A status symbol is a visible, external symbol of one's social position, an indicator of economic or social status. Many luxury goods are often considered status symbols. Status symbol is also a sociological term – as part of social and sociological symbolic interactionism – relating to how individuals and groups interact and interpret various cultural symbols.
Habari wangu.
Kuna ishu naomba msaada, sijuwi ndio mambo yamebadili siku hizi kwenye whatsApp.
Nilisitisha mahusiano na aliekuwa mpenzi wangu. Nilifuta namba yake na picha zake zote. Lakini ajabu bado nikiweka status anaona na jina inajitokeza lile alioandika kwenye whatsaap yake. Imetokea...
Naombeni kuuliza kuna ndugu yangu anataka kujua:
Ukifanya oral interview sekretarieti ya ajira wanachukua muda gani kuibadilisha status ya account yako.
Yani kuna baadhi ya marafiki zangu huwa nawashangaa, wanaweka status za biashara utadhani sisi ni wateja wao.
Nina rafiki kila siku anaweka status za chupi, mwengine kila siku anaposti status za oili za pikipiki, mwengine tray za mayai, mwengine simu, n.k. huwa inafika mahali sasa natamani hata...
App ya whasap badilisheni mfumo wenu upande wa kuview status tunaingia mwaka mwingine very soon tunahitaji mabadiliko tumechoka kumute status ambazo hatuzipendi otherwise hadi ufute namba ya muhusika kwakweli mtandao huu sifurahii sehemu iyo tu!!!!!! Ya status.
.........Kazi iendelee. Wadau mimi ni mfanyabiashara, kwenye simu yangu ya mkononi nimetunza namba takribani 300.
Kati ya hizo Kuna wateja zangu, ndugu zangu, jamaa na marafiki na bila kusahau wadau wa unywaji na michepuko kadhaa.
Hapo kwenye wateja zangu Kuna aina tofauti za watu. Mosi, Kuna...
Ndugu zetu ambao mmeshaanza kulamba asali, ebu mtujuze je status zenu za application katika account ya PSRS zilikuwaje na sasahivi zikoje?
Najua huwenda kila mtu aliandikiwa tofauti, basi usisite kutuambie ulichoandikiwa.
NB: Kama bado hujaanza kulamba asali, usiwe na haraka kukoment, subiri...
Kwema watu wa Mungu?
Naomba kuuliza,hawa heslb wamemwekea mdogo wangu hii status kwenye account yake.
Je kuna matumaini yoyote ya kupata mkopo kweli au ndiyo nijipange na mapema tu kumtafutia ada?
NOTE:amechaguliwa SUA kozi ya veterinary medicine.
taking advantage of EU energy crisis – Paris
Washington is selling gas to the EU for four times what it charges at home, the French finance minister says
US taking advantage of EU energy crisis – Paris
The US should not be allowed to dominate the global energy market while the EU suffers from...
Kuna kasumba naona imezidi kushamili kuwa mtu aliweka status kwenye simu ni mtu ambaye sio smart maana mwanaume au mwanamke mwenye heshima zake humkuti na mambo ayo ya status kwenye simu au kuwa online mara kwa mara au pia kuwepo kwenye magroup. Je, hili lina uhalisia wowote?
Professor Mattias Desmet, a Belgian psychologist with a master’s degree in statistics, gained worldwide recognition toward the end of 2021, when he presented the concept of “mass formation” as an explanation for the absurd and irrational behavior we were seeing with regard to the COVID pandemic...
Ukiona watu hawaview status zako jua unapost ujinga badilika jamaa angu utakosa viwers bure hakuna anayekubali bando lake liishe kijinga kwa kuangalia ujinga
Ni mara chache sana mtu atapost facebook na instagram, inaweza kuwa mara 1 kwa mwezi lakini huku status za whatsapp mtu anaweza kupost kila siku maana hata watu wanaoziona ni wale aliowasevu na anaweza kuwachuja zaidi, pia hata watu watao like ama ku comment ni siri yake sio wazi wazi.
Mtu...
Najaribu kufikiri kwa kina !
Inavyoonekana Rais Wetu Mhe. Samia Suluhu Hassani anatuelekeza kuwa na umoja wa kitaifa kwa ajili ya kuendeleza Taifa.
Amegusa maeneo yote muhimu yalioonekana ni MATATIZO MAKUBWA na hivyo kuja na approach mtambuka.
Ni muhimu kulielewa hili uwe mwanaCCM,Pro...
Habari wadau...!
Habari wadau ebu leo tujadili kuhusu haya mambo ,naona siku hizi mbili yamekiki sana huku kwetu tunaohishi udayasporani baada ya muingereza mtanzania kuibuka na tuzo ya Nobel.
Karibuni tujadili.
Mtandao wa YouTube unao milikiwa na Google waja na YouTube story.
Youtube story ni kipengele cha kumruhusu mtumiaji wa YouTube mwenye account yaani youtuber kuweka hadithi kama ilivyo mitandao mbalimbali ya kijamii mfano Facebook na Instagram wao pia wanatumia Facebook story au instagram story...
The grandson of South African anti-apartheid revolutionary and philanthropist Nelson Mandela has joined a growing chorus of opposition to a recent decision by the African Union Commission to grant “apartheid Israel” observer status at the continental body, slamming the movie as "fatally flawed"...
Kumekuwa na vifo vingi sana vinavyotokea kuanzia wimbi hili Delta lianze ila wengi wanakufa lakini wachache ndio wanaorushwa katika mitandao ya kijamii , hii ni kutokana na wadhifa wa marehemu mwenyewe mfano marehemu alikuwa nani , alikuwa anafanya nini?
Uchumi wake na biashara zake kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.