sports

  1. Joseverest

    Klabu bingwa Afrika: As vita club 0-1 Simba dimba la Stade de Martyrs 12/2/2021

    Naaaaam Barabara kabisa, Ndugu wadau wa Michezo wa hapa Jamiiforums na kwingineko karibuni katika Live updates(Matukio Mubashara) kutokea hapa Kinshasa katika Dimba la Stade De Martyrs, uwanja wa nyumbani wa Timu ya AS VITA CLUB ambapo kuna "patashika nguo kuchanika" au unaweza kusema kipute...
  2. OKW BOBAN SUNZU

    FT: Utopolo 0 - 1 African Sports, Mechi ya Kirafiki

    Visit Kidimbwi ameshindwa kuchomoa kidude ikiwa full mkoko mbele ya timu daraja la kwanza
  3. H

    Taarifa kwa umma kuhusu uchunguzi wa mabadiliko klabu ya Simba

    Taarifa hii nimeipata kwenye moja ya magazeti hapa nchini
  4. cricnscore1

    Cricket deserve more respect about leagues and matches

    They sit at the foot of the Primera table as the solitary group without a success yet they have drawn six of their nine matches played so far with just three thrashings. They will go to Osasuna zeroing in on keeping things tight at the back in the wake of surrendering nine objectives in their...
  5. babu M

    BBC Sports Personality of the Year 2020: Lewis Hamilton crowned winner

    Formula 1 world champion Lewis Hamilton has been voted BBC Sports Personality of the Year 2020. One of F1's all-time great drivers, he equalled Michael Schumacher's record of seven world titles with his fourth consecutive championship in 2020. The 35-year-old, from Stevenage, also surpassed...
  6. GENTAMYCINE

    Kwa Kibao hiki cha 'WAAH' chake Mwana Simba Mwenzangu Diamond akimshirikisha Koffi nasema 'Shikamoo' mno tu Kwake

    Huu Wimbo wa 'WAAH' ukiwa unapigwa au hata unausikiliza tu popote pale halafu huamki ama Kucheza tu au Kutikisika basi utakuwa na matatizo Kichwani au utakuwa ni mwana Yanga SC mwenye Roho Mbaya au utakuwa kati ya Team Kiba au Yule aliyetaka Kufa kwa Kuanguka kutoka katika Paa la Uwanja wa Mkapa...
  7. Tripo9

    Wapi kuna Sports bar maeneo karibu na Tabata Segerea?

    Sehemu ambayo ni Sports bar naweza angalia mpira wa ligi kama England / Achana na hizi bar za kawaida ukienda wanaweka mziki unaangalia gemu ya mpira kama vile unaangalia pilau. Sauti zero. Mi nataka sebemu mpira unausikilza na kuungalia ukiwa umetulia. Achana na vibanda umiza full joto...
  8. mugah di matheo

    Friendly match: Simba sc vs African sports

    Kikosi cha simba Ally salim Henry husein Hasan Mohammed Ame Ally Kennedy Bwalya Miraji Chama Ajibu Ilanfya Kahata Karibuni
  9. NicholeGuerrero

    Application to watch sports TV channels online in Brazil

    Hello, If you want an application to be able to watch sports channels in Brazil, especially football. You can download playtv geh at TechBigs Do you know other good apps?
  10. GENTAMYCINE

    Kama Wewe ni Mwana Simba Sports Club 'Mwenzangu' na 'unajiuliza' nini 'Kimeitokea' Timu yetu na sasa 'inafungwa' mfululizo haya ndiyo majibu

    1. Posho ya Wachezaji imekuwa ikipunguzwa na kuna muda hawakupewa kabisa isivyo kawaida na Mo Dewji anafichwa 2. Kuna Mgawanyiko mkubwa baina ya Wachezaji hali ambayo imesababisha Chuki na Majungu baina yao 3. Kocha Sven Vandebroek amechokwa kutokana na Misimamo yake ya Kutopangiwa Timu na sasa...
  11. MK254

    Extreme sports you didn't know existed in Kenya

    A photo of a person Fly-boarding FILE Mombasa is best known for its white sandy beaches,warm weather and amazing facilities to enjoy vacations. However, unknown to many there are other fun activities that can be enjoyed apart from swimming or normal boat rides. In this article, Kenyans.co.ke...
  12. GENTAMYCINE

    Natabiri mapema tu hapa kuwa Kipindi cha Michezo cha Wasafi FM Sports Arena cha Jumatatu 7 Septemba 2020 Mada Kuu itakuwa Kigangwala na Mo Dewji pekee

    Na hivi Watangazaji wake Waandamizi akina Maulid Kitenge na Yusuph Mkule bila kuwasahau na 'Wanafiki' wao wakubwa Kiutangazaji akina George Job na Musa Kawambwa kwa pamoja wote wakiwa Mashabiki wa Yanga SC hiyo itakuwa Siku yao ya 'Kuichokonoa' na 'Kuichamba' mpaka 'Kuichafua' Simba SC hasa...
  13. GENTAMYCINE

    Mnapoambiwa Simba Sports Club siyo 'Wenzenu' nchi hii muwe mnaelewa sawa? Haya Msemaji wa Yanga SC Hassan Bumbuli shindana na Serikali sasa!

