sports

  1. F

    Erasmus Mundus GOALS Scholarship 2025/27: A Fully-Funded Master's Degree in Sports Management: Application assistance will be given

    Navigate www.researchlinktz.com and view the "Opportunities' page to see this scholarship. If you want to apply we can give assistance. You can write to info@researchlinktz.com or see contacts in the website above.
  2. ESCORT 1

    Wachambuzi wa Crown Sports, Hans Raphael na Geoff Lea wanabishana kama wanagombana wakiwa live kwenye kipindi

    Nasikiliza hapa Crown Sports ya Crown FM, wachambuzi wa kipindi hiko wanajadili ile faulo iliyozaa goli la Simba. Hans anasema sio goli halali kwakuwa mpira ulianzishwa katika eneo sio sahihi kwakuwa ulisogezwa. Geoff Lea anasema goli ni halali kwakuwa sio lazma mpira uanzishwe eneo lile...
  3. Ojuolegbha

    Waziri Kombo apokea kombe la ushindi kutoka kwa timu ya wizara ya mambo ya nje-nje sports club

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Balozi Mahamoud Thabit Kombo, tarehe 14 Januari 2025, amepokea kombe la ushindi kutoka kwa timu ya Wizara yake, Nje Sports Club, baada ya timu hiyo kushinda katika mashindano ya Kombe la Mapinduzi 2025 yaliyofanyika Mkoa wa Unguja Kusini...
  4. S

    Wachezaji wawili bora kwangu kwa mwaka 2024 ndani ya Simba Sports Club

    Mwaka 2024 unaisha leo, kesho majaliwa ni mwaka 2025, nimeona kikosi chote cha wachezaji wangu wa Simba Sports Club, kiukweli hadi kufikia leo binafsi ni wachezaji wawili tu ndani ya timu yangu ukimuondoa kiungo wa pembeni Elie Mpanzu ambaye ndio kwanza anajitafuta na ambaye nina matarajio naye...
  5. kasanga70

    Tetesi: Simba Sports Club kuhamia ligi ya Zanzibar mwakani: Move imeanza

    Za ndani saana, utaribu wa mageuzi makubwa ya kimpira utaanza baada ya dirisha dogo January. Club kubwa barani afrika inameanza hatua mahsusi za kuweka base kubwa ya kimpira visiwani Zanzibar. Kandarasi hii na maamuzi haya yanakuja baada ya kubaini kuwa kuna wahuni wanaharibu mpira bara na...
  6. L

    Akili inakataa kuwa Camara kauza gemu ile, Nakuomba sana Magori msifikie huko

    Bw Magori amepost kwenye page yake akionekana kumtuhumu Kipa wetu Camara kuwa hakuwa sababu ya kuurukia ule mpira akiamini Camara alifanya mchongo Magori wewe ni mtu makini sana na watu wanakuamini mno, kwamba Camara kachonga ishu sikubaliani na ww hata kidogo Kama lawama basi apewe Kijiri...
  7. Jackson News

    Kansas State Wildcats Football vs. Colorado Buffaloes Football Player Stats: A Detailed Breakdown

    Kansas State Wildcats Football vs. Colorado Buffaloes Football Player Stats: A Detailed Breakdown HomeSports Kansas State Wildcats Football vs. Colorado Buffaloes Football Player Stats: A Detailed Breakdown The highly anticipated match between the Kansas State Wildcats and the Colorado...
  8. Jackson News

    Grant Leans on Fans as 12th Player to Strengthen Chipolopolo Squad

    As Zambia’s Chipolopolo gear up for a crucial Africa Cup of Nations (AFCON) qualifier match against Chad, head coach Avram Grant has put his faith not only in his squad but in the power of the “12th player” – the fans. In football, the term "12th player" refers to the home crowd whose energy and...
  9. uhurumoja

    Mo apewe Simba sports club bila masharti

    Kwa hili vibe na shangwe kubwa analopewa hapa muwekezaji wa Simba ndugu Mo basi wanasimba naamini wako tayari kumpa hii team mazima Sasa Mangungu anamtambulisha mkuu wa wilaya ya ilala anaemuwakilisha mkuu wa mkoa
  10. D

    sports medias sasa ni machawa wa tff and board ya ligi, huko nako incompetence imefika

    I will be short we are fans of sports since we avoid politics. media ni machawa wa tff na bodi ya ligi. ni shameful mtu anaona kabisa ukweli Ila njaa na uchawa una haribu mpira wetu. imagine amna media hata moja inasema jambo kama lilivyo it's time watu twende off grid. wasafi media...
  11. wasakatonge forever

