sumbawanga

Sumbawanga is a city located in western Tanzania. It is the capital of Rukwa Region and the municipal seat of Sumbawanga Urban District with postcode number 55100 . The district had a population of approximately 150,000 based on the 2002 census. Sumbawanga lies in the territory of the Wafipa Fipa tribe and so many people speak Kifipa, as well as Kiswahili, the most widely used language of Tanzania. The name of the town literally translates as "throw away your witchcraft", thought to be a warning from local spiritual "healers" to any bringing in superstitions and practices relating to spiritual healers from other areas; there are still some healers who practice both in town and in the surrounding smaller villages on the plateau. The town has the largest hospital in the region, Rukwa General Hospital, which is government funded, as well as the smaller Dr. Atiman Hospital administrated and run by the Catholic Diocese of Sumbawanga.
The town acts as a supply and commercial center for the Rukwa Region and some governmental agencies are to be found there, notably the transport department for the region. Sumbawanga has both Libori and Moravian conference centres. A modest-size market is in the town centre where local produce may be found. This includes maize, rice, fruit, poultry and fish (from Lake Tanganyika and Lake Rukwa). Many imported plastic goods and electronics are available as well as bicycles and spares. Although there are several fuel outlets, supply can be quite erratic because of the difficulties of transport from the coast.
The local economy is largely dependent on agriculture and small locally owned businesses. There is very limited industry or production in the town. Significant improvement could be expected if the road to Mbeya was sealed to enable reliable all-weather access year round. This road, and its continuation north to Mpanda and Tabora or Kigoma, can become impassable at the height of the wet season (Feb-Mar). The Tanzanian government does have contracts in place for upgrading large sections of these roads. The town can be reached by flights operated by Auric Air or by bus from Mbeya which lies to the south with train links to the town of Kapiri Mposhi in Zambia, to Dar es Salaam. Rail is also available through Tabora from Mpanda in the north. Mpanda also has an airport with a 2 km sealed runway.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    DOKEZO URGENT: Binti wa miaka 16 ameozeshwa kwa lazima kama mke wa pili, huko Laela, Sumbawanga

    Binti wa miaka 16 anaitwa Recho, yuko kijiji cha NITU, wilaya ya LAELA, Mkoa wa Rukwa. Ameozeshwa kwa kulazimishwa na wazazi wake pamoja na kaka zake, ambao wamechukua mahari ya shilingi 700,000, tena ameozeshwa kwa mzee kama mke wa pili. Huyo binti yeye hataki kuolewa na kwa sasa ametoroka...
  2. ChoiceVariable

    Tanga: Mume aua mke na nduguye kwa wivu wa mapenzi

    Baada ya Wanawake kuwaua waume zao Kwa wivu wa mapenzi huko Sumbawanga naona wanaume wameanza kulipa Kisasa. Kutoka Tanga Mume amkata mkewe Kwa mapanga na Nduguye kisa wivu wa mapenzi kisha kutokomea kusikojulikana. ======= WANAWAKE wawili wa familia moja wakazi wa kijiji cha Mkanyageni...
  3. AFRITRACK

    Fleet Tracking, Fuel Sensors, Smart Generators, and AI Dash Cameras

    Karibu Afritrack, Afritrack ni alama ya biashara iliyosajiliwa ya Laiki Technology Limited ambayo ni kampuni iliyoanzishwa mwezi wa Aprili 2006 na ni moja ya kampuni za kwanza kuleta huduma za kufuatilia(kutrack) magari nchini Tanzania. Kwa miaka mingi, Afritrack imebadilika na kuwa mtoa...
  4. B

    Rukwa: Nyuki waua mmoja Sumbawanga

    Mwanamke mmoja aitwaye Janath Swedi (72) Mkazi wa Mtaa wa Mtakumbuka, Kata ya Momoka Manispaa ya Sumbawanga Mkoani Rukwa, ameuawa kwa kushambuliwa na kundi kubwa la nyuki nyumbani kwake. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Mwenyekiti wa Mtaa huo, Mohamed Makubi amesema tukio hilo lilitokea...
  5. M

    Sumbawanga: Mtoto auawa kwa kuliwa na nguruwe

    #HABARI Mtoto aitwaye Haruna Mwanakatwe anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kumi (10) mwenye ulemavu wa viungo na mkazi wa mtaa wa Edeni B Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ameuawa kwa kuliwa na Nguruwe nyumbani kwao. Tukio hilo limetokea jana Juni 25, 2023, baada ya mtoto huyo kubaki ndani...
  6. JanguKamaJangu

