stories

Wonder Stories was an early American science fiction magazine which was published under several titles from 1929 to 1955. It was founded by Hugo Gernsback in 1929 after he had lost control of his first science fiction magazine, Amazing Stories, when his media company Experimenter Publishing went bankrupt. Within a few months of the bankruptcy, Gernsback launched three new magazines: Air Wonder Stories, Science Wonder Stories, and Science Wonder Quarterly.
Air Wonder Stories and Science Wonder Stories were merged in 1930 as Wonder Stories, and the quarterly was renamed Wonder Stories Quarterly. The magazines were not financially successful, and in 1936 Gernsback sold Wonder Stories to Ned Pines at Beacon Publications, where, retitled Thrilling Wonder Stories, it continued for nearly 20 years. The last issue was dated Winter 1955, and the title was then merged with Startling Stories, another of Pines' science fiction magazines. Startling itself lasted only to the end of 1955 before finally succumbing to the decline of the pulp magazine industry.
The editors under Gernsback's ownership were David Lasser, who worked hard to improve the quality of the fiction, and, from mid-1933, Charles Hornig. Both Lasser and Hornig published some well-received fiction, such as Stanley Weinbaum's "A Martian Odyssey", but Hornig's efforts in particular were overshadowed by the success of Astounding Stories, which had become the leading magazine in the new field of science fiction. Under its new title, Thrilling Wonder Stories was initially unable to improve its quality. For a period in the early 1940s it was aimed at younger readers, with a juvenile editorial tone and covers that depicted beautiful women in implausibly revealing spacesuits. Later editors began to improve the fiction, and by the end of the 1940s, in the opinion of science fiction historian Mike Ashley, the magazine briefly rivaled Astounding.

View More On Wikipedia.org
  1. Balqior

    Wanawake wengi wa sasa kwenye mahusiano wako kibiashara (wana selfish motives), wanaume tuache ku-fantasize romantic cinderella stories

    Habarini Nliingia kwenye insta story ya niffer, aliuliza wadada ni kitu gani kinafanya wawaheshimu zaidi wanaume walio nao, almost 95% of them walijibu maokoto, na their replies zilikua na umimi mwingi , me, me me, me, & me ananifanyia hiki. Wadada wachache walisifu "utu wema k.v loyalty...
  2. Mohamed Said

    Watoto wa Kazi Kazini: Ona Stories na Historia ya Bibi Titi

    VIJANA WA KAZI KAZINI: ONA STORIES NA HISTORIA YA BIBI TITI MOHAMED Nimealikwa kwenye studio nyingi ndani na nje ya Tanzania kuzungumza na wakati mwingine kwa mahijiano maalum. Kwa kiasi changu naweze kusema nazijua studio na watu wake. Lakini na narudia lakini, studio hii niliyotia mguu leo...
  3. Mshangazi dot com

    Nani mwingine anachukia Movie za mapenzi / romantic films na love stories kama mimi?

    Nimerudi nyumbani nimekuta wanaangalia love story ya kikorea, hivi mnawezaje jamani? Unakuta kwenye kipande cha movie, wapenzi wamesimama kwenye mlango uliofungwa, mmoja yuko kwa ndani, mwingine yuko nje wameweka mikono inagusa mlango at the same spot, wanajiliza kijinga jinga tu. Mara...
  4. J

    Hafla ya utoaji tuzo kwa Washindi wa Shindano la Stories of Change 2024

    Matukio yaliyoendelea katika hafla ya utoaji tuzo kwa Washindi wa Shindano la Stories of Change iliyofanyika Septemba 21, 2024 katika Hoteli ya Johari Rotana, Dar es Salaam, ikihudhuriwa na Wageni Mashuhuri wakiwemo Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Christine Grau ambaye alikuwa Mgeni...
  5. Genius Man

    LGE2024 Katika shindano la stories of change 2024 nilieleza wazi udhaifu wa sheria zetu za uchaguzi

    Katika shindano la "stories of change" ambalo lilikuwa likilenga maboresho ya msingi yanayopaswa kufanyika ndani ya taifa ili kuipata Tanzania tuitakayo katika nyanja mbali mbali ikiwemo masuala ya sheria. Niliezea wazi udhaifu wa sheria zetu za uchaguzi kwamba zipo kama mapambo na Haziwezi...
  6. JamiiForums

    2024 Stories of Change Award Ceremony: Zimebaki Siku 4 tu kutoa Tuzo kwa Washindi. Upo Tayari?

    Bado siku 4 tu kufikia Septemba 21, 2024, ambapo tuzo zitatolewa kwa Washindi wa Awamu ya 4 ya Shindano la Stories of Change (SoC). Mwaka huu (2024), kupitia maandiko ya washiriki kwa ubunifu mkubwa yamelenga kuboresha mustakabali wa Tanzania kwa kipindi cha Miaka 5-25, kwa kuzingatia Dhima ya...
  7. I

    SoC04 Tanzania tuitakayo iboreshe Elimu, Siasa, Uchumi na masuala ya Kijamii

    Awali ya yote shukrani za kipekee ziende Kwa JamiiForums kwa jukwaa hili lenye lengo chanya katika kufikia Tanzania tuitakayo, katika kuifikia Tanzania tuitakayo nitagusia katika sekta kadhaa ambazo ni Elimu, Siasa, Uchumi na Kijamii. Mosi, katika elimu kwanza kabisa kuwepo na mapinduzi ya...
  8. sixto Mwanambuu

