Subaru (スバル) ( or ; Japanese pronunciation: [ˈsɯbaɾɯ]) is the automobile manufacturing division of Japanese transportation conglomerate Subaru Corporation (formerly known as Fuji Heavy Industries), the twenty-second largest automaker by production worldwide in 2012.Subaru cars are known for their use of a boxer engine layout in most vehicles above 1500 cc. The Symmetrical All Wheel Drive drive-train layout was introduced in 1972. The flat/boxer engine and all-wheel-drive became standard equipment for mid-size and smaller cars in most international markets by 1996, and is now standard in most North American market Subaru vehicles. The lone exception is the BRZ, introduced in 2012 via a partnership with Toyota, which uses the boxer engine but instead uses a rear-wheel-drive structure. Subaru also offers turbocharged versions of their passenger cars, such as the Impreza WRX, Legacy and Outback XT, Ascent, and previously the Legacy GT and Forester XT.
In Western markets, the Subaru brand has traditionally been popular among a dedicated core of buyers. Marketing is targeted towards specific niches centered on those who desire the company's signature drive train engine, all-wheel/rough-road capabilities or affordable sports car markets.Subaru is the Japanese name for the Pleiades star cluster M45, or the "Seven Sisters" (one of whom tradition says is invisible – hence only six stars in the Subaru logo), which in turn inspires the logo and alludes to the companies that merged to create FHI.
Bila Catalytic Converter kuna sumu zinazotoka kwenye moshi ambazo zitakuwa zinaingia kwenye hewa.
Sumu hizo hazifanani kulingana na aina ya engine,
Engine za petrol hutoa Hydrocarbons, Carbon monoxide pamoja na Oxygen gas.
Engine za Diesel hutoa NOX, Oxygen gas pamoja na Carbon dioxide...
apartment
bagamoyo
bei
biashara
eneo
fuso
gari
heka
inauzwa
ist
kawawa
kibamba
kibiashara
kilimanjaro
kinauzwa
kiwanja
kiwanja kinauzwa
kuagiza
kuagiza gari
madale
magari
mbezi
mbezi beach
mkopo
n.k
nauza
nyumba
nyumba kali
nyumba ya kupangisha
plot
shamba
subaru
toyota
uwekezaji
viwanja
yanauzwa
zinauzwa
Natafuta Engine ya Subaru.
Aina ya subaru ni;
"Subaru cross sport SG5 turbo"
Mwenye Yuko na store ya vipuri vya magari tuwasiliane...nimtembelee ofisini kwake.
Nipo dar es salaam
+255784355775
Kama kichwa kinavojieleza, mwenye uzoefu na hizo gari naomba msaada kujua
1.fuel consumption
2.upatikanaji wa spea
3. Uwezo wa kuhimili barabara ya vumbi
UMOFIA KWENU!
Uzi huu ni maalum kwa ajili ya kupata maoni au mtizamo wa jamii kwa namna inavyowachukulia madereva wanoendesha magari aina ya SUBARU na ALTEZA hapa Tz.
Kwa kuanzia, mimi binafsi nawaona wengi wao kuwa ni:
1 - Vijana wa kiume
2 - Wanaendesha kwa 'rafu' sana.
3 - Over...
Watu wengi wanaoendesha magari aina ya Alteza ama Subatu wana matatizo, ni watu wanaopenda kusikika ama kujulikana kama wapo, watu wanaopemda kutambulika uwepo wao, kwa kitaalamu tunaita Histrionic personality disorder (HPD) ama attention seeking disorder.
Mtu yeyote ambaye anapenda kutambulika...
Nmeziona hizo gari sokoni lkn hiyo Audi ni cc3000 ikanitisha.Subaru ni cc 1900.Sasa naomba kujua ni ipi gari bora kati ya hizo ktk:
1. utumiaji wa mafuta
2 perfomance ya injini ktk barabara ya lami na vumbi.
3. uimara na spea.
4. Ni nini tofaut kati ya matoleo ya Audi series ya A na Q.
Mwisho...
Nmeziona hizo gari sokoni lkn hiyo Audi ni cc3000 ikanitisha.Subaru ni cc 1900.Sasa naomba kujua ni ipi gari bora kati ya hizo ktk:
1.utumiaji wa mafuta
2 perfomance ya injini ktk barabara ya lami na vumbi.
3.uimara na spea.
4.Ni nini tofaut kati ya matoleo ya Audi series ya A na Q.
Mwisho kama...
Wakubwa naitaji kumiliki gari moja wapo kati ya hizi Subaru Forester ya 2005 na Nissan Dualis 2007 je, Ipi inanifaa zaidi ikizingatiwa ndo mara ya kwanza kutaka kumiliki gari?
Nilitaka kujua kuhusu ubora ,gharama ya vifaa
Subaru Forester 2005
Nissan Dualis 2007
Nimejifanyia self-assessment katika kipindi cha miezi mitano nimeona kinatosha kunipa picha ya utamu na uchungu wa kumiliki gari.
Wakati naagiza gari uchumi wangu haukua stable kivile, plus little (almost none) experience ya kumiliki gari ikapelekea nikaagiza babywoka.
Miezi minne kutoka sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.