sugu

Sugus is a brand of chewy candy made by the Wrigley Company. It originates from the Swiss chocolate company Suchard, who created it in 1931.They are square, and they are 20 mm (0.79 in) in length and width, and 7 mm (0.28 in) thick, including the packaging. There are several flavours, including lemon, orange, pineapple, raspberry and cherry, indicated by the colour of the packaging (yellow, orange, blue, red, and bright red, respectively), which is characteristic of the sweet. The classic packaging (which measured 6.3 by 4.5 cm) involves the sweet respecting the rectangular shape, with white text showing the sugus name (in lowercase) and the specific flavor (in uppercase), all over the packaging. Within the packaging was a small, white light inner wrapper of 6.3 by 1.9 cm surrounding the sweet preventing adhesion to the outer wrapper, for example at times of excessive heat. The name, though only a brand, became the name of this product. It appeared on the market under other brands, with different names, but all are given the name sugus.Sugus is sold in Argentina, Belgium, Brunei, Cambodia, China, Hong Kong, Indonesia, Japan, Macau, Malaysia, Mexico, the Philippines, Portugal, Romania, Spain, South Africa, Namibia, Switzerland, Taiwan, Thailand, Uruguay and Vietnam. It seems to enjoy great popularity in Asia, although being from Switzerland. The brand's Chinese name used in Hong Kong and China is "瑞士糖", literally meaning "Swiss candy".

View More On Wikipedia.org
  1. K

    Videos: Sugu, Msigwa na Lema

    Mh. Lema amesema kwa amemsoma sana Mandela alipokuwa gerezani,Katika kitabu chake cha Long walk to freedom na amesema ilikuwa bahati alipata muda wa kukimaliza kitabu hicho. Anasema kinachomstua zaidi kwenye hali ya sasa pamoja na mfumo wa vyama vingi uliopo kwa sasa ambayo inatekeleza...
  2. GENTAMYCINE

    Naombeni aina ya adhabu nje ya kumchapa viboko Mtoto 'Mtukutu' wa kati ya Miaka 7 hadi 9 tu

    Nilidhani Fimbo zangu za Kiserikali / Za Wastani ambazo ni Nne ( 4 ) pekee zingekuwa ni sehemu ya Kumbadilisha Mtoto ila nimegundua ya kwamba hizo ' Bakora ' za Kiserikali hazisaidii kabisa ' Kumuadabisha ' Mtoto hivyo sasa nataka Msaada wenu wa aina ya Adhabu ' Kali ' zaidi za Kumpa Mtoto ili...
  3. M

    Sugu (Mbunge): Aliyesema watu wataikimbia Dar, ameikimbia yeye

    Mbunge wa Mbeye Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Chadema ameandika maneno haya kwenye ukurasa wake wa moja ya mitandao ya kijamii, nanukuu: Nimekumbuka kitu hapa, nimebaki nacheka tu.. "Aliysema watu wataikimbia Dar Kaikimbia yeye Dar.. Je, kwa muktadha wa maneno haya Mheshimiwa Mbunge...
  4. Chagu wa Malunde

    Hongera Rais Magufuli kwa kulitatua tatizo sugu la mgao wa umeme nchini

    Kuanzia mwaka 2006 mpaka rais magufuli anaingia madarakani nchi yetu ilikuwa mara kwa mara ikikumbwa na tatizo kubwa la mgao wa umeme. Tatizo ambalo kwa muda mrefu lilikuwa mwiba kwa taifa letu. Vinyozi,wenye saluni za kike, wenye mabaa mpaka wenye viwanda lilikuwa ni tatizo linalowaumiza...
  5. Erythrocyte

    Heri ya siku ya kuzaliwa Mh Sugu , Mbunge uliyechaguliwa kwa kura nyingi kuliko Wabunge wote Africa , Mbeya inakutegemea mno

    Wewe kijana Mungu akupe Maisha marefu mno , umeileta heshima kubwa sana Mbeya , umeiondoa kutoka kwenye utumwa wa wananchi kuabudu viongozi na sasa tunaona viongozi wakipiga magoti kuwaabudu wananchi . Wewe ni Rais wa Mbeya , tunakuahidi lundo la kura OCTOBER ili uendelee kuwanyuka ngumi za...
  6. Nigrastratatract nerve

    Vigogo wengi walikuwa na Clinic zao za magonjwa sugu nchi za nje mipaka imefungwa hawana pa kukimbilia tena ndio maana wanateketea

    Ukifika kwa daktari kuna kitu kinaitwa Historia ya mgonjwa Mgonjwa kumtibu lazima ujue historia yake in detail ili ikusaidie kumpa tiba sahihi Ndio maana watu wengi wenye uwezo wana family Doctors Family and private Doctors anasaidia kujua akupe dawa gani na anajua dawa mbaya na hatarishi...
  7. J

    Utabiri: Spika ajaye wa bunge la JMT atakuwa mwanaccm asiyekuwa mbunge, Dr Tulia ataendelea kuwa NS iwapo atamshinda Sugu

    Ni utabiri wangu tu kwamba Spika ajaye wa bunge hatatoka miongoni mwa wabunge bali atakuwa ni mwanaccm ambaye siyo mbunge ama wa kuchaguliwa au kuteuliwa. Naibu Spika wa sasa ataendelea na nafasi hiyo endapo atamshinda mbunge machachari na mbishi mh Mbilinyi aka Sugu pale Mbeya mjini. Pia...
  8. J

    Spika Ndugai: Baadhi ya wabunge wataondoka mikono mitupu kwa sababu wanaelemewa na madeni sugu

    Spika wa bunge mh Job Ndugai amesema wabunge wengi wanaelemewa na madeni na kuna uwezekano mkubwa baadhi yao wakaondoka mikono mitupu baada ya bunge kuvunjwa rasmi mwishoni mwa mwezi June. Kwa kawaida wabunge hulipwa kiinua mgongo kila baada ya miaka mitano ya kuwatumikia wananchi. Source...
  9. J

    Kauli ya mbunge Sugu kwamba CCM inachukua watu "Wajinga wajinga" kutoka CHADEMA siyo ya kiungwana

    Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia. Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga. Hizi lugha za kihuni...
  10. J

    Je, Katibu Mkuu wa CHADEMA analipwa mshahara? Mbona Dkt. Slaa na Dkt. Mashinji wameondoka wakiwa wadaiwa sugu wa benki?

    Jana nilimsoma pahala humu JF mkuu Douglas Sallu akiwa ametoa tangazo la benki fulani likiwataja kwa majina na picha wadaiwa sugu wa benki hiyo. Miongoni mwa wadaiwa hao yumo Dr. Mashinji. Dr. Slaa alipoondoka Chadema naye alikuwa na deni na nyumba yake kule mbweni almanusura ipigwe mnada sema...
  11. Zurie

    Faiza Ally amuomba msamaha Sugu, adai Sugu "anachezewa" ili amsahau mwanae

    Mwanadada Faiza Ally akiwa kwenye interview na Zamaradi TV ameelezea maisha yake na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi kuanzia kukutana kwao, kuachana na hadi ugomvi wao wa kuhusu matunzo ya mtoto. Kukutana kwao Faiza anamlaumu Sugu kwa 'kumharibia' ladha ya wanaume wa Kitanzania kwani...
Back
Top Bottom