stories of change 2023

  1. JamiiForums

    Athanas Myonga aibuka Mshindi wa kwanza wa Shindano la Stories of Change 2023

    Baada ya miezi mitano (5) tangu Msimu wa Tatu wa Stories of Change 2023 ulipotangazwa, kuanza na baadaye kufuatiwa mchakato wa Majaji kufanya uhakiki wa Vigezo vilivyowekwa, hatimaye usiku wa leo Oktoba 7, 2023, Washiriki waliofanikiwa kujishindia zawadi mbalimbali watafahamika/julikana. Kuhusu...
  2. Ms_LB

    SoC03 Kuimarisha Uwajibikaji na Utawala Bora katika Nyanja ya Elimu Tanzania: Mabadiliko Yanayohitajika kwa Maendeleo Endelevu

    Utangulizi. Uwajibikaji na utawala bora ni mada muhimu katika nyanja ya elimu nchini Tanzania. Kuna changamoto kadhaa zinazoathiri uwajibikaji na utawala bora katika mfumo wa elimu. Hata hivyo, kuna pia hatua ambazo zinaweza kuchukuliwa ili kuleta mabadiliko chanya. Katika andiko hili...
  3. Dynaphics

    SoC03 Jinsi ubunifu na teknolojia vilivyonisaidia mimi binti kuwa Graphics Designer

    UTANGULIZI Dunia ya sasa na inakoelekea kuna kukua na kuenea kwa sayansi na teknolojia kwakuwa ina umuhimu sana katika kuleta mafanikio na maendeleo, mambo mengi yanatatuliwa kupitia teknolojia, mambo mengi yanaanzishwa kupitia teknolojia hivyo inanafasi nyingi sana. Lakini wanawake waliopo...
  4. Dynaphics

    SoC03 Jinsi ubunifu na teknolojia ulivyoniwezesha mimi kama binti

    Baada ya kumaliza stashahada ya sheria mwaka 2020 wakati nasubiri matokeo kutoka ili niweze kuendelea na elimu ya juu zaidi, nilikuwa na miezi kadhaa ya kusubiri kuanza kujisajili na shahada na sikutaka kukaa nyumbani bila kujishughulisha. Niliwasiliana na rafiki yangu mmoja ili anipe nafasi...
Back
Top Bottom