sudan

Sudan (; Arabic: السودان‎ as-Sūdān), officially the Republic of the Sudan (Arabic: جمهورية السودان‎ Jumhūriyyat as-Sūdān), is a country in northeastern Africa. It is bordered by Egypt to the north, Libya to the northwest, Chad to the west, the Central African Republic to the southwest, South Sudan to the south, Ethiopia to the southeast, Eritrea to the east, and the Red Sea to the northeast. Sudan has a population of 43 million people (2018 estimate) and occupies a total area of 1,886,068 square kilometres (728,215 square miles), making it the third-largest country in Africa and also the third-largest in the Arab world. Before the secession of South Sudan from Sudan on 9 July 2011, the united Sudan was the largest country in Africa and the Arab world by area. Sudan's predominant religion is Islam, and its official languages are Arabic and English. The capital is Khartoum, located at the confluence of the Blue and White Nile. Since June 2011, Sudan is the scene of an ongoing military conflict in its southern states.
Sudan's history goes back to the Pharaonic period, witnessing the kingdom of Kerma (c. 2500 BC–1500 BC), the subsequent rule of the Egyptian New Kingdom (c. 1500 BC–1070 BC) and the rise of the kingdom of Kush (c. 785 BC–350 AD), which would in turn control Egypt itself for nearly a century. After the fall of Kush, the Nubians formed the three Christian kingdoms of Nobatia, Makuria and Alodia, with the latter two lasting until around 1500. Between the 14th and 15th centuries much of Sudan was settled by Arab nomads. From the 16th–19th centuries, central and eastern Sudan were dominated by the Funj sultanate, while Darfur ruled the west and the Ottomans the far north. This period saw extensive Islamisation and Arabisation.
From 1820 to 1874 the entirety of Sudan was conquered by the Muhammad Ali dynasty. Between 1881 and 1885, the harsh Egyptian reign was eventually met with a successful revolt led by the self-proclaimed Mahdi Muhammad Ahmad, resulting in the establishment of the Caliphate of Omdurman. This state was eventually destroyed in 1898 by the British, who would then govern Sudan together with Egypt.
The 20th century saw the growth of Sudanese nationalism and in 1953 Britain granted Sudan self-government. Independence was proclaimed on 1 January 1956. Since independence, Sudan has been ruled by a series of unstable parliamentary governments and military regimes. Under Gaafar Nimeiry, Sudan instituted Islamic law in 1983. This exacerbated the rift between the Islamic north, the seat of the government and the Animists and Christians in the south. Differences in language, religion, and political power erupted in a civil war between government forces, strongly influenced by the National Islamic Front (NIF), and the southern rebels, whose most influential faction was the Sudan People's Liberation Army (SPLA), eventually concluding in the independence of South Sudan in 2011. Between 1989 and 2019, Sudan experienced a 30-year-long military dictatorship led by Omar al-Bashir. Due to his actions, a War in Darfur Region broke out in 2003. Bashir was accused of ethnic genocide. Overall, the regime left 300,000–400,000 dead. Protests erupted in late 2018, demanding Bashir's resignation, which resulted in a successful coup d'état on April 11, 2019.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Marekani na Israel zapendekeza Wapalestina watakaohamishwa kutoka gaza waende kuishi somalia, Sudan na somaliland, mawasiliano yanaendelea kufanywa

    Wadau hamjamboni nyote Taarifa mpya kabisa juhudi zaendelea kutekeleza mpango wa Marekani kuhamisha Wapalestina kutoka gaza Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: Advertisement Israel and US said in contact with Sudan, Somalia about resettling Gazans Officials say approaches also made to...
  2. B

    Uganda yapeleka askari mji mkuu wa juba South Sudan kunusuru mkataba wa amani

    12 March 2025 Kampala Picha : rais Salva Kiir na makamu wa kwanza wa rais Dr. Rick Machar Mkuu wa majeshi ya ulinzi wa Uganda jenerali Kainerugaba Muhoozi athibitisha askari wa vikosi maalum yaani makomando wa UPDF watua katika mji mkuu wa Juba South Sudan kufuatia tishio la kuzuka mapigano...
  3. Beira Boy