    Usajili wa Clotus Chama kwa yanga hadi sasa hauna tija yoyote

    Kama umekua ukifatilia mechi za yanga sc msimu huu wa mashindano , nadhan utakua umeona kiwango cha mchezaji Clotus Chama . Kwangu mimi naona hadi sasa Chama hana mchango mkubwa kwenye pitch , maana kwa nilivoona kwenye mechi ambazo amecheza inaonekana energy yake ishashuka kabisa, ila kwa...
  12. D

    KENGOLD SPORTS CLUB: Tumefungwa Ila sio goli tano (5)

    Maneno ya Ken gold sports club Baada ya mechi . Waliofungwa 5 mikono juu Soma Pia: FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024
  13. Black Butterfly

    TFF kuilipa kampuni ya Romario Sports 2010 Limited Tsh. Milioni 843 za Deni na Fidia

    Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limefikia makubaliano nje ya mahakama katika shauri la madai lililokuwa limefunguliwa na kampuni ya Romario Sports 2010 Limited, kwa kuilipa kampuni hiyo deni pamoja na fidia. Kulingana na hukumu ya makubaliano (consent judgement) iliyotolewa na Jaji Isaya...
  14. GENTAMYCINE

    Haya 'Kuku Brain Bado Tunatengeneza Kikosi Sports Club' vipi tumeshauzindika tayari Uwanja wetu tutakaoutumia uliopo Jirani kabisa na Kawe na Lugalo?

    Kwani za chini chini ninasikia Jamaa ambao wameshatuweza ndani na nje jana wamemalizana nao ili uwe Nuksi nasi.
  15. residentura

    Faith Kipyegon: African Goddess of Sports

    Huyu dada ni balaa. Kipaji kikiwa "fully utilised" haya ndiyo matokeo yake. 3 time Olympic Champion 3 time world Champion Commonwealth Champion African Champion World Record holder Olympic Record holder African Record holder. Mungu aendelee kumbariki Faith. Hongereni sana Kenya.
  16. Manyanza

    Yanga Sports tatizo ni nini mpaka sasa?

    🟢Kila Siku naskia mnatamba kuwa nyie ni Timu kubwa sana Africa, inakuwaje mpaka Sasa sold out ni VIP A tu? Wananchi inaonekana ikifika swala la Hela huwa mnavua jezi kabsaa mnasubili tamasha liishe ndio mvae tena jezi. Hii sio sawa igeni mfano mzuri kwa mashabiki wa Simba. Na Walianza kuuza...
  17. Mkalukungone mwamba

    Manara tukiwapiga Simba chini ya Goli nne nakuja hapa SportsArena kuwapa kila mtangazaji milioni moja

    “Wachezaji kila ukiwauliza wanasema wao wanawaza Agosti 8 tu, nawaambia kabisa ‘Makolo’ wasilite timu uwanjani, yani wale tukiwapiga chini ya nne nakuja hapa SportsArena kuwapa kila mtangazaji milioni moja moja.” —— Msemaji wa Yanga Sc, Haji Manara
  18. M

    Natafuta sports academy

    Kuna kijana wangu yuko kidato cha tatu. Anapenda sana kucheza mpira na anacheza vizuri. Kila nikikaa nae nikimuuliza anatamani kufanya nini katika maisha yake, anasema anataka kucheza soka. Sasa nimeona ni vizuri kumuunga mkono kuliko kumlazimisha abadili muelekeo. Kama Kuna mtu anazifahamu...
  19. Greatest Of All Time

    Azam Tv wazindua chaneli mpya Azam Sports 4HD, watarusha La liga pamoja na Serie A

    Azam Tv wamezindua chaneli mpya ya Azam Sports 4HD na watarusha La liga ( Ligi Kuu ya Hispania) pamoja na Ligi Kuu ya Italy (Serie A) Chaneli hiyo itaanza kuruka hewani 1 August 2024. Tayari Azam Tv anarusha Ligi Kuu ya Tanzania, Ligi Kuu Kenya, Saudia Arabia, Ufaransa, Caf Champions League...
  20. Jamii Opportunities

    Heads of Sports at School of St Jude July, 2024

    We’re looking for qualified and passionate Heads of Sports! Want to work for one of the largest charities of its kind in Africa? Are you passionate about providing students with opportunities to learn and develop through sport within a holistic educational program? Are you dedicated to making a...
Back
Top Bottom