st. augustine university of tanzania

  1. A

    KERO Ucheleweshwaji wa Boom SAUT

    Nauliza ni lini wanafunzi kutoka chuo cha mtakatifu Augustine Tanzania SAUT watasaini hela zao za kujikimu awamu ya nne angali wenzao kutoka vyuo vingine washasaini pia huu ucheleweshaji kuna changamoto gani?
  2. peno hasegawa

    Wanafunzi Chuo cha SAUT wapigania haki miaka 12

    Waliokuwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha St Augustine Mwanza wameshinda kesi dhidi ya Bodi ya wadhamini ya chuo hicho baada ya kupigania haki kwa miaka 12 na Mahakama kuamuru walipwe fidia ya Sh30 milioni. Hukumu hiyo ilitolewa Februari 24, 2023 na jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufani...
Back
Top Bottom