stories of change

Stories of Change is a 2008 documentary film by BRAC Pathways of Women Empowerment.
The documentary focuses on the lives of five women aging from 16 to 60, coming from different walks of life, from different professions, religions and regions of Bangladesh.The film screened at various film festivals:
Jeevika: South Asia Livelihood Documentary Festival, Delhi (August 28–31, 2008)
Asiatica Film Mediale, Rome (November 15–23, 2008)
Goan Peoples' Film Festival: Celebrating Life and Livelihoods (November 21–29, 2008)
Kolkata International Documentary Film Festival (January 26–30, 2009)

View More On Wikipedia.org
  1. M

    SoC01 Maboresho ya Nyanja za Uchumi kwa Maendeleo

    MABORESHO YA NYANJA ZA UCHUMI KWA MAENDELEO Maendeleo ya jamii au taifa lolote huchochewa na watu wake, mifumo ya utendaji na uchapakazi. Mabadiliko na udhibiti wa utendaji ni moja ya silaha kubwa katika kuchochea maendeleo na ufanisi ndani ya Taifa. Katika nchi yetu Tanzania kuna haja ya...
  2. Lazarokakai

    Tanzania na maendeleo kwa miaka ijayo

    TANZANIA NA MAENDELEO KWA MIAKA IJAYO Kwa Hali ya Tanzania ya Sasa inahitaji mabadiliko makubwa ya kimfumo wa kisiasa zaidi ili maendeleo yapatikane kwa kuendana na Hali ya watanzania wenyewe. 1.Tanzania hii ya Sasa vitu vinapanda bei kila kukicha bila kuangalia Hali ya watanzania wenyewe na...
  3. Allist

    SoC01 Mifumo yetu ya malipo, Benki, utumaji pesa na ulipaji Kodi kuendana na Kasi ya Teknolojia (kutumia Blockchain technology)

    Mifumo yetu ya malipo, Benki, utumaji pesa na ulipaji Kodi iendane na spidi ya Teknolojia (kutumia Blockchain technology). Blockchain technology ni teknolojia mpya iliyogunduliwa mwaka 2008 na kushika kasi kuanzia 2014, ni mfumo madhubuti ambao ni ngumu Ku hack na kuiba data au pesa. kwa...
  4. Emmanuel Zao

    Fahamu haya kuhusu ajira za nje ya nchi

    Hii ni kwa yeyote mwenye ndoto ya kwenda kufanya kazi nje ya nchi: Ili mwajili wa nje ya nchi akupe stahiki zako kama mfanyakazi na wewe ufurahie fursa hiyo basi ni lazima uwe na: 1. Elimu ya uhakika sababu ndio kigezo cha mtu anaejitambua kwa Dunia ya leo. 2. Uzoefu na taaluma yenye...
  5. JamiiForums

    Shindano: Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change)

    Jamii Forums (JF) ni Asasi ya Kiraia inayoratibu mtandao wa JamiiForums na kuhamasisha Haki za Kidigitali, Demokrasia, Uwajibikaji na Utawala Bora. Jamii Forums imekuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha uandishi wa maudhui bora na yenye tija mtandaoni kwa zaidi ya miaka 15 kwa kutoa jukwaa la...
Back
Top Bottom