Jenerali Ulimwengu amemaliza kutia yake ya moyoni kuhusu uspika wa Ndugai.
Amenena kuwa kumkosoa Mama Samia sasa hivi, wakati hakuwahi hata siku moja kumkosoa Magufuli, ni unafiki wa hali ya juu.
Haya siyasemi mimi Jidduzz, ya Jenerali Ulimwengu haya.
Na yuko spot on.
Wengine na wasikie...