stories

  1. JamiiForums

    Athanas Myonga aibuka Mshindi wa kwanza wa Shindano la Stories of Change 2023

    Baada ya miezi mitano (5) tangu Msimu wa Tatu wa Stories of Change 2023 ulipotangazwa, kuanza na baadaye kufuatiwa mchakato wa Majaji kufanya uhakiki wa Vigezo vilivyowekwa, hatimaye usiku wa leo Oktoba 7, 2023, Washiriki waliofanikiwa kujishindia zawadi mbalimbali watafahamika/julikana. Kuhusu...
  2. hermanthegreat

    Naombeni link za true stories humu JF

    Wakuu Tofauti na mitandao mingine ya kijamii nimeweza kujifunza mambo kupitia story za kweli humu JF, kama story za BM X6 INSIDER MAN LWANDA MAGERE Analyse UMUGHAKA13 Lakini naamini JF ni mtandao mkongwe sana tangu 2006, lazima kuna story nyingi zaidi ya hizi, bahati mbaya search engine ya JF...
  3. JamiiForums

    Je, ulishiriki Stories of Change? Tafadhali angalia PM yako

    Katika mpango mkakati wa JamiiForums (JF) wa miaka 5 (2020-2024), JF ilidhamiria kuendesha shindano lenye kuwawezesha wananchi kushiriki katika kuongeza ubora wa maudhui ya Kiswahili yenye kuchochea mabadiliko. Shindano hili lianza rasmi mwaka 2021 na huendeshwa kila mwaka. Mwaka 2023 kuanzia...
  4. D

    The state of aids and its stories (curse)

    intro: so siku za nyuma nimekutana na binti mmoja wa kiislam, age : 19. married, education : form 2. ana mimba pia anamuamini Sana mume wake , mume yupo late 20s, mfanyabiasha na pia ameajiliwa, kazi ina all benefits bima and everything. Mainstory Huyu mtu ana imani kubwa sana na mume wake...
  5. JamiiForums

    Namna ya kuweka andiko lako ndani ya jukwaa la Stories of Change

    Jinsi ya kushiriki Shindano la STORIES OF CHANGE Kama tayari una Akaunti ndani ya JamiiForums.com, fungua Kivinjari chako (Browser) kisha ingia jukwaa la Stories of Change 2024 Bonyeza 'Start Discussion' halafu chagua 'Stories of Change 2024' itafunguka sehemu ya kuweka Tittle au Kichwa cha...
  6. SirAlfred006

    Crazy coincidence stories

    1. CHOKED PROF A man named Daniel Du Toit was giving a lecture to his students about death and warned his students that death could strike anyone at any time. He then took an innocent, little peppermint candy and popped it into his mouth Daniel du Toit choked to death on the peppermint. 2). The...
  7. JamiiForums

    Vigezo na masharti ya kushiriki katika Stories of Change 2023

    Mshiriki lazima awe mwanachama wa JamiiForums, ambapo anaweza kujisajili kwa kiunganishi hiki; Register Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’. Mshiriki atatakiwa kutaja jina halisi endapo ataibuka mshindi. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko ambalo linachochea mabadiliko kuhusu...
  8. Mohamed Said

    Mwanachama Bora Jamiiforums 2022

    MWANACHAMA BORA JAMIIFORUMS STORIES OF CHANGE 2022 Picha zilizopo hapo chini zinajieleza zenyewe. Nawashukuru sana JF kwa heshima hii waliyonipa. Huu ni mwaka wa pili mfululizo napewa heshima hii. Leo nimefika JF na nimekabidhiwa zawadi zangu. Huo mfuko ndimo zilimo hizo zawadi zangu. Zawadi...
  9. FK21

    Mume aliyejela amuagiza mkewe chakula chenye sumu ili afe lakini kilipimwa na mke kukutwa na hatia

    Mshikaji mmoja yupo jela kwa kesi ya mauaji. Alimuacha mke vizuri na kila kitu sasa mke wake akawa anakitembeza sana, anachapwa sana mtaani na vijana jamaa. Stori zikampata ikamuuma sana. Siku mke kaenda kumtembelea jamaa kamwambia mke wangu humu siwezi kutoka niletee chakula chenye sumu nife...
  10. BARD AI

    Instagram kuruhusu video za dakika 1 kwenye Insta Stories

    Instagram inaongeza kikomo cha urefu wa video zinazoshirikiwa kwenye kipengele chake cha Hadithi kutoka sekunde 15 hadi dakika 1. Hapo awali, video za dakika moja zilizoshirikiwa kwenye Hadithi za Instagram zingegawanywa katika klipu za sekunde 15 lakini jukwaa linalomilikiwa na Meta linasema...
  11. JamiiForums

    Soma hapa kabla ya kuchapisha andiko lako katika Jukwaa la Stories of Change

    Kwa wote wanaotaka kushiriki shindano la Stories of Change Tafadhali someni kwa makini vigezo hivi. Hakikisha andiko lako limekidhi kabla ya kutaka kuchapisha. Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili: Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za...
  12. K

    Nitampigia kura kila mshiriki wa shindano la Stories of Change

    Haya ni maamuzi yangu sijashawishiwa na mtu na sitegemei ahsante ya aina yoyote
  13. isajorsergio

    Instagram Stories zimeongezwa kufikia sekunde 60

    Instagram imeongeza muda wa Stories kutoka sekunde 30 na sasa kufikia 60. Kwa sasa watumiaji wa iOS ndio wanaweza kutumia kipengele hiki cha sekunde 60 na hivi karibuni kuwafikia Android.
  14. Theb

    Niwape pongezi washindi na wote walioshiriki shindano la Stories of Change

    Ndugu wana jamii forum. Leo niwape pongezi wale wote walioibuka washindi katika lile shindano la uandishi hapa jamii forum, na pongezi zingine pia kwa wale wote waliondika maandiko mbali.mbali yenye kuelezea changamoto, maoni, ubunifu, uongozi, nk. 1. Hongera kwako Abrianna jwa kuibuka...
  15. Boniface Evarist

    Nimeota ndoto saa kumi alfajiri nimeshinda Stories of Change!

    Habari zenu wadau! Alfajiri ya leo Jumamosi mnamo saa 10:30 hivi nimeota kama nimeletewa mifuko mitatu mizuri sana. Katika mifuko yote kuna nguo. Naomba nielezee! 1. Mfuko huu una nguo nzuri sana imeandikwa mshindi namba moja wa stories of change, ila pale sikumbuki jina lake. Ukishika huu...
Back
Top Bottom