sudan kusini

South Sudan (), officially known as the Republic of South Sudan (Swahili: Jamhuri ya Sudan Kusini), is a landlocked country in East-Central Africa. It is bordered to the east by Ethiopia, to the north by Sudan, to the west by the Central African Republic, to the south-west by Democratic Republic of the Congo, to the south by Uganda and to the south east by Kenya.
It gained independence from the Republic of the Sudan in 2011, making it the most recent sovereign state or country with widespread recognition. Its capital and largest city is Juba. It includes the vast swamp region of the Sudd, formed by the White Nile and known locally as the Bahr al Jabal meaning "Mountain Sea". Sudan was occupied by Egypt under the Muhammad Ali dynasty and was governed as an Anglo-Egyptian condominium until Sudanese independence in 1956. Following the First Sudanese Civil War, the Southern Sudan Autonomous Region was formed in 1972 and lasted until 1983. A second Sudanese civil war soon broke out, ending in 2005 with the Comprehensive Peace Agreement. Later that year, southern autonomy was restored when an Autonomous Government of Southern Sudan was formed. South Sudan became an independent state on 9 July 2011, following 98.83% support for independence in a January 2011 referendum. It has suffered ethnic violence and endured a civil war characterised by rampant human rights abuses, including various ethnic massacres and killings of journalists by all sides from 2013 until February 22, 2020, when South Sudan rivals Salva Kiir Mayardit and Riek Machar struck a unity deal and formed a coalition government, paving the way for refugees to return home.South Sudan has a population of 12 million, mostly of the Nilotic peoples, and it is demographically among the youngest nations in the world, with roughly half under 18 years old. The majority of inhabitants adhere to Christianity or various traditional faiths. The country is a member of the United Nations, the African Union, the East African Community the Intergovernmental Authority on Development and is a party to the Geneva Conventions. As of 2019, South Sudan ranks third-lowest in the latest UN World Happiness Report, second lowest on the Global Peace Index, and has the third-highest score on the American Fund for Peace's Fragile States Index.

View More On Wikipedia.org
  1. Lady Whistledown

    Ripoti: Sudan Kusini Kinara wa Nchi zenye mazingira hatarishi kwa Watoa misaada Duniani

    Umoja wa Mataifa unasema Sudan Kusini inaendelea kuwa "mazingira yenye vurugu zaidi" kwa watoa misaada ya kibinadamu ikifuatiwa na Afghanistan na Syria baada ya Wafanyakazi 5 wa Mashirika ya Kutoa Misaada kuuawa wakiwa kazini Ndani ya Mwaka 2022 pekee Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya...
  2. JanguKamaJangu

    Rais wa Sudan Kusini awafuta kazi Waziri wa Fedha, Gavana Benki Kuu

    Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir Mayardiit amewafukuza kazi Waziri wa Fedha, Agak Achuil Lual ikiwa ni miezi minane tangu alipomteua katika nafasi hiyo pamoja na Gavana wa Benki Kuu, Moses Makur. Baada ya uamuzi huo ambapo sababu hazijawekwa wazi, Rais Kiir amemteua Gavana wa zamani Dier Tong...
  3. Miss Zomboko

    Sudan Kusini yaongeza muda wa Serikali ya mpito kwa miaka 2

    Viongozi wa Sudan Kusini wametangaza hii leo kwamba Serikali ya mpito ya nchi hiyo itasalia madarakani kwa miaka miwili zaidi ya muda uliokubaliwa, katika hatua ambayo washirika wa kigeni wamesema inakosa uhalali. Waziri anayehusika na masuala ya baraza la Mawaziri Martin Elia Lomuoro, amesema...
  4. L

    Mjumbe wa China ailaumu Marekani kwa kushindwa ikiwa kama kiongozi anayeshughulikia vikwazo vya Sudan Kusini

