ya motivational Speaker iliwahi kukuacha hoi?

    Kuna huyu aliyesema; " I stared my restaurant with one spoon of rice and one drop tomato sauce"
  10. Etugrul Bey

    Loud speaker ilinifanya nijue fundi anatoka na jirani yangu

    Kuna baadhi yetu hatujui ni wakati gani na mazingira gani tutumie loud speaker katika rununu zetu, kwakuwa ipo hiyo option basi wewe unatumia tu. Kuwa muangalifu sana unapotumia loud speaker, ikiwa ni maongezi ambayo sio nyeti basi waeza kusikiliza ukiwa mbele za watu lkn kama ni mazungumzo...
  11. Abubakari Mussa

    INAUZWA Speaker inauzwa kwa bei nafuu

    Wana jamiii naitupa hii kwa bei ya kitongaaaaaa VIDVIE SP 908 SPEAKER 🏷️ 250.000/= BLUETOOTH ✅ PORTABLE✅ MIC✅ Kwa mawasiliano zaidi Tupigie normal calls / wasap - 0659588492 Tupo kariakoo aggrey na ndanda Pia unaweza kuuliza speaker nyingine Tunazo nyingi aina tofauti tofautu sana Karibuni wakuu
  12. S.M.P2503

    Mbunge Mohammed Issa aliyesema yeye si Mtanzania, kwanini bado yupo Bungeni?

    Mbunge anasema na au anakana kwamba yeye si Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania “Mtanzania”. Sasa Humo Bungeni anafanya nini? Hatuna Nchi inayoitwa Zanzibar wala nchi ya Tanganyika. Tuna Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, “ Tanzania” Sasa kama yeye ni Mzanzibar na hatuna nchi hiyo, humo...
  13. Abubakari Mussa

    Jinsi ya kuchagua Speaker bora

    Habari wakubwa hii leo nakupa hii ya bure kabisaa Uliza swali kama hujaelewa Twende pamoja Jinsi ya Kuchagua Speakers Bora kwa Kufurahia Muziki Kwa wapenzi wa muziki, kuchagua speakers ni uamuzi muhimu ambao huathiri uzoefu wao wa kusikiliza. Hapa kuna mwongozo wa hatua kwa hatua kusaidia...
  14. Bob Manson

    KERO Wauza viwanja na speaker mnazoweka barabarani mnasababisha kero au Noise pollution

    Sidhani kama ni mimi tu ambaye nakerwa na haya makelele yaliyopo kila kona ya mji, sawa ni kutangaza biashara lakini ni vyema kubuni njia sahihi ya kufikisha ujumbe. Imefika pahala kila kona ukipita unasikia matangazo ya viwanja tena kwa sauti kubwa mpaka ukiondoka maeneo hayo bado unasikia...
  15. Stephano Mgendanyi

    MP Twaha Mpembenwe: APPRECIATION NOTE to Madame Speaker to Appointing me to a position of Deputy Chairman to the Parliamentary Budget Committe

    Hon. Twaha Mpembenwe (MP from Kibiti): APPRECIATION NOTE to Madame Speaker, Dr. Tulia Akson to Appointing me to a position of Deputy Chairman to the Parliamentary Budget Committee 22nd April 2024. APPRECIATION NOTE Dear; Madame Speaker I would like to express my gratitude first to Allah...
  16. Maleven

    BAKWATA naomba mtusaidie hili la matumizi ya speaker swala ya asubuhi

    Sasa kwa mfano hapa, wameshatoa azana kisha wameamua kuweka audio ya sheikh anazungumzia mambo ya ndoa ya ndani kabisa, kwa nature ya audio inaonekana kilikua cha wanawake tu tena watu wazima ila hapa imewekwa kwa nguvu kabisa1 asubuhi hii. Mbona misikiti mingine hawafanyi hivi? Mbona waislam...
  17. Cybergates

    Motivation Speaker: Technology ukiipatia unatoboa mazima

    Ipo hivi 1. 10-20M/month 2. 80% - Profit Margin (kila elfu 10, elf 8 faida) 3. App/web in yako pekeyako 4. Bootstrapped 5. Uhuru wa kiuchumi Hii inawezekana kufanyika hapa hapa Tanzania? Nadhani hii ni applicable labda nchi za ulaya na US huku kwetu elimu ya tehama na matumizi yake bado
  18. Mjanja M1

    Huyu ni Motivational Speaker, umegundua nini?

    Waswahili wanamsemo wao unaosema "unaopoona unaitiwa fursa basi tambua kuwa wewe ni fursa". Umegundua nini kwenye hii picha?
  19. FRANCIS DA DON

    Dawa ya mtu aliyeziba masikio ni kumuwekea loud speaker, kazi iendelee

    Nimesikia kwamba Rais wa Tanzania, Mheshimiwa Samiah Sukuhu Hassan hataki kusikia maoni ya wananchi wake juu ya mkataba wenye ukakasi wa ugawaji bure wa Bandari zote za Tanganyika. Sina shaka habari hizi ni za ukweli, maana nimeona video clip, na it seems aunthentic. Sasa hapa kuna maswali...
  20. TODAYS

    Motivation Speaker anatakiwa awe Ally Hapi, Siyo wale kuongea pasi vitendo

    Huyu jamaa ameamua hasa, japo tayari ameingia akiwa na mtaji ila huyu ndiye motivation speaker ambaye anatakiwa kuongea akiwa anamaanisha, siyo yule/wale wa hekari moja unapata 12mil. Anachifanya huyu kijana Ally aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara huko kwenye mashamba yake ni mfano tosha kwa...
Back
Top Bottom