suleiman

Suleiman (English: or ) is the main transliteration of the Arabic سليمان Sulāymān / Silīmān. The name means "man of peace" and corresponds to the English name Solomon.
The word may also be transliterated as Sulaiman, Suleman, Soliman, Sulayman, Sulyman, Suleyman, Sulaman, Süleyman, Sulejman, Sleiman, Suliman, Solomon, Soleman, Solyman, Souleymane. This disambiguation page focuses on individuals and entities with Suleiman as a predominant transliteration.

View More On Wikipedia.org
  1. Historia ya Omari Suleiman Nyumba Yake Ndiyo Akifikia na Kulala Julius Nyerere Wakati wa Kupigania Uhuru

    HISTORIA YA FUNDI CHEREHANI OMARI SULEIMAN RAFIKI KIPENZI WA JULIUS NYERERE WAKATI WA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Mwaka 1955 wakati wimbi la utaifa wa Tanganyika lilipokuwa limepanda sana nchini Tanganyika Omari Suleiman alikuwa na umri wa miaka 43. Omari Suleiman alikuwa fundi cherahani...
  2. N

    Barua ya wazi kutoka kwa Suleiman Said Bungara (Bwege) kwenda kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan

    Barua ya wazi Kutoka Kwa Suleiman Said Bungara ( Bwege) Aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini kwenda kwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan
  3. Hekima aliyoomba Mfalme Suleimani

    Wengi wetu leo hii ukimwambia unataka Mungu akupe nini atakwambia pesa/utajiri. Hata ibada nyingi kwenye haya makanisa binafsi ya mitume na manabii maombi makubwa ni Pesa! Mali! Utajiri. Mfalme Suleiman alipoulizwa na Mungu anataka nini! Mfalme Suleiman akamwomba Mungu ampe hekima. Hili si...
  4. Dk. Suleiman Serera: Serikali haitamfumbia macho atakayechezea Sekta ya Mkonge

    Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika na Umwagiliaji, Dk. Suleiman Serera serikali haitamfumbia macho yeyote atakayechezea Sekta ya Mkonge kwa namna yoyote kwani sekta hiyo mtambuka ni ustawi wa maisha ya Watanzania wengi wa kaliba na kada tofauti. Dk. Serera amesema...
  5. Suleiman Abdulrahman bin Sheikh Suleiman Takadir Mjukuu wa Sheikh Suleiman Takadir

    SULEIMAN ABDULRAHMAN SULEIMAN TAKADIR MJUKUU WA SHEIKH SULEIMAN TAKADIR Mchana leo nimepokea simu aliyenipigia akajitambulisha kuwa yeye ni Mzanzibari anapiga simu kutoka Zanzibar na jina lake ni Suleiman Abdulrahman Suleiman Takadir, mjukuu wa Sheikh Suleiman Takadir, Mwenyekiti wa Baraza la...
  6. Suleiman Nyambui asema hakufurahishwa jinsi kina Simbu walivyotoswa Airport

    Mwanariadha wa zamani na kocha wa mchezo huo, Suleiman Nyambui amesema hakufurahishwa na kitendo cha Uongozi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) kutojitokeza kuwapokea Wanariadha wa Tanzania walioenda kushiriki katika michezo ya Olimpiki Jijini Parisi, Ufaransa. Imedaiwa Mkuu wa Msafara huo...
  7. Ni Yupi Sheikh Suleiman Takadir na ni Yupi Iddi Tulio?

    SHEIKH SULEIMAN TAKADIR NA IDDI TULIO Nimeona kuna mkanganyiko wa nani ni nani kati ya wenyeviti hawa wawili wa Baraza la Wazee wa TANU. Kushoto ni Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti Baraza la Wazee wa TANU 1954 - 1958. Kulia ni Iddi Tulio Mwenyekiti Baraza la Wazee wa TANU 1958 - 1963...
  8. D

    Wizara ya TAMISEMI bado inamuhitaji Suleiman Jafo

    Salaam Aleikum, Kiukweli Tamisemi siku hizi haina utendaji kazi mzuri kama enzi za Dada Ummy na Kipindi cha Jaffo. Yaani huyu waziri wa sasa ndo alitakiwa aende mazingira alafu Jaffo aje Tamisemi. Kuna namna hii support na uvumilivu anaopewa huyu wa sasa na matokeo ya ufanyaji kazi wake hayana...
  9. Swali kwa Waziri wa Mazingira, Dkt Suleiman Jaffo: Watumishi wa umma 333 wamefuata nini kwenye mkutano wa COP28 huko Dubai?

    Mheshimiwa Dkt. Suleiman Jaffo, Waziri wa Mazingira, Mkutano wa kuweka mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi unafanyika huko Dubai, kwa siku 14, tangu tarehe 30 Novemba hadi 12 Desemba 2023. Lakini ukubwa wa ujumbe wa Tanzania umeibua utata miongoni mwa Watanzania wanaotaka...
  10. S

    Kweli ni ipi hapa kuhusu hekalu alilojenga Suleiman?