    Sudan hawana ndugu? Waliwakosea nini watu si waislam au WA Africa

    Amani iwe kwenu wakuu Kwani Sudan wana kosa walilokosea dunian hapa Wanachinjana kila siku tena maelf kwa mamia lakin husikii ostaz au padre akiwazungumzia, wala huwezi Kuta mwafirika au mzungu anawazungumzia Je walikosea nini hawa watu? Hawana ndugu? Mbona Kongo ikiguswa kidogo tu kila...
  4. BigTall

    DOKEZO Dereva Mtanzania anashikiliwa Sudan Kusini baada ya kugonga mtu, inadaiwa Polisi wagoma kumuachia wanataka hela

    Kuna Mtanzania mwenzetu anaitwa Juma Ally Maganga ambaye ni dereva wa magari makubwa, inadaiwa anashikiliwa na Watu ambao wanadai wao ni Askari Polisi Nchini Sudan Kusini, sababu ya kumshika ni kwamba wanamtuhumua amemgonga mtu na kusababisha kifo wakati alipokuwa katika safari zake akipita...
  5. Jaji Mfawidhi

    Wanawake tunataka 50/50 kwenye mission za vita huko DR, Sudan na Chad !

    Imekuwa ni kawaida wanawake kudai haki sawa kwenye uteuzi, tukidai uwazi, upendeleo , kuwezeshwa na makongamano mengi , Bunge na mengine mengi lakini tupo nyuma kwenye kudai KUINGIZWA VITANI FRONT LINE, kupigana na M-23, kuingia machimboni. Covid-19 wamekaa bungeni, zaidi ya miaka 15 na bado...
  6. Harvey Specter

    Sudan Kusini imetoa agizo la kuzuia upatikanaji wa mitandao ya kijamii nchini

    Serikali ya Sudan Kusini imetoa agizo la kuzuia upatikanaji wa mitandao ya kijamii ikiwamo Facebook na Tiktok nchini humo kwa muda wa hadi miezi mitatu, huku ikitegemea udhibiti wa maudhui. Agizo hilo limetolewa na Mamlaka ya Kitaifa ya Mawasiliano ya Sudan Kusini (NCA) Jumatano Januari 22...
  7. Dalton elijah

    Sudan Kusini Yapiga Marufuku Matumizi Mitandao Ya Kijamii Kwa Miezi Mitatu

    Mamlaka ya Mawasiliano ya Sudan Kusini imepiga marufuku matumizi ya mitandao ya kijamii kwa kipindi cha miezi mitatu kuanzia Januari 22, 2025. Katazo hilo linafuatia kusambaa kwa picha za video zinazoonesha mateso na masumbuko ya wakimbizi wa Sudan Kusini walioko katika eneo la Wad Medani, nchi...
  8. Kafrican

    Maendeleo Kaskazini: Barabara ya kuelekea South Sudan yakamilika!

    Mradii huu unajengwa kutumia loan ya $1 Billion kutoka WB ambapo nusu yake iko Kenya. Tazama video inayoonyesha ujenzi umekamilika hadi mpakani mwa South Sudan.. https://www.youtube.com/watch?v=VePxxyObwWw
  9. MK254

    Waarabu wa Sudan wanaendelea kulipuana bila huruma

    Na wote kila mmoja anaamini anayafanya kwa ajili ya yule mungu wao kwenye dini yao.... At least 127 people, mostly civilians, were killed in Sudan on Monday and Tuesday by barrel bombs and shelling from the warring sides, rights activists said. The 20-month-old war between the army and the...
  10. kiss daniel

    Watu 127 wauawa Sudan ndan ya siku mbili

    Amani kwenu waungwana Baada ya wakristo wa south Sudan kuwaachia wasudan nchi yao Mambo yanaendelea kuwa Mambo Watu wa Sudan waliwaita wasudan kusin kuwa ni makafiri na wakaitangaza Sudan kuwa nchi ya kiislamu Bila kinyongo wala nini watu wa Sudan kusin ambao asilimia 99 ni wakristo...
  11. nipo online

    Je wajua maajabu taratibu za ndoa nchini Sudan Kusini?

    katika kitongoji cha Dinka nchi Sudani Kusini mwanaume Sudan, ukifanikiwa kuwa na wanawake wengi ndio utaweza pata wadhifa wa kua kiongozi katika jamii, Pia kutokana na tamadumi za Sudani kusini ukifa bila kuoa haraka sana atajitokeza mwanafilia atakuolea mke kisha watoto wake wataitwa majina...
  12. econonist

