stories of change 2024

The Brain That Changes Itself: Stories of Personal Triumph from the Frontiers of Brain Science is a book on neuroplasticity by psychiatrist and psychoanalyst Norman Doidge.

View More On Wikipedia.org
  1. WAPEKEE_

    SoC04 Tanzania tuitakayo: Elimu ya vyuo vya ufundi iwe lazima kisheria kwa vijana wote wanaoshindwa kuendelea elimu ya juu

    TANZANIA TUITAKAYO : ELIMU YA VYUO VYA UFUNDI IWE LAZIMA KISHERIA KWA VIJANA WOTE WANAOSHINDWA KUENDELEA ELIMU YA JUU. UTANGULIZI. Awali ya yote nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, niwapongeze sana jukwaa la JAMII FORUMS, kwa kuanda shindano hili la kibunifu zaidi na lenye...
  2. P

    SoC04 Tanzania We Aspire To

    Tanzania We Aspire To. Author:Nkwabi Laurent Elias Vision Statement This document outlines a visionary framework for Tanzania over the next 5, 10, 15, and 25 years, focusing on various critical sectors: education, health, technology, economy, environment, infrastructure, and politics (civil...
  3. Rahimu Yekenya

    SoC04 Tanzania tuitakayo ikiwa na miundombinu bora

    Kuchochea Maendeleo ya Miundombinu Bora ya Tanzania katika Miaka 20 Miundombinu iliyoboreshwa ni nguzo muhimu ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika taifa lolote. Kwa Tanzania, kuhakikisha kuwa na miundombinu bora katika kipindi cha miaka 20 ijayo ni muhimu kwa ukuaji endelevu na mafanikio...
  4. T

    SoC04 Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuwa na mahusiano mazuri na Raia kwa masilai makubwa ya usalama wa taifa miaka ijayo

    Katika jamii kote ulimwenguni, uhusiano kati ya raia na vikosi vya usalama una umuhimu mkubwa sana kwa masilai makubwa ya usalama wa taifa. Ni mwingiliano unaobadilika unaounda muundo wa uthabiti, ustawi na hali ya usalama ya taifa. Kiini cha uhusiano huu kuna dhana ya urafiki ambayo mara...
  5. Uhakika Bro

    SoC04 Je, ikiwa taifa linachohitaji kiukweli ni kupumua? Tanzania inayopumua ipasavyo

    Mimi siyo mhubiri, ni mtafiti. Lakini naijua kanuni, na kanuni hiyo rafiki yangu, ni Neno la Mungu. Bwana MUNGU aiambia mifupa hivi; Tazama, nitatia pumzi ndani yenu, nanyi mtaishi. (1) "Mwenyezi Mungu Amtakaye kumwongoza hukifungua kifua chake kwa kunyenyekea. Na amtakaye kumpoteza hukifanya...
  6. Mr Suprize

    SoC04 Tanzania tunayoitaka: Tufundishe masomo haya kuanzia Awali, Msingi, Sekondari na kuendelea

    Elimu ni nguzo kuu sana kwa maendeleo ya nchi yoyote. Kwa kuzingatia hilo, nadhani kuna umuhimu zaidi wa kufundisha masomo yafuatayo ambayo yanazingatia mahitaji ya sasa na ya baadaye kwa maendeleo ya nchi yetu, kuanzia elimu ya awali, msingi, sekondari, na kuendelea: 1. Kusoma, Kuandika, na...
  7. BabWoo

    SoC04 Mbinu za kuboresha sekta ya utalii katika Tanzania tuitakayo

    Huwezi zungumzia sekta zenye mchango mkubwa katika uchumi wa nchi yetu bila kuitaja sekta ya utalii. Imekua ikichangia pato la taifa na ajira kiujumla. Licha ya uwepo na utajiri wa maliasili na vivutio vya utalii sekta hii imekua ikikabiliwa na changamoto mbalimbali zinazozuia ukuaji wake wa...
  8. D

    SoC04 How Tanzania can take it's economy to another level in 5- 25 years through investing in technology

    In the next 25 years, Tanzania has the opportunity to leverage technology to propel itself to the next level in various sectors, including education, healthcare, agriculture, governance, and infrastructure development. These are few examples; Education: Technology can revolutionize education in...
  9. Kong xin cai

    SoC04 Tusichague viongozi (wabunge) kwa kigezo cha wao kuja kutatuta matatizo yetu. Tuchague viongozi waaminifu na wenye uzalendo juu ya taifa letu

    TANZANIA TUITAKAYO 1.0 UTANGULIZI Takribani miaka 63 imepita tangu Tanganyika kupata uhuru na miaka 60 ya muungano wa jamuhuri ya muungano wa tanzania. Chaguzi nyingi zimepita pamoja na marekebisho mbalimbali ya katiba yamekwisha fanyika ili kuleta uongozi bora na kuimarisha demokraia nchini. Ni...
  10. Kong xin cai

    SoC04 Jinsi mfumo wa "Angalau D nne" unavyoshusha thamani ya elimu nchini

    Utangulizi Katika mfumo wa elimu wa tanzania mwanafunzi anaanza kitado cha kwanza hadi cha nne, ukifaulu vizuri unaendelea kidato cha tano na sita mpaka chuo, lakini kumekuwa na uanzishwaji wa vyuo vinavyodahili wanafunzi waliomaliza kidato cha nne na kupata angalau D nne, hawa wanafunzi huwa...
  11. 1

    SoC04 Maonyesho ya Kijeshi yajikite zaidi kwenye kuonyesha uvumbuzi wa silaha na vifaa vya kivita

    Imekuwa ni jambo la kawaida kila mara zifanyikapo sherehe za kitaifa (Sherehe za Uhuru, Muungano na Mapinduzi ya Zanzibar) kuambatana na maonyesho ya kijeshi. Maonyesho haya yamekua yakionyesha mbinu kadha wa kadha wanazotumia wanajeshi wakiwa vitani. Ni jambo la kuvutia na kusisimua sana...
  12. N

    SoC04 Akufaaye kwa Dhiki ndiye Rafiki

    Tanzania Tuitakayo, huweza kuja kwa kuwa na taifa moja ambalo ni rafiki zaidi ya ndugu (Special Relationship) kama urafiki (Special Relationship) uliopo kati ya mataifa yaliyoendelea zaidi duniani; USA na UK. 'Special Relationship' ni uhusiano wa kidiplomasia wenye nguvu, wenye umuhimu na wa...
Back
Top Bottom