spika tulia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    Spika Tulia akemea Wabunge wanaotangatanga na kupiga kelele wakati Bunge likiendelea

    Spika wa Bunge, Tulia Ackson ametoa onyo kwa Wabunge ambao hawafuati utaratibu wanapokuwa Bungeni ikiwemo kupiga kelele na kuzungukazunguka ndani ya Bunge pasipo kufuatilia kinachoendelea. “Tufuate kanuni zetu na utaratibu humu ndani ikiwa pamoja na kanuni ya 73 inayozungumzia staha ndani ya...
  2. Monica Mgeni

    Dkt. Tulia: Kama wasingeenda Mahakamani ningetangaza nafasi kuwa wazi

    MIMI KAZI YANGU NI MOJA TU - SPIKA TULIA AKSON Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Tulia Ackson Tulia Ackson amezungumza na wanaHabari kuhusu uamuzi wa kuwafukuza Bungeni Wabunge 19 wa CHADEMA Halima Mdee na wenzake. Amesema yeye anasubiri Maamuzi ya Mahakama.
  3. Replica

    Yaliyojiri kesi ya Wabunge 19 waliovuliwa uanachama Vs CHADEMA. Mahakama yaridhia Ubunge wao uendelee wakati kesi ikiendelea

    Kesi namba 16 ya mwaka 2022 iliyofunguliwa Mahakama Kuu na Wabunge 19 wa viti maalum wa CHADEMA kupinga uamuzi wa kuwavua uanachama na mwenendo mzima wa maamuzi yaliyofanyika dhidi ya Baraza la Wadhamini CHADEMA, tume ya Taifa ya Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali inaendelea Mahakama Kuu...
  4. mugah di matheo

    Spika tulia na wakina Mdee bado wanatuchezea

    Leo gazeti la Mwananchi limeripoti kuwa akina mdee wameonekana bungeni. Na Mnyika nae akapost kuwa Barua ilishafika kwa tulia. Swali kwanini wanawang'ang'ania hao Covid19?
  5. J

    Bei za Mafuta: Spika Tulia asema Bunge ndio linatunga Sheria sasa kama Serikali haitekelezi basi kuna tatizo kubwa

    Mbunge wa Sengerema Mh Tabasamu amesema tenda za mafuta wangepewa TPDC na Puma ambako serikali ina hisa zake basi bei ya mafuta isingepanda kwa kiasi ilichopanda. Tabasamu amesema waagizaji wa mafuta wanaoleta sasa bei yao ni mara mbili ya ile waliyoquote TPDC wakati wanaomba tenda. Lakini TPDC...
  6. sifi leo

    Spika Tulia na kauli ya "peleka swali la msingi" ni kuwahujumu wabunge na kuilinda serikali. Je, hataki mawaziri mizigo waumbuke?

    Natoa angalizo, Bunge kuwa live sisi tunafatilia hata kama ni la chama kimoja. Najua Ili Bunge Kuna baadhi ya wabunge na baadhi ya mawaziri ni mizigo. Mfano, mbunge wa Sengerema amekuliza swali zuri, nanukuuu! "Mh Waziri Kuna ngedere wengi wapo kisiwa cha Juma wanavamia mpaka mashamba ya watu...
  7. J

    Spika Tulia: Tunategemea Bajeti ya Kilimo ndio itakuwa kubwa mwaka wa fedha ujao

    Spika wa bunge Dr Tulia amesema bunge linaanza mkutano wa bajeti wiki ijayo na wanategemea baada ya serikali kuwa imeingia Mikataba mingi ya kilimo ambayo imepitia bungeni basi Bajeti ya kilimo ndio itakuwa kubwa. Chanzo: ITV habari Maendeleo hayana vyama.
Back
Top Bottom