    Habari wana JF. Binafsi mgogoro wa wayahudi na wapalestina umenifanya nitafti vitu ambavyo hapo awali sikuwa na shida ya kuvijua. Na hivyo vitu ambavyo nimetaka kuvitafti nimeishia njia panda tu bila kujua jibu sahihi ni lipi. Ukiachana na mgogoro wa ardhi ulioko sasa kati ya wayahudi na...
  11. Najibu maswali mjadala wa Sheikh Suleiman Takadir

    "Hadi asuswe na Waislamu wenzake, wana TANU na wananchi wote, bali lilikuwapo tatizo kubwa. Hii haiwezekani ikatokea tu kama bahati mbaya, hapana." (Kaniuliza Muulizaji) MOHAMED SAID ANAJIBU: "Hakika lilikuwapo tatizo kubwa Katika mkutano uliofanyika nyumbani kwa Hamza Mwapachu Nansio...
  12. Picha za Sheikh Suleiman Takadir Wakati wa Anapigania Uhuru wa Tanganyika (1954 - 1958)

    Picha za Sheikh Suleiman Takadir Wakati Anapigania Uhuru wa Tanganyika (1954 - 1958) Kulia: Bibi Titi Mohamed, Clement Mohamed Mtamila, Sheikh Suleiman Takadir, Julius Nyerere katika moja ya mikutano ya TANU ya mwanzoni 1954/55 Kushoto: Sheikh Suleiman Takadir, John Rupia na Julkius Nyerere...
  13. Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

    Nimepita YouTube nikakutana na mwaidha ya sheikh mmoja anayeitwa Dr. SULLE, ukimsikiliza kwenye video anasema Ibrahimu alikuwa Muislam, sijui na Hekalu lilikuwa la waislamu, na wakati huo huo anasema Ibrahimu alikuwa Muisrael, na kizazi chake ndio cha Wayahudi. Sasa mimi najiuliza Ibrahim...
  14. Historia ya Sheikh Suleiman Takadir kama nilivyoipokea kutoka kwa Sheikh Haidar Mwinyimvua

    HISTORIA YA SHEIKH SULEIMAN TAKADIR KAMA NILIVYOIPOKEA KUTOKA KWA SHEIKH HAIDAR MWIMYIMVUA Baada ya zaidi ya miaka 60 leo Sheikh Suleiman Takadir anatajwa. Lakini imekuwaje atajwe ilhali Sheikh Suleiman Takadir alifutwa katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika? Katajwa lakini...
  15. Historia ya Jumbe Mwinjuma Digosi, Sheikh Suleiman Takadir na Julius Nyerere 1954

    HISTORIA YA JUMBE MWINJUMA DIGOSI, SHEIKH SULEIMAN TAKADIR NA JULIUS NYERERE 1954 Inawezekana Jumbe Mwinjuma Digosi alikuwa umri huu wa sasa alionao mwanae Zakaria huyu Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kariakoo. Naukumbuka uchaguzi wa Zakaria Digosi Jangwani kwani Kariakoo iliwaka moto kwa ushindani...
  16. Watuhumiwa Mauaji ya Daktari Isack na Milembe Suleiman, Afisa Ugavi GGM Wakamatwa, Mmoja Ajinyonga

    Jeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa watatu wa mauaji ya aliyekuwa mfanyakazi wa mgodi wa GGM Geita Milembe Selemani yaliyotokea Aprili 26,2023 katika mtaa wa Mwatulole mkoani Geita pamoja na watu watatu waliofanya mauji ya aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Kerende Dk. Isack...
  17. Msikiti wa al-Aqsa hautabomolewa maana haukujengwa sehemu lilipokuwa hekalu la mfalme Suleiman bali upo pembeni

    Baada ya kuharibiwa kwa Yerusalemu 70AD, mlima sayuni (mount Zion) haukuweza kufahamika tena ulipo. Ndio maana mwanahistoria Josephus hajaeleweka kuhusu location ya hekalu kwasababu maelezo yake yanapingana na kinachoitwa mlima sayuni leo hii. Hekalu la mfalme Suleiman lazima lijengwe tena...
  18. SI KWELI Simba SC wavunja mkataba na kocha wao Msaidizi, Selemani Matola, leo Oktoba 28, 2022

    Yameibuka madai kwamba Simba SC imefikia uamuzi wa kuvunja mkataba na kocha wake msaidizi Selemani Matola. Madai hayo yamechochewa na barua inayodaiwa kuandaliwa na Simba kusambaa mitandaoni.
  19. J

    Mahojiano ya Suleiman Bungara "Bwege" kuhusiana na uchaguzi wa Kenya

    ..Tumsikilize Mh.Bwege kuhusu alichokiona ktk kampeni za uchaguzi mkuu wa Kenya.
  20. TANZIA Mchezaji wa zamani wa Simba na timu ya taifa Iddy Suleiman Kibode (Meya), amefariki Dunia

    Mchezaji wa zamani wa Simba na timu ya taifa Iddy Suleiman kibode (Meya), amefariki usiku wa kumkia leo jtatu, katika Hospitali ya Muhimbili. Awali Iddy alilazwa katika hospitali ya Mwananyamala na juzi usiku alihamishiwa Muhimbili. Idd ni mdogo wa nyota wa zamani, Madaraka Seleman (Mzee wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…