    Muda si mrefu tu uliopita kuna Barua kutoka Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu kwenda kwa Klabu ya Yanga ikiwataka upesi sana Kurejesha Serikalini ( Wizarani ) Kibali cha Kazi cha Mchezaji halali wa Simba SC Bernard Morrison ambacho kwa Kiburi na Jeuri kabisa...
  14. Komeo Lachuma

    Hili Gazeti kwanini lisiitwe Yanga Sports? Si kwa mahaba Haya

    Miaka ya nyuma tunanua Yusuph Manji alikuwa anawanunua sana waandishi wa habari waandike kuhusiana na yeye na Yanga. Na moja ya magazeti ambayo yalitumika sana ni MWANASPOTI. Gazeti hili limeendelea sana kuandika habari za kishabiki,zisizo na weledi kwa kuangalia sana jinsi ambavyo wataipendeza...
  15. MK254

    Kenya's sports CS Amina nominated for WTO Director-General

    Kenya, has nominated Sports Cabinet Secretary AMB. Amina C. Mohamed for the post of WTO Director-General – By Gerald Gekara. If successful, CS Amina will succeed the current Director-General, Mr Roberto Azevêdo, who announced he will step down on 31 August 2020. The nomination period for the...
  16. Jamii Opportunities

    Sports Editor at Mwananchi Communications Limited

    Sports Editor – Mwananchi Mwananchi Communications Limited, publishers of the leading Tanzania newspapers, Mwananchi, The Citizen and Mwanaspoti is looking for motivated and highly experienced individuals to fill the position of: Sports Editor – Mwananchi (1 Posts) To manage the day-to-day...
  17. Mzukulu

    Mtangazaji wa Michezo Clouds FM Kipindi cha Sports Extra, Prisca Kishamba Wewe 24/7 anayekutumia Meseji Kipindini ni Mfungo Patrick wa Zimbabwe pekee?

    Yaani sasa mpaka Wasikilizaji wako huwa tunabeti kwamba ni lazima tu ukiwa katika Zamu ya Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM basi mwishoni ukiwa unasoma Meseji za Wasikilizaji wako ni lazima tu utamsoma Mfungo Patrick kutoka Harare Zimbabwe. Ina maana huyu Mfungo Patrick ndiyo...
  18. Wimbo

    Simba Sports, Yanga Afirica FC hakuna mwenye hekima hata mmoja?

    Simba na Yang Africa ni virabu vya kihistoria ambavyo havitakufa kuna wakati Yang Africa ilichungulia kaburi miaka ya themanini lakini tokea wakati huo haijafanya makosa hayo. Nchi imehamia Dodoma mbona hamuwazi kuanzisha makazi ya Krabu Dodoma. Pale mlipo kwanza hapafai. Mmebaki na majengo ya...
  19. Mzukulu

    Haya sasa wale Mabondia Sports Club a.k.a Yanga Sports Club msiishie tu Kutaka Kuwapiga akina Yikpe na Molinga kama mnaweza hebu mpigeni na huyu nione

    " Lakini ukweli lazima usemwe kwa sasa tuna pambana kukaa juu ya Namungo na kwenye FA tu habari za ligi na nafasi ya pili zili komea jumapili, " Anton Nugaz. Na kwa Kuwakumbusheni tu ili UTOPOLO FC msisahau Mnyama Mnyamani ( Simba Sports Club ) nikishinda tu Kesho dhidi ya Mchovu Mbeya City...
  20. DullyJr

    Sports Arena ya Wasafi FM ni moja ya kipindi cha hovyo cha michezo Bongo

    Labda niweke wazi kuwa sina chuki hata chembe na hiki kituo cha redio na wala sina utimu mimi....ila ukweli lazima usemwe ili ikiwezekana mabadiliko yafanyike. Awali kipindi hiki kilipoanzishwa niliahidi kuwa mdau mkubwa wa kipindi hiki cha michezo lakini kadri siku zinavyozidi kwenda nilianza...
Back
Top Bottom