    Ripoti Mpya Yaonyesha Idadi Kubwa ya Vifo Katika Mgogoro wa Sudan

    Utafiti mpya umebaini kuwa idadi ya vifo vinavyotokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan ni kubwa zaidi kuliko ilivyoripotiwa awali. Kulingana na ripoti ya Sudan Research Group ya London School of Hygiene and Tropical Medicine, zaidi ya watu 61,000 wamefariki katika jimbo la Khartoum...
  13. U

    Maji yenye mafuta yanavyoathiri afya za wanachi nchini Sudan Kusini

    Huko hali ni mbaya kwa baadhi ya majimbo mfano Unity ambapo maji ya kunywa yamechanganyikana na mafuta kutokana na mafuriko. Mafuta yanachimbwa sehemu mbalimbali mfano Uarabuni . Je, na huko hawajali afya za wananchi au wawekezaji na watawala wanatuona wananchi kama manyani? Kuna kesi za...
  14. Yesu Anakuja

    Kufuzu CHAN | Tanzania 1 (5) - (6)0 Sudan | Uwanja wa Mkapa

    Timu ya Tanzania, inacheza na Sudan, hivi ni Tanzania hii hii au ni ya mabwepande? hawajui mpira, na aliyechagua wachezaji hawa anapaswa akae lock up kabisa. Timu ya Tanzania, inacheza na Sudan, mchezo bado unaendelea hadi sasa CHAN 2024 QUALIFIERS 70’ Tanzania 🇹🇿1️⃣-0️⃣🇸🇸 Sudan ⚽️ Chrispine...
  15. SAYVILLE

    Sijawahi kuielewa timu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan

    Hili jambo nimeliwaza muda mrefu sana ila sijawahi kupata nafasi ya kulisema. Hii timu ya Al Hilal ya Sudan sijawahi kuielewa style yake ya uchezaji. NI timu ambayo ki-rank unaweza kusema ni moja ya timu bora Afrika na pia huko Sudan na katika ukanda huu wa Afrika Mashariki unaweza kusema ni...
  16. Dede 01

    Tuikumbuke Sudan pia sio kila siku Israel na Ukraine

    Habari wanajf. Nimeamua kuandika uzi huu ili myakumbuke pia madhila yanayowakumba ndugu zetu kutoka Sudan. Sio kila siku tunazungumzia habari za Ukraine na Israel. Lazima waafrika tuamke na kuwasaidia waafrika wenzetu kutoka Sudan. BBC SWAHILI walitangaza ya kuwa idadi ya silaha zinazoingizwa...
  17. mwanamwana

    Sudan Kusini yaahirisha uchaguzi mkuu mpaka 2026

    Serikali ya Sudan Kusini imeahirisha uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Desemba 2024 hadi Desemba 2026 kutokana na changamoto za maandalizi. Ofisi ya Rais Salva Kiir imetaja hitaji la muda zaidi kukamilisha sensa, uandishi wa Katiba mpya, na usajili wa vyama vya siasa. Uchaguzi huo umeahirishwa...
  18. uhurumoja

    Maisha yanaenda Kasi sana Leo Sudan Kaskazini kahifadhiwa na Sudan kusin

    Taifa dogo changa lililopatikana kwa misukosuko na vita Kali la Sudan kusini limegeuka kimbilio la wale wasudani (waarabu)wa kaskazini ambao kwa Sasa dunia imewaacha wanyukane hadi bingwa apatikane Ndani ya mda mfupi Juba Ina uwanja mzuri kabisa kuhost mechi za CAF huku Sudan wakiendelea...
  19. JanguKamaJangu

    Sudan: Watu 132 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko

    At least 132 killed in Sudan flooding: health ministry At least 132 people have died in war-torn Sudan as a result of flooding and heavy rains this year, the health ministry said Monday. The country has experienced an intense rainy season since last month, with intermittent torrential flooding...
  20. The Legacy

    Kama ni Mpenzi wa Basket Ball,Angalia super sport 3.Bonge la game USA Vs South Sudan-Olympics in Paris

    Ni game Kali Wote wanamiili mikubwa na warefu. Enjoy the game
Back
Top Bottom