Dkt. Stergomena Tax akiwa na mrithi wake Bw. Elias Mpedi Magosi, raia wa Botswana
Katibu Mkuu wa nne wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, Dkt. Stergomena Tax amemaliza muda wake
Dkt. Stergomena alichukua nafasi hiyo September 2013 na ameaga rasmi Agosti 2021
Elias Mpedi Magosi...