    Mwakilishi wa kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa Zhang Jun jana aliilaumu Marekani kwa kushindwa kutimiza wajibu wake ikiwa kama kiongozi wa Baraza la Usalama anayeshughulikia vikwazo vya Sudan Kusini. Wajibu wa kiongozi anayeshughulikia vikwazo ni kusaidia Baraza la Usalama kutoa azimio...
  5. JanguKamaJangu

    Waandishi wa habari Sudan Kusini walia kukosa uhuru

    Waandishi wa habari wa Sudan na Sudan Kusini wameeleza kuwa wanakabiliwa na vitisho, ukandamizwaji na ukamataji holela hali ambayo inaondoa uhuru wa utendaji kazi wao. Inadaiwa kati ya Januari na Machi 2022, maafisa wa usalama waliondoa makala kadhaa katika Gazeti la Juba Monitor, ambalo...
  6. JanguKamaJangu

    Rais Sudan Kusini aunda jeshi linalojumuisha pande hasimu

    Serikali ya Sudan Kusini imetangaza kuundwa kwa uongozi wa jeshi lililoungana, ikitekeleza kipengele muhimu cha makubaliano ya amani ya mwaka 2018 ambayo wafuatiliaji wanatumai yataisaidia nchi hiyo kupata afueni baada ya miaka kadhaa ya vita vya wenyewe kwa wenyewe. Taifa hilo changa duniani...
  7. L

    Watu wa Sudan Kusini watarajia kikundi cha madaktari wa China kirudi tena

    kikundi cha tisa cha madaktari wa China nchini Sudan Kusini jana ilikamilisha majukumu yake ya kimatibabu katika jimbo la Lakes kwa siku tano, na kurudi katika mji mkuu Juba. Wakazi wa jimbo hilo wanatarajia kuwa madaktari wa China watarudi tena. Shughuli hiyo ya matibabu ilifanyika katika...
  8. Miss Zomboko

    Wengi wa wakimbizi duniani wanatoka katika nchi 5, Afghanistan, Myanmar, Sudan Kusini, Syria na Venezuela

    Wengi wa wakimbizi duniani wanatoka katika nchi 5, Afghanistan, Myanmar, Sudan Kusini, Syria na Venezuela. Na nchi hizi ndizo zimo hatarini zaidi na athari za mabadiliko ya tabianchi. =========== Since the 1990s, we have become increasingly committed to protecting the environment and of the...
  9. MK254

    China yaanza kujadali mikakati ya reli ya SGR kuunga hadi Rwanda, DRC, Uganda na Sudan Kusini

    Mataifa yote hayo kuunga kwenye reli moja kutokea Mombasa, mazungumzo yameanza na mikakati kupangwa...... Nairobi. China is proposing a grand infrastructure plan for the Horn of Africa that would involve expanding the two major railroads and developing ports on the Red Sea and the Indian Ocean...
  10. MK254

    Eneo la Gulu tayari, kitovu cha biashara na usafiri kinachounganisha Kenya, Sudan Kusini, Uganda na DRC

    Miundo mbinu imeboreshwa, hamna haja ya kupitia Kampala tena, kipande cha reli cha Tororo kitaharakisha usafiri kutokea mpakani mwa Kenya.... More than a decade ago, Gulu was a no-go area, thanks to the Joseph Kony-led Lord’s Resistance Army rebels, who were fighting the government then. Fast...
  11. MK254

    Hongera Wakenya kwa kukuza lugha ya Kiswahili Sudan Kusini

    Niko huku Sudan Kusini nasaka mpunga kwenye mishe fulani hivi na nimefaulu kukatiza maeneo mengi na kushududia namna Wakenya wamehusika pakubwa kwenye kubadilisha maisha ya hawa watu waliokua wamezoea vita maporini. Kiswahili kinazidi kutamalaki na kuzagaa, leo hii kuna ushindani mkali baina ya...
  12. beth

    Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Mjumbe Maalum wa Rais wa Sudan Kusini

