steve nyerere

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. econonist

    Steve Nyerere kathibitisha umuhimu wa Tume huru ya Uchaguzi

    Leo katika press conference yake Steve Nyerere ambaye ni kada wa CCM alijadili mambo mawili ya msingi na kudhibitisha kwamba Tume Huru ya ya uchaguzi haipingiki. 1. Kwanza kahoji kama Mbunge wa Muheza kupitia chama cha CCM, Mh Mwinjuma alishinda kihalali. Hili ni muhimu, ina maana kuna Wana...
  2. JanguKamaJangu

    Waziri aagiza BASATA kushughulikia mgogoro wa uteuzi wa Steve Nyerere na Wasanii

    Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa, leo Jumanne Machi 22, 2022 amemwagiza Katibu Mkuu wa wizara hiyo kulitaka Barasa la Sanaa Tanzania (BASATA) kuwaita viongozi wa Shiriko la Muziki Tanzania kuhusu mgogoro unaoendelea wa Steven Nyerere kuteuliwa kuwa msemaji kisha...
  3. JanguKamaJangu

    Steve Nyerere: Sing'oki kihuni, kikao chao ni kinyume na Katiba. Nampa Mbunge saa 48 aombe radhi

    Steve Nyerere anazungumza na waandishi wa habari leo Jumanne Machi 22, 2022 “Nawashukuru wasanii wenzangu na Watanzania wote kwa mchakato ambao ulikuwa unaendelea na bado utaendelea. “Muungano na ushirikiano wetu ndiyo utatutoa na kutufikisha mbali, kama tukishikamana tukatoa mioyo yetu chuki...
  4. sky soldier

    Wasanii wamjia juu Fid Q kwa kufanikisha Steve Nyerere kuwa Msemaji wa Wanamuziki wote Tanzania

    Shirikisho la Muziki Nchini Tanzania ambalo Fid Q Ni katibu Mkuu, lilimtangaza Steve Nyerere kuwa Msemaji wa Wanamuziki Wote nchini. Wasanii wamaupinga huu uteuzi na kudai wanataka Kusemewa na Mtu anaejua Changamoto zao na sio Steve ambae ni Mwanasiasa na Muigizaji. Wasanii Wameonekana kutokua...
  5. mwandende

    Steve Nyerere asema bado ni Msemaji wa Shirikisho la Wanamuziki Nchini, hajaondelewa na hajajiuzulu

    Michango ya misiba/Mambo mbali mbali yanayohusu wasanii. Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
  6. Memento

    Kuna mambo tuache siasa, Steve Nyerere hafai kuwa balozi wa chanjo

    Kuna vitu vinashangaza sana, wizara ya afya inashangaza sana. Wote tumeshuhudia duniani kote suala la chanjo likiwa mjadala mkubwa sana ambapo kila aina ya utaalam unatumika kwa wanaokubali na wanaoipinga. Hivyo si suala la kisiasa wala propaganda bali ni la kisanyansi, ndio maana niliona hata...
Back
Top Bottom