speaker

  1. McCollum

    What does it take to be a Motivational Speaker?

    Je, kama ninahitaji kuwa Motivational Speaker, ninahitaji kufanya nini? Hapa naulizia kama kuna kozi special au vitu vya kufanya. ============== Salamu kwa watu wazima wote (kiumri), kwa wengine habari za saizi, kwa mashabiki wa Manchester United mjikande kwa maji ya Moto 7 sing'ori si...
  2. MIXOLOGIST

    Madam Speaker just killed it. Wakasome, hakuna PhD za kugaiwa kama pipi

    Wasalaam Madam Speaker ameshauri watu wakasome, wasinunue PhD nitaweka video. Nchi hii ina vitu ya ajabu sana wanataka kuchezea mpaka taaluma bila haya. Wakasome, narudia, wakasome
  3. S

    TAHADHARI: Enyi wastaafu kaeni mbali kabisa na ‘motivation speaker’, mtanikumbuka

    Usifanye biashara kwa hela ya kustaafu kama hujawahi fanya biashara, ili usipate magonjwa ya moyo, pressure, kupooza nk. Ni mara kumi upambane na wapangaji akishindwa lipa utasamehe ataingia mwingine, utaishi. Mzee wangu tangu astaafu ana miaka 27 kwa afya tele, shida tu pressure ya macho...
  4. Lububi

    Anayejua base speaker nzuri asisaidie

    Habar za humu watu wa Mungu. Aulizae hapotei! Nahitaji taarifa za kiteknolojia kuhusu speaker kubwa ya bass kuunga nguvu na vifaa vingine nikivyonavyo kwa mziki wa ukumbi. Mziki mkubwa. Nimeshauriwa fed ex bila maelezo ya kiulinganifu. Nitashukuru kwa wataalam na wajuvi wa hili kama ambavyo...
  5. Suley2019

    Kenya Kwanza nominates Moses Wetangula as National Assembly Speaker

    Moses Wetangula President-elect William Ruto’s Kenya Kwanza has now nominated the alliance co-principal and Ford Kenya party leader Moses Wetangula to the position of Speaker of the National Assembly. This is according to Amani National Congress (ANC) party leader, and fellow Kenya Kwanza...
  6. L

    Asante speaker wetu mh Tulia Ackson mwansasu kwa mchango wako wa mabati mbozi

    Ndugu zanguni sote tunajuwa ya kuwa my Tulia no mbunge wa mbeya mjini, lakini katika Hali iliyowaacha Wana mbozi mdomo wazi Ni pale mh speaker alipokuja Jimbo la mbozi na wadau wake wa silent ocean na kuweza kusaidiaa mchango wa mabati karibu Mia mbili ili kuezeka vyumba vya madarasa katika...
  7. The unpaid Seller

    Fuatilia hapa LIVE route - radar ya ndege SPAR19 iliyombeba Speaker Nancy akielekea Taiwan

    Leo ndio leo msema kesho mchawi, Zaidi ya watu laki tano wanaiouatilia roupe/safari ya Pelosi kuelekea Taiwan ambapo China imekemea vikalh hatua hiyo kwa kurusha ndege za kivita kuizunguka Taiwan huku U.S.A nao wakisogeza meli na manuari zao. Ungana na maelfu ya watu kufuatilia kitakachojiri...
  8. Black Bolt

    INAUZWA Speaker za PC Bei 19,000 Tzs

    Nauza Speaker zinatumika mara nyingi kwa Laptop na Simu bei 19,000 Tzs Ni PM
  9. L

    INAUZWA LG base speaker inauzwa

    Tsht 65000
  10. N

    Spika siyo lazima atii Mahakama

    Kama kuna issue itampa umaarufu na heshima duniani speaker tulia ackson ni hii ya wabunge waitwao covid 19 Mahakama haijapeleka barua hawezi fanyia kazi maneno ya mitandao na pia siyo lazima afate maamuzi ya mahakama bunge limejichimbia chini zaidi labda apende tu Akiwatetea wanawake wenzake...
  11. W