    Mjumbe Maalum wa Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini, Balozi Albino Ayurl Aboug amesema Taifa hilo linaomba kutumia Bandari ya Dar kusafirisha mizigo yake‬ ‪ ‪Ameeleza hayo leo Ikulu Dar baada ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan na kuongeza kuwa Sudan Kusini bado inahitaji Walimu wa kufundisha...
  13. Sam Gidori

    Kenya kupokea chanjo ya Corona iliyorudishwa na Sudan Kusini

    Kenya inatarajiwa kupokea dozi 72,000 za chanjo ya Oxford/AstraZeneca kutoka Sudan Kusini zilizorudishwa kwa Mpango wa Pamoja wa Chanjo wa Dunia, COVAX. Sudan Kusini imesema inarudisha chanjo hizo kutokana na kushindwa kuzigawa kwa wananchi kwa wakati kabla hazijaisha muda wake wa matumizi...
  14. Sam Gidori

    Sudan Kusini: Rais Salva Kiir avunja Bunge

    Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir amelivunja bunge katika hatua iliyosubiriwa kwa muda mrefu, akipanga kuwateua wabunge wapya kutoka pande mbili zilizokuwa na mzozo nchini humo. Msemaji wa Kiir amewaeleza waandishi wa habari siku ya Jumapili kuwa bunge jipya litaunda muda si mrefu, ikiwa ni...
  15. Nyendo

    Ajabu: Mbunge Florent Kyombo (CCM), adai Kagera inapakana na Sudan Kusini

    Salaam wakuu, Mbunge wa Nkenge, Misenyi, Mkoani Kagera adai Nchi ya Sudan kusini inapakana na Mkoa wa Kagera wakati akichangia bajeti ya mambo ya ndani leo. Amedai Kagera imepatikana na nchi Tano, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC pamoja na nchi zingine na Sudani Kusini.
  16. Analogia Malenga

    Sudan Kusini itabadili muda kwa saa 1 kwa kuhama ‘time zone’

    Sudan Kusini imepanga kubadili muda kuanzia Februari 1 ambapo itakuwa saa moja nyuma ya saa za Afrika Mashariki Wanarudi kwenye ukanda wa muda wa UTC +2 ambapo kwa sasa wapo UTC +3. Katibu wa Kazi Hillary Wani Pitia amesema kijiografia UTC +2 ndio sahihi kwa Sudan Kusini. Nchi inaweza kuseti...
  17. MK254

    Barabara ya kutokea Kenya kwenda Sudan Kusini full mtelezo kwa raha tu yaani

    Ukanda huu tunazidi kuufungua. Uzuri Sudan Kusini walishaacha kupigana pigana, ni mwendo wa biashara na amani sasa. ===== Northern Kenya is undergoing a transformation following the upgrade of a key link road between Kenya and South Sudan. The South Sudan Link road project is being undertaken...
  18. U

    Show ya Diamond Platnumz yajaza watu 100,000 Sudan

    Hakika huyu kiumbe kashindikana. Hii ni zaidi ya ile ya kigoma
  19. MwanaSiasa Mkongwe

    Safari ya Sudani Kusini

    Safari Yangu Nchini Sudani Kusini ------------------------ Nchini Sudan Kusini, Mifugo Ni Mingi Kuliko Wanandamu. ------------------------ Nchi ya Sudani Kusini ni moja ya nchi inayopatikana hapa barani Afrika. Ukiwa hapa barani Afrika nchi ya Sudan Kusini inapatikana upande wa Afrika...
  20. Sam Gidori

    Sudan Kusini kufungua shule kuanzia leo, mimba kwa wanafunzi zaongezeka

    Baada ya miezi 6 ya kukaa majumbani, wanafunzi nchini Sudan Kusini wanarejea darasani kuanzia Jumatatu, Waziri wa Habari wa nchi hiyo amesema. Hatua hiyo ya Sudan Kusini inafuatia uamuzi wa Baraza la Mawaziri kuondoa katazo lililowekwa mwezi Machi na Rais Salva Kiir la kufunga shughuli zote za...
Back
Top Bottom