Suleiman (English: or ) is the main transliteration of the Arabic سليمان Sulāymān / Silīmān. The name means "man of peace" and corresponds to the English name Solomon.
The word may also be transliterated as Sulaiman, Suleman, Soliman, Sulayman, Sulyman, Suleyman, Sulaman, Süleyman, Sulejman, Sleiman, Suliman, Solomon, Soleman, Solyman, Souleymane. This disambiguation page focuses on individuals and entities with Suleiman as a predominant transliteration.
Kwa kazi nzuri na ya kutukuka huko Takukuru, Kamishna wa Polisi, Salum Hamduni namuona akifika mbali sana katika vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Kuna sauti ndani yangu inanambia, CP Hamduni atapanda juu zaidi siku si nyingi toka sasa.
Kwahyo wale waliobakia, ambao taasisi zao hazijaguswa...
MAMIA WAMZIKA MSANII NGULI WA FILAMU BI CHUMA SULEIMAN (BI HINDU)
Mamia ya wananchi viongozi, wanamichezo, wasanii wa tasnia mbali mbali nchini Jumapili 10 Julai 2022 wamejumuika katika mazishi ya Msanii Nguli wa Filamu Bi Chuma Suleiman Maarufu (Bi Hindu) yaliyofanyima nyumbani kwake Magomeni...
BURIANI NDUGU YANGU SULEIMAN ‘’BAKU’’ ISMAIL
Siku ya Alkhamis, tarehe 9 tumemzika ndugu yetu Baku mtu maarufu kupita kiasi Mafia.
In Shaa Allah nitakuja kueleza umaarufu wa Baku baadae.
Ningeweza kuweka picha nyingine yoyote lakini hii picha ya pili niliyoweka hapo chini amejilaza kwenye sofa...
Kocha wa Timu ya Taifa ya Riadha na Mwanariadha Mkongwe, Kocha Suleiman Nyambui, apokea Tuzo au zawadi ya "Hall of Fame" kwa kufanya vizuri katika enzi zake akikimbia kwenye Mashindano Mbalimbali ya Vyuo Vikuu huko nchini Marekani , UTEP TX , National Collegiate Athletics Association (NCAA)...
Kwa mujibu wa Biblia Mfalme Suleiman alipenda sana Wanawake
1 Wafalme 1-25 "Akawa na wake mia saba binti za kifalme, na masuria mia tatu; nao wakeze wakamgeuza moyo"
Naomba mtujuze je aliyofanya Suleiman ni dhambi pia according to vitabu vingine ukiachana na Biblia?
Namaanisha Biblia...
Ikitokea Simba SC yangu ikashinda au hata tu kutoka Sare / Suluhu na RS Berkane Keshokutwa ( Jumamosi ) nitakuwa ni mwenye Furaha Kubwa kwani Lengo letu Kuu litakuwa limetimia hasa kwa Mechi za Ugenini ( Away )
Hata hivyo nisiwe Mnafiki au Muongo kwa wale Wabobezi wa Communication Psychology na...
Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Limewatangaza Wanariadha 15 wa mbio Ndefu watakaoingia Kambini (West Kilimanjaro) Kwa kujiandaa na Mashindano ya Jumuiya ya Madola yanayotarajiwa Kufanyika Birmingham, Uingereza mwezi Agosti 2022.
Wanariadha waliotajwa ni Pamoja na Wana Olimpiki walioshiriki...
Israelis Reportedly Allowed to Pray on the Temple Mount. Several Jewish people could be seen praying on the Temple Mount over the weekend; In addition to prayer, it’s reported that even Torah teachings have taken place; Cherki: The change in policy is “a revolution, unfolding quietly and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.