suleiman

Suleiman (English: or ) is the main transliteration of the Arabic سليمان Sulāymān / Silīmān. The name means "man of peace" and corresponds to the English name Solomon.
The word may also be transliterated as Sulaiman, Suleman, Soliman, Sulayman, Sulyman, Suleyman, Sulaman, Süleyman, Sulejman, Sleiman, Suliman, Solomon, Soleman, Solyman, Souleymane. This disambiguation page focuses on individuals and entities with Suleiman as a predominant transliteration.

View More On Wikipedia.org
  1. Teko Modise

    Namuona Kamishna Salum Hamduni mbali zaidi

    Kwa kazi nzuri na ya kutukuka huko Takukuru, Kamishna wa Polisi, Salum Hamduni namuona akifika mbali sana katika vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Kuna sauti ndani yangu inanambia, CP Hamduni atapanda juu zaidi siku si nyingi toka sasa. Kwahyo wale waliobakia, ambao taasisi zao hazijaguswa...
  2. Roving Journalist

    Mamia Wamzika Chuma Suleiman (Bi Hindu) katika makaburi ya Mwinyi Mkuu Jijini Dar es Salaam

    MAMIA WAMZIKA MSANII NGULI WA FILAMU BI CHUMA SULEIMAN (BI HINDU) Mamia ya wananchi viongozi, wanamichezo, wasanii wa tasnia mbali mbali nchini Jumapili 10 Julai 2022 wamejumuika katika mazishi ya Msanii Nguli wa Filamu Bi Chuma Suleiman Maarufu (Bi Hindu) yaliyofanyima nyumbani kwake Magomeni...
  3. Mohamed Said

    Buriani Suleiman ''Baku'' Ismail

    BURIANI NDUGU YANGU SULEIMAN ‘’BAKU’’ ISMAIL Siku ya Alkhamis, tarehe 9 tumemzika ndugu yetu Baku mtu maarufu kupita kiasi Mafia. In Shaa Allah nitakuja kueleza umaarufu wa Baku baadae. Ningeweza kuweka picha nyingine yoyote lakini hii picha ya pili niliyoweka hapo chini amejilaza kwenye sofa...
  4. Melubo Letema

    Riadha: Suleiman Nyambui apata tuzo huko Marekani

    Kocha wa Timu ya Taifa ya Riadha na Mwanariadha Mkongwe, Kocha Suleiman Nyambui, apokea Tuzo au zawadi ya "Hall of Fame" kwa kufanya vizuri katika enzi zake akikimbia kwenye Mashindano Mbalimbali ya Vyuo Vikuu huko nchini Marekani , UTEP TX , National Collegiate Athletics Association (NCAA)...
  5. U

    Je, ilikuwa ni dhambi Mfalme Suleiman kuoa Wanawake wengi wakiwamo Masuria 300?

    Kwa mujibu wa Biblia Mfalme Suleiman alipenda sana Wanawake 1 Wafalme 1-25 "Akawa na wake mia saba binti za kifalme, na masuria mia tatu; nao wakeze wakamgeuza moyo" Naomba mtujuze je aliyofanya Suleiman ni dhambi pia according to vitabu vingine ukiachana na Biblia? Namaanisha Biblia...
  6. M

    Asanteni Ahmed Ally, Suleiman Matola na Barbara Gonzalez kwa kutuandaa mapema Kisaikolojia wana Simba SC juu ya Kipigo cha Keshokutwa Berkane

    Ikitokea Simba SC yangu ikashinda au hata tu kutoka Sare / Suluhu na RS Berkane Keshokutwa ( Jumamosi ) nitakuwa ni mwenye Furaha Kubwa kwani Lengo letu Kuu litakuwa limetimia hasa kwa Mechi za Ugenini ( Away ) Hata hivyo nisiwe Mnafiki au Muongo kwa wale Wabobezi wa Communication Psychology na...
  7. Melubo Letema

    RT wataja Wanariadha 15 Jumuiya ya Madola, Suleiman Nyambui Kocha Mkuu

    Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Limewatangaza Wanariadha 15 wa mbio Ndefu watakaoingia Kambini (West Kilimanjaro) Kwa kujiandaa na Mashindano ya Jumuiya ya Madola yanayotarajiwa Kufanyika Birmingham, Uingereza mwezi Agosti 2022. Wanariadha waliotajwa ni Pamoja na Wana Olimpiki walioshiriki...
  8. EINSTEIN112

    Msikiti wa AQSA kubomolewa na Hekalu la Suleiman kujengwa upya

    Israelis Reportedly Allowed to Pray on the Temple Mount. Several Jewish people could be seen praying on the Temple Mount over the weekend; In addition to prayer, it’s reported that even Torah teachings have taken place; Cherki: The change in policy is “a revolution, unfolding quietly and...
Back
Top Bottom