    Used Pioneer Amplifier 1000watts inauzwa

    Original imenunuliwa Nje na imetumika kwa mda mfupi.Bei yake ni Shillingi 350,000.Kama unauhitaji tupigie simu au tuma meseji namba 0742662669.Napitikana Dar es Salam Mwananyamala Komakoma karibu na CRDB bank
  12. Deejay nasmile

    INAUZWA Vifaa vya muziki vinauzwa booster, mixer, spika n.k

    Vifaa ni vipya kabisa.. bei ni nafuu kulingana na kifaa unachotaka.. Mziki kwa ajili ukumbini, uwanjani, kanisani na kadhalika.. Karibuni
  13. J

    Profesa Handlay Mwafwenga mwenye digrii Tisa achukua fomu ya Uspika wa Bunge. Anena mazito

    Prof Mpoki Mafwega amechukua fomu ya kugombea Uspika wa bunge na kuahidi atashinda na kuweka historia mpya nchini kwani bunge siyo kwa ajili ya wanasiasa pekee. Prof Mpoki amesema tokea mwaka 1954 wakati wa mkoloni hapajawahi kuwa na Spika wa bunge aliyetoka kwenye sekta ya Utumishi wa umma...
  14. FRANCIS DA DON

    Hivi kabla ya kugunduliwa kwa ma- ‘speaker’ makubwa yenye mshindo, makanisa ya kilokole yalijiendeshaje?

    Yaani walikuwa wanaendeshaje endeshaje shughuli zao za ibada? Kwamba wanaemuabudu alianza kupoteza uwezo wake wa kusikia au ilianzaje anzaje hii hali?
  15. L

    Mwijaku achukua fomu ya kuteuliwa kugombania Uspika

    Habari nilizozipata mtangazaji wa Clouds FM kachukua fomu ya kugombania uspika baada ya spika wa bunge la Tanzania kujiuzulu.
  16. U

    Hivi mexence Mello angekuwa weak kwa Hawa CCM tungeshughulikiwaje anonymous! Hongera mexence unafaa kuwa speaker

    Kiuhalisia huyu mmiliki wa jamii forum aliyepelekwa mahakamani na Meko ana nguvu na ustahimilivu wa Hali ya juu kushinda hata wa jobu ndugai, amefanya jamii forum kuwa platform huru sana na ameokoa wengi kutokushughulikiwa. Kama mexence angeweka tumbo lake mbele wanajamii forum wengi wangekuwa...
  17. Petro E. Mselewa

    Jicho la kisheria kuhusu uhalali wa barua ya Spika Ndugai kujiuzulu

    Nikiri wazi kuwa nami, nikiwa mtanzania wa kawaida na mfuatiliaji mzuri wa mambo ya kisiasa na kijamii, nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sakata lililopelekea Spika Job Yustino Ndugai kuandika barua ya kujiuzulu nafasi yake ya Spika. Nimefuatilia pia mjadala ulioibuka kuhusu uhalali wa barua...
  18. Naipendatz

    All Parliament activities, including parliamentary committee meetings, have been SUSPENDED in Tanzania following Speaker Job Ndugai's resignation

    All Parliament activities, including parliamentary committee meetings, have been SUSPENDED in Tanzania following Speaker Job Ndugai's resignation, according to the constitution. First order of business when Parliament resumes on Feb. 1, 2022, will be the election of a new Speaker. Source: TBI
  19. econonist

    Mambo 16 niliyojifunza kwenye hotuba ya Rais Samia - Januari 4, 2022

    Yafuatayo ndio nimejifunza kutokana na hotuba ya Jana. 1. Rais amekasirishwa na maoni yaliyotolewa na speaker Ndugai kuhusu mikopo. 2. Rais amemshambulia speaker Ndugai at individual capacity na sio Kama speaker kwenye maoni kuhusu mikopo. 3. Rais amehaidi kukopa zaidi na mpaka Sasa wamepata...
Back
Top Bottom