Stergomena Lawrence Tax (born 6 July 1960) is a Tanzanian civil servant who serves as the incumbent Executive Secretary of the Southern African Development Community (SADC).
Elias Mpedi Magosi
Elias Mpedi Magosi ameidhinishwa kukalia kiti cha Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), akimrithi Dkt. Stergomena Lawrence Tax, Mtanzania aliyehudumu nafasi hiyo tangu mwaka 2013. Dkt. Tax ni mwanamke wa kwanza kabisa kuiongoza SADC katika...
Dkt. Stergomena Tax akiwa na mrithi wake Bw. Elias Mpedi Magosi, raia wa Botswana
Katibu Mkuu wa nne wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, Dkt. Stergomena Tax amemaliza muda wake
Dkt. Stergomena alichukua nafasi hiyo September 2013 na ameaga rasmi Agosti 2021
Elias Mpedi Magosi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.