Waungwana nataka kufungua biashara hii maeneo kama Tabata au Goba naomba msaada wa mawazo mtaji mdogo kiasi gani naweza kuanza nao na being za fremu maeneo hayo.
Wenye uzoefu naomba msaada went.
Asanteni
Je, ni haki kumwambia mtu anaishi store ilihali yupo kwenye chumba safi kabisa, kitanda safi, meza ya jiko safi, masofa safi, ndoo za maji zimepangiliwa vizuri, kimeza cha sebule cha kulia cha kula safi, pikipiki inabanwa kwenye kona safi, vyombo vya jikoni vimepangwa safi, kabati la nguo...
By: Author Lydia Noyes
The hardest work of the gardening season is over, and you’re bringing in your potato harvest.
Or maybe you’ve visited your local farmers’ market and got a little carried away buying farm fresh potatoes.
Nights of home fries and mashed potatoes await, but let’s be real...
Habari Wakuu,
Kwa siku tatu Sasa Simu yangu Tecno BC3 imekuwa na tatizo la kudownload Apps kwenye play store. Nikijaribu inasema pending tu. Nimejaribu solutions zote nilizopata mtandaoni isipokuwa factory reset bila mafanikio.
Msaada tafadhali.
Naomba kufahamishwa app nzuri ya moja ya tv zetu ni nzuri kwa kuangalia tv kwenye simu,app nyingine hata hazieleweki unapoteza mb kudownload lakini unakuta zinasumbua.
Logistics and Store Manager
Job Title: Logistics and Store Manager
Location: Dar es Salaam, Tanzania
Logistics and Store Manager Required immediate
With driving license
With store management training
Able to work independent
Age 25-30 years
Sex Male
Send your resume to...
Title: STOREKEEPER
Direct Reports: WAREHOUSE MANAGER
Location: DAR ES SALAAM
FOR NATIONAL STAFF ONLY
INTRODUCTION:
Médecins Sans Frontières (MSF) is an international, independent, medical humanitarian organisation that delivers emergency aid to people affected by armed conflict, epidemics...
Asalaam Alaikum.
Fursa ya ajira.
Kuna nafasi za kazi za...
1) Mhasibu (Accountant).
2) Store Keeper.
3. Personal Assistant.
Anaeomba kazi awe ni mzoefu wa hiyo kazi na anafahamu kazi na sio wa kufundishwa kazi.
Kazi zetu kwa sasa zipo Mkoa wa Pwani, Kibaha, Misugusugu, Mtaa wa Vitendo...
Ingependeza tuwe na sehemu ambako unazikuta app za kitanzania kwa wingi. Maana sehemu kama playstore ni vurugu tupu. App za kila aina. Pia tukiwa na apps store yetu ni rahisi kuweka vitu kama malipo kwa mazingira yetu.
Kwanini hatuna apps store yetu?
Habari Wana JF, Natumai mko poa.
Wakuu, nataka kuanzisha online store ningelipenda mnishauri na mpendekeze products ambazo online zinauzika. Mimi nimefikiria kuhusu Laptop na Smartphones used and new.
Kutokana na gharama za ku set up store na kuiendesha. Ningelipenda mupendekeze niche zenye...
Wale wapenzi wa games. Ikumbukwe hili game halijawahi kucrakiwa tangu mwaka 2016 litoke.
Sasa linatolewa bure hadi tar 8 mwezi wa 9. So chakufanya ni ww kudownload pc app ya uplay then jisajili na ulidownload bure. Lilikuwa likiuzwa kwa usd 29. Karibu 70000/= za kitanzania.
Tom Clancy's The...
Position: Store Keeper
Date: 08-May-2020
Location: Kibondo & Nyarugusu, 08, TZ
Company: Plan International
The Organisation
Plan International is an independent development and humanitarian organisation that advances children’s rights and equality for girls.
We believe in the power and...
By: Khamis Saleh
•Staffs are the first Customers and our brand ambassadors
•Stand front to remind people about the vision
•Let them feel are comprised in that vision
•Get time to Know your people, they can cause failure or success
•We may have these kind of people, to know them will increase...
Habari wadau!
Hope mko poa kabisa, na kwa neema za Mungu tunatumai atatuvusha mwaka salama, kwa wale ambao ni wagonjwa na wenye shida mbalimbali, basi ni maombi yangu kwa Mungu wa Mbinguni akuponye na kukupatia wepesi kwa yale unayopitia.
Teknolojia inakuwa kwa kasi sana, na kila siku mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.