sports

  1. Mzukulu

    Ama hakika Simba Sports Club ya Msimu wa 2020 / 2021 itakuwa ni ile ya Tema Mate Kushoto kisha Unafukia Kulia na Raha tupu tu!

    Winga ya Kushoto Emanuel Okwi, Winga ya Kulia Bernard Morisson, Central Striker Justine Shonga na chini yao kuna Clatous Chama Mwamba. Kuna Watu Kipindi hiki cha Mapumziko ya CORONA walikuwa wakitamba sana na Usajili sasa ndiyo mtatujua vyema hasa Simba SC ya Mo Dewji.
  2. venchwa

    Ni viwanja gani kwa Mbezi ya Kimara vimetulia nitapata Viburudisho (Lounge) Sports bar

    Nasikia Mbezi kuna sehemu inaitwa Msigani, Kwa God na Mbezi Luxury, Kuna Kiwanja gani kingine maeneo ya Mbezi maana week kesho kutwa napata likizo ya kuwa Tanzania kwa miezi 2. Tupeane information wakuu.
  3. Mdaiwa-Sugu

    Simba sports club: ubahiri siyo deal lipeni vizuri wachezaji wenu

    The picture speaks more louder than words
  4. RAKI BIG

    JF SPORTS ARENA | Lionel Messi, 32, ataendelea kubaki Barcelona!

    Lionel Messi, 32, ataendelea kubaki Barcelona Chelsea wanafikiria kubadili uamuzi wao kwa kumsaini mshambuliaji wa RB Leipzig Timo Werner,24, ikiwa Mjerumani huyo ataonesha nia utayari wa kuhama. (ESPN) Chelsea imemuweka mchezaji wa nafasi ya ulinzi wa Leicester Ben Chilwell, 23, katika mpango...
  5. Mohamed Said

    TANZIA Abdulkarim Shah, umekuja Saigon Sports Club umechelewa na umeondoka kwa haraka

    Nimemjua Abdulkarim maarufu kwa jina la Bujji kwa kumsikia kwa muda mrefu kabla ya kukutananae uso kwa macho na sababu ya kumsikia kwa muda mrefu ni kuwa nilikuwa nikifuatilia siasa za Mafia katika chaguzi za vyama vya siasa mpashaji wangu mkubwa akiwa rafiki yangu Baku, mtu maarufu kisiwani...
  6. GENTAMYCINE

    Simba Sports Club yangu ole wenu ' Mumsamehe ' Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Fredrick Mwakalebela nitawalaani na kuwachukieni Milele

    SAKATA LA CHAMA: MWAKALEBELA AWAOMBA RADHI SIMBA Makamu Mwenyekiti wa Yanga Fredrick Mwakalebela ameomba radhi kufuatia kauli yake kuwa ameshaanza mazungumzo na kiungo wa Simba, Clatous Chama. Mwakalebela amesema alitoa kauli hiyo kama sehemu ya utani wa jadi dhidi ya Simba baada ya kuwepo kwa...
  7. GENTAMYCINE

    Kuna Timu Moja nchini Tanzania Mashabiki wake pamoja na Wanachama wao wakiitwa 'Mafuriko Sports Club' wasiwe wanakataa tafadhali

    Baada ya Haji Manara kuweka Wazi Bei ya ' Kumng'oa ' Simba Sports Club Mchezaji ' Mahiri ' na ' Mtaalam ' kabisa akiwa ndiyo ' Play Maker ' Clatous Chota Chama kuwa ni kati ya Dola za Kimarekani 350,000 hadi 400,000 ambazo ni sawa na Shilingi Milioni 850 hadi Milioni 900 wale ' Wapuuzi Mafuriko...
  8. Kichupa Steven

    Basi la Bilo Sports lakwama kwa saa zaidi ya Mbili katika Mji wa Tinde

    Basi la Kampuni ya Bilo Sports linalofanya Safari zake za Bukoba kwenda Dar Es Salaam limeshikiliwa na Askari polisi kwa madai kuwa Moja wa abiria wake anahofiwa kuwa na Virusi vya Corona hivyo kwa Muda Wote huo hakuna Abiria aliyeruhusiwa kushuka ndani ya Basi
  9. rodian

    Kigamboni Sports Complex: Home of Champions

  10. Mzukulu

    Chonde Chonde kwa aliye karibu na uongozi wa Simba Sports Club au msemaji wao Manara aifikishe kwao taarifa hii muhimu sana

    Nimetonywa na watu wa ndani kabisa kutoka katika klabu ambayo Simba Sports Club inaenda kucheza nayo tarehe 8 March 2020 ambayo hadi hivi sasa Mzukulu naona kuna Goli Mbili (2) ambazo zote zitafungwa katika kila kipindi kwa hiyo Klabu kuwa kuna hujuma kubwa (umafia) ambao wanapanga Kufanya hasa...
  11. venance7

    Mo Dewji akana kujiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba na Kubakia kuwa Mwekezaji

    Muda mfupi baada ya Simba kupoteza fainali ya kombe la mapinduzi dhidi ya Mtibwa, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba ametangaza kujiuzulu katika nafasi hiyo na kubaki kuwa mwekezaji tu. ====== UPDATES: ======== Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohammed Dewji kupitia ukurasa wake wa...
  12. K

    Poleni sana Simba Sports Club

    Leo ilikuwa ni fainali ya Kombe la Mapinduzi. Mlijiamini kwa asilimia 100 kuwa kombe mnalibeba mkasahau kuwa mpira ni dakika tisini. Poleni sana. Binafsi naona kuwa mlifanya uamuzi usio wa busara kwa kuachana na Kocha Patrick Aussems. Kocha huyu mlieachana naye alikuwa anajua kuusoma mpira na...
  13. H

    Diamond Platnumz interview with Sports Arena (Exclusive)

    Msanii nguli wa kimataifa diamond platnumz a.k.a baba lao and CEO wa WASAFI MEDIA akihojiwa na sports arena baada ya kurudi kutoka misri kwenye tuzo za CAF mahojiano Kama ifuatavyo Mtangazaji: kwanii una connection nyingi za kufanya show kubwa Diamond:Africa Kuna wasanii wengi Sana na niwazuri...
  14. pingli-nywee

    Mkenya Eliud Kipchoge ateuliwa kuwania tuzo la BBC Sports Personality of the Year Award

    Mshindi wa tuzo la IAAF, la mwanariadha bora duniani, mwaka wa 2018 na 2019 pia. Ambaye ndio mshindi wa Laures Exceptional Achievement Award 2019 na Elder of the Order of the Golden Award of Kenya, mwanariadha Eliud Kipchoge ameteuliwa tena, kuwania tuzo la BBC Sports Personality of the Year...
  15. GENTAMYCINE

    Simba Sports Club achaneni na nia yenu ya kumfukuza kocha wetu Patrick Aussems kwani tutakuja kujuta na kulia akiondoka

    Nimezifuatilia sababu za baadhi ya Viongozi wa Simba SC na Mashabiki ' Wapuuzi ' wachache juu ya sababu zao kutaka Kocha Mkuu wa Simba SC Patrick Aussems aondoke na Kugundua kuwa zote ni za Kipopoma. Moja ya sababu ambayo hadi hivi sasa imeniacha hoi ni kwamba baadhi ya Viongozi hawamtaki Kocha...
  16. H

    Sports arena ya wasafi: Hatutamuita zahera

    Hiv karibuni Mwinyi Zahera amekuwa akifanya media tour na kuwalikwa pia na media mbalimbali sports arena wameulizwa mbona wao hawajamwita Zahera wamejibu "Zahera ameshafukuzwa na yanga na kocha anapimwa kwa matokeo au uchezaji wa timu yake hatuna sababu yakumwita studio hata ukimwita azungumzie...
  17. H

    Mwakyembe ampongeza Diamond na Wasafi kuzindua kipindi cha sports arena

    Waziri wa habari sanaa na michezo Dr Harrison mwakyembe ametoa pongezi zake kwa mwanamziki diamond kwa uzinduzi wa sports arena alioufanya kwa ukubwa kuanzia maandalizi pamoja na ubunifu walitumia kwa kitendo Cha kuwashusha kwa helikopta watangazaji waliowasajili lakini kuwepo kwa red carpet na...
  18. AKILI TATU

    The Liverpool Way, The Hard Way, Karibuni Anfield Napoli

    Bill Shankly KILA mtu aliamini hatuendi popote, wengi walitarajia kuona tunashindwa kufuzu hatua ya 16 ya michuano ya Ligi ya Mabingwa msimu wa 2004/05. Njia yetu ilikua ni ngumu, kundi letu lilishageuka shubiri kwetu, hatukua na matumaini tena. Tulikua tupo na Monaco, Olyimpiacos na...
  19. Barcelona763

    Alikiba coastal union

    Sio Siri Tena alikiba ni mchezaji mpira wa coastal union nilipopata habari sikuelewa . Lakini nilipomsikiliza Mwenyewe akieleza nia yake kwenye interview ya Azam tv nikatambua kuwa ana uwezo ya kutimiza ndoto yake.tokea leo mimi ni shabiki number moja wa coastal union . Nitanunua jezi lake...
Back
Top Bottom