    SoC04 Stories of change 2024

    Tanzania ni moja ya nchi zenye fursa kubwa za maendeleo barani Afrika kutokana na rasilimali zake za asili, utajiri wa ardhi, na idadi kubwa ya watu wenye vipaji na uwezo. Hata hivyo, ili nchi hii iweze kufikia ukuaji wa kiuchumi na kijamii unaostahili, kuna mambo kadhaa muhimu yanayopaswa...
  9. P

    SoC04 Stories of Change 2024

    Tanzania pamekuwa na ubadhilifu wa mali za Umma Kila siku lakini hakuna uwajibishwaji wa wale wanaohusika hadi inapelekea kuwa KAWAIDA na wengine hutamani kuiba! Hii ni Kwa sababu 1. Hakuna usimamizi nzuri wa sheria 2. Muhimili kama BUNGE hawatungi Sheria Kali ikiwa mtu atabainika kuiba fedha...
  10. Bullshit

    Kwanini post yangu ya stories of change ilifutwa

    Kama kuna sababu za kufuta mnijulishe lakini kufuta bila kutoa sababu yeyote naona si vizuri
  11. Gambino X

    Wazo La Kukuza Uchumi kwa Wakulima an Vijana

    Mabadiliko ni Muhimu sana. Tufanye wenyewe kama mtu na mtu au serikali kwetu au taasisisi cha umuhimu ni mabadiliko. Tunashindana kupata stories bora ambazo zitaleta maendeleo chanya. Natamani kuona mawazo ya Wa Tanzania wenzangu ya kiuchumi na tuangalie namna gani kwa pamoja tunaweza...
  12. Massawe John

    SoC04 Mawazo thabiti ya namna ya kuyafikia maendeleo nchini Tanzania

    Uwazi na uwajibikaji thabiti katika uongozi; ikiwa taifa litatunga sera,sheria na miongozo ambayo itakwenda kuzilazimisha tawala/watawala kua wawazi katika utendaji na utekelezaji wa shughuli za kiserikali hii itaenda kupunguza au kuondoa kabisa ubadhirifu wa rasilimali za taifa na kodi za...
  13. Nyendo

    Hivi wanawake wenzangu wa JF mmeshaandika kuhusu Tanzania tuitakayo kwenye Stories of Change?

    Habari Wanawake wote wa JF, Salaam ziwafikie mliko Wanaume pia hakika mnastahili pongezi kwa kuwa waibua mijadala na watoa maoni yanasaidia katika ujenzi wa Taifa letu kwa ujumla. Leo naongoe na wanawake, jeshi kubwa, nina swali kwenu je, mmeshaanza kuandika, mmeshiriki shindano na kupost...
  14. Juma jaibu kuhanga

    SoC04 Mawazo yetu tanzania yetu

    Bungeni; Katika bunge la tanzania ni muhimu watu wenye mahitaji maalimu wangejumuishwa katika nafasi ya wabunge wa viti maalum hii itasaidia kuwepo kwa uhalisia wa mambo yao wanayowakabili katika jamii ingepeteza kama walemavu wa viongo, wasiona, viziwi, bubu na albino kila watu apo wangekuwa na...
  15. EXODUS ZION

    SoC04 Stories of Change (5-25 years)

    STORIES OF CHANGE 2024: INTRODUCTION. Tanzania is one among of the African countries with many resources and one of the countries with peace and comfort but we need a new Tanzania for the next 5 to 25 years. IN EDUCATION. In Tanzania we have four levels of education. Which...
  16. D

    SoC04 How Tanzania can take it's economy to another level in 5- 25 years through investing in technology

    In the next 25 years, Tanzania has the opportunity to leverage technology to propel itself to the next level in various sectors, including education, healthcare, agriculture, governance, and infrastructure development. These are few examples; Education: Technology can revolutionize education in...
  17. JamiiForums

    SoC04 Vigezo na Masharti ya kushiriki katika Shindano la Stories of Change - 2024

    Mshiriki lazima awe mwanachama wa JamiiForums, ambapo anaweza kujisajili kwa kiunganishi hiki; Register Mshiriki anaweza kutumia jina halisi au la kubuni ‘pseudonym’. Mshiriki atatakiwa kutaja jina halisi endapo ataibuka MSHINDI. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linaloelezea TANZANIA...
  18. JamiiForums

    SoC04 Uzinduzi wa awamu ya Nne wa Shindano la Stories of Change 2024, Zaidi ya Tsh. Milioni 50 Kushindaniwa

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UZINDUZI WA AWAMU YA 4 YA SHINDANO LA “STORIES OF CHANGE” JamiiForums (JF) ni Asasi ya Kiraia yenye Makao Makuu jijini Dar es Salaam. JF inashughulika na Haki za Kidigitali, Demokrasia, Uwajibikaji na Utawala Bora. Vilevile, inaratibu Mtandao wa JamiiForums.com...
  19. Mohamed Said

    Interesting Histories, Interesting Stories

    INTERESTING HISTORIES INTERESTING STORIES Kuna mtu kaniandikia anatafuta kazi imshughulishe kaniomba msaada. Nimemwandikia hayo hapo chini na nimeweka hapa ili mwingine yeyote atakae shughuli ya kufanya aone labda In Shaa Allah yatamfaa: "Umesoma kitabu cha Abdul Sykes? Unaweza kupata mengi...
  20. Research Solutions TZ

    Niseme nini kuhusu ushindi wa Stories of Change?

    Kila kitu kilikuwa kama maigizo kabla ya kuona rasmi napokea muamala kama mnavyoona hapo juu. Sina la kusema zaidi ya kuwashukuru JamiiForums kwa kunipatia hela hii ambayo sitahitaji ushauri wa jinsi ya kuitumia. Nimefungua akaunti hii muda mrefu sana, nikawa napata vijisent vya hapa na pale...
Back
Top Bottom