    Waganga wa jadi 10 wapelekwa Kigoma kupambana na Wachawi, DC aweka ngumu

    Wananchi wa Kijiji cha Sunuka, Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma wameshirikiana na Serikali ya Kijiji kuchukua Waganga wa Jadi zaidi ya 10 kutoka Sumbawanga ili kukagua wachawi waliomo ndani ya kijiji chao wakidai ndicho chanzo cha utitiri wa vifo vya vijana katika mazingira ya kutatanisha. Baadhi...
  7. Roving Journalist

    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa: Baada ya ujenzi Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga utakuwa wa kisasa

    Salaam, Hatimaye ile ndoto ya siku nyingi ya Uwanja wa ndege sumbawanga uliokuwa hautumiki imetimia. Leo Serikali inayoongozwa na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Samia Suluhu Hassan imetia saini kuanza kwa ujenzi wa Uwanja. ILIKUWAJE? Awamu ya kwanza ya Upembuzi yakinifu na...
  8. blogger

    Kufuatia kutumbuliwa kwa DC wa Sumbawanga, kuna vitu havipo sawa nchini na ni lazima visemwe

    Kwanza kabisa naanza kwa kumsalimia Rais wetu kipenzi Samia Suluhu Hassan kwa heshima zote kabisa maana najua atasoma uzi huu kwani anapita humu na tupo naye. Ni swali la moja kwa moja tu, kama ni kweli yule DC wa Sumbawanga katolewa kwa igizo lile basi hatuna budi kujitafakari upya lakini pia...
  9. Teko Modise

    Huyu ndiye Jane Nyamsenda, DC mstaafu wa Sumbawanga

    Huyu ndio DC aliyetumbuliwa jana na mamlaka za uteuzi. Hakika CCM tuna watu!!
  10. R

    Rais aliwaasa viongozi waandamizi kufanya KAZI Kwa kujiamini, DC Sumbawanga kafanya Kwa kujiamini akatumbuliwa. Bado kuna tatizo sehemu

    DC Sumbawanga ametumbuliwa Jana Bila Sababu yakumbuliwa kwake kuwekwa wazi. Mitandao ya kijamii imeandika kwamba zoezi la utayari lililoandaliwa na Askari WA kike ndicho chanzo cha kutumbuliwa kwake. Wakati vyanzo vikinyetisha kwamba zoezi la utayari Ndilo lililomtumbua naomba tutumie Sababu...
  11. B

    CHADEMA Sumbawanga pigo jingine kwa wale Wengine

    Mwenye macho haambiwi tazama: Kwani hata ipo siri? Inatakiwa Katiba Mpya hapo. Ni wazi kuwa hata ule upande mwingine, salamu zitakuwa zimewafikia. Mungu Ibariki CHADEMA.
  12. C

    Miji ifuatayo iandaliwe kuwa Majiji

    Nchiyetu ni kubwa sana na ina miji mingi, lakini miji yenye huduma za hadhi ya jiji ni michache kulinganisha na idad ya watu waliopo. Mfano Kanda ya Ziwa nikubwa na ina watu wengi lakini jiji ni moja tu Mwanza, inabidi Bukoba iandaliwe kuwa jiji kwa selikali kupeleka huduma za hali ya juu kama...
  13. Unique Flower

    Naomba mwenyeji wa Sumbawanga mwaminifu mwelewa

    Naomba mwenyeji wa Sumbawanga, mwelewa na mwaminifu anayejua na awe Mzaliwa wa huko . Pili hata kama so mzaliwa awe tu mwelewa na sehemu za hukoo
  14. BARD AI

    Hakimu adaiwa kujiua akiwa 'Guest House' Sumbawanga

    Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Kasanga iliyopo Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Michael Royan (31) anadaiwa kujiua kwa kunywa sumu katika nyumba ya kulala wageni ya ‘gesti’ iliyopo Manispaa ya Sumbawanga mkoani humo. Akizungumzia tukio hilo leo Jumanne Novemba 29, 2022 Kamanda wa Polisi mkoani...
  15. Chachasteven

    Rayvany alivyotumia uchawi kwenye show ya Fiesta Sumbawanga

    Cheki hapa Rayvanny alivyotumia uchawi kwenye shoo yake ya Fiesta Sumbawanga.
  16. Chachasteven

    Mfahamu mshindi wa Supa Diva 22 ya fiesta Sumbawanga

    Huyu hapa mshindi wa Supa Diva 22 inayosimamiwa na Fiesta kipindi cha kuendesha show za fiesta mikoani. Afichua siri ya mafanikio yake hadi kushinda. Full story:
  17. H

    SoC02 Ndoto yangu shuleni Sumbawanga

    Nikiwa Form Six Sumbawanga Sec, Ilikuwa ni siku ya