subaru

Subaru (スバル) ( or ; Japanese pronunciation: [ˈsɯbaɾɯ]) is the automobile manufacturing division of Japanese transportation conglomerate Subaru Corporation (formerly known as Fuji Heavy Industries), the twenty-second largest automaker by production worldwide in 2012.Subaru cars are known for their use of a boxer engine layout in most vehicles above 1500 cc. The Symmetrical All Wheel Drive drive-train layout was introduced in 1972. The flat/boxer engine and all-wheel-drive became standard equipment for mid-size and smaller cars in most international markets by 1996, and is now standard in most North American market Subaru vehicles. The lone exception is the BRZ, introduced in 2012 via a partnership with Toyota, which uses the boxer engine but instead uses a rear-wheel-drive structure. Subaru also offers turbocharged versions of their passenger cars, such as the Impreza WRX, Legacy and Outback XT, Ascent, and previously the Legacy GT and Forester XT.
In Western markets, the Subaru brand has traditionally been popular among a dedicated core of buyers. Marketing is targeted towards specific niches centered on those who desire the company's signature drive train engine, all-wheel/rough-road capabilities or affordable sports car markets.Subaru is the Japanese name for the Pleiades star cluster M45, or the "Seven Sisters" (one of whom tradition says is invisible – hence only six stars in the Subaru logo), which in turn inspires the logo and alludes to the companies that merged to create FHI.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    Mercedes Benz Sedan Vs Subaru Forester?

    Nimejichanga Sasa nataka kununua gari ili kujipongeza. Je gari gani ya kununua? Kati ya Benz E200 ya kuanzia 2009 Vs Subaru Forester XS ya kuanzia 2008.
  2. Naomba maelezo kuhusu Subaru Impreza G4

    Habari. Kwa waliowahi kutumia hii gari naomba watuambie ikoje ubora wake kuanzia spea zake, fuel consumption iko vipi Asante!
  3. Sikushauri kununua Impreza subaru

    Mnaonunua hili gari mmeangalia mazingira halisi ya hapa kwetu Tanzania? Gari ipo chini sana pia ni gari ambayo mafuta yanaenda mengi sana sijui kuhusu spare zake kama ni rahisi kuzipata hapa bongo, je mafundi wa magari hapa bongo wanaweza litengeneza ilo gari? Mafundi wa bongo ni wachache sana...
  4. D

    Ushauri: Nichague ipi kati ya BMW X3 2013 au Subaru Forester 2013

    Kati ya gari hizi mbili ambazo naona kwasasa zinanunuliwa sana kwenye miji mikubwa zikiwa na namba E, ipi inafaa zaidi kwa matumizi ya kawaida ya mjini. Zote ni 2.0 AT petrol za mwaka 2013/14 na zote ni all wheel drive/4WD. Wenye uzoefu na hizi gari msaada. Budget yake ni kuanzia 43m mpaka 50m...
  5. Subaru Foresta 2.5, 2017

    Hii Subaru ya South Africa ipo vizuri kwa muonekano Mbio kwa wakimbiaji na balance ipo pia..hapo naona inauzwa 32,000,000 Tsh bado kaizari na gharama za kusafirisha mpaka Tunduma...
  6. M

    Car4Sale Subaru Forester inauzwa

    Bei ni 10m. Maongezi yapo. Engine sio ya turbo. Kwa mawasiliano na kutest, 0689-601271 na 0685-493792
  7. Subaru Forester Vs Honda Crossroad

    Wakuu habari za Jumapili!? Kuna kahela nimepata kidogo nataka kuagiza gari. Baada ya kufikiria kwa muda mrefu nimetamani gari mbili tu; Subaru Forester au Honda Crossroad. Wataalam wa magari nichukue lipi hapa? Ushauri wenu wa maana sana kwangu. Asanteni.
  8. Car4Sale Tunatoa huduma ya kuagiza magari ya aina mbalimbali

    PDF pichani inaeleza kwa ufupi uzuri na ubaya wa aina za mifumo tajwa ya uendeshaji lengo likiwa kukuongoza kufanya uchaguzi sahihi wa aina ya gari unayofikiria kuagiza kulingana na matumizi yako. Pitia ujifunze zaidi
  9. M

    Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

    ✍🏾Kwa jina Naitwa CECE motors. Najishughulisha na Uagizaji wa Magari mapya aina zote na nchi tofauti tofauti kama Japan,UK,Dubai, Singapore, e.t.c 👉🏼Pia Nafanya Clearing and Forward Agent Kwa Mizigo yoyote uliyoagiza/Utakayoagiza kama vile Magari,Makontena, E.t.c 👉🏼 Bila kusahau tunatoa Mikopo...
  10. K

    Car4Sale Magari makali

    ONDOKA NA GARI KWA BEI NAFUU SANA KARIBU WHATSAPP KWA MAELEZO ZAIDI 1.TOYOTA SPACIO ENGINE 1zz Engine cc 1970 Full Ac Full Document Bei Mil 8.8 2.RAUM NEW MODEL 2004 REG #DE Low Milleages. Engine 1nz CC 1490 Full Ac Full Document All duties and tax payed Bei Mil 8.8 3.TOYOTA IST 2004 REG #DR...
  11. R

    Kati ya Toyota Allex, wish na subaru impreza ipi ni gari nzuri?

    Wanajamvi Salaam. Nahitaji kununua gari kwa mara ya kwanza, naomba kufahamu kati ya Toyota Allex, wish na subaru impreza ipi ni gari bora na kwasababu zipi. Natanguliza shukrani za dhati kwa majibu yenu mazuri.
  12. Subaru legacy year 2004

    Habari zenu ndugu zangu..natumai ni wazima wa afya kama ndo ivyo tumshukuru mungu kwa pamoja alhamdulilah mimi ndugu zangu na subaru legacyb4 year2004 shida yangu moja tu kwenye ac nikiwasha ac ubaridi unakuja baadae unakata nalafu unarudi tena ivyo ivyo nishajaza sana gas nakusafisha filter...
  13. B

    Subaru Forester xt bomba mbili inahitajika, bajeti 22m

    Wakuu habari Subaru Forester xt bomba mbili inahitajika, ambayo haijasajiliwa, ya showroom nyeusi isiyo na turbo Bajeti 22m
  14. Subaru Forester 2008 vs Mazda C5 2012

    Wakuu nataman kujua kati ya hizi gari mbili ni gari ipi ya kuishi nayo in terms of .perfomance .durability .reliability .efficienty in terms of wese na mazagazaga mengine ila kwenye price naona kam hazitofautiani sana
  15. Car4Sale Karibu automasi uagize nasi gari lenye ubora kwa gharama nafuu

    KARIBU AUTOMASI UAGIZE NASI GARI LENYE UBORA KWA GHARAMA NAFUU ************** ♻️ High Quality , Reliable, and Speed ♻️ *************** 🔅VEHICLE DESCRIPTION Make : TOYOTA Model ...
  16. Naomba msaada wa kutatua tatizo la rejeta kwenye Subaru Impreza

    Wakuu nawasalimu pamoja na mko bize kufuatilia kesi mbali mbali zinazoendelea kwenye mahakama mbali mbali naomba ushauri wenu kwa wazoefu ninatumia subaru impreza kwenye mizunguko yangu ila hivi karibuni imekuwa na tatizo kwenye rejeta maana kila nikienda kwenye mizunguko lazima nikute imekausha...
  17. Ubora wa subaru Exiga

    Ndugu wataalamu na wazoefu wa magari hususan Subaru Exiga toleo la 2010 naomba kufahamu ubora, uimara na changamoto za gari hii katika suala zima la maintenance, ulaji wa mafuta na vitu vingine kama vipo. Gari hii ni ile yenye 1990cc engine. Upatikanaji wa spea zake na mafundi wanaoziwezea hapa...
  18. Nimevutiwa sana na Subaru Impreza, nafikiri itanifaa kwa matumizi yangu kwa sasa

    Ndugu wananchi, Salaam za upendo wa dhati ziwafikie huko mlipo. Kwa siku za karibuni nimekutana na marafiki kadhaa wakimiliki magari mbalimbali. Kuna mmoja anamiliki Toyota Crown Athlete, mwingine Crown Royal, na mmoja wa Subaru Impreza. Katika magari yote hayo nimetokea kuvutiwa sana na...
  19. Car4Sale Subaru Legacy for sale

    subaru legacy price : 7m location: DSM
  20. Subaru Forester XT vs Kluger

    Wajuvi wa mambo, Nipeni udambu juu ya hizo gari 2, okoeni ndoa yangu maana shemeji yenu akizimikiwa gari njiani atadai talaka. akikwama topeni ndio kabisa. kwa ufupi wife hapendi vigari sampuri ya ist, impreza nk, anasema anataka gari ya juu juu. Nimeangalia angalia mitandaoni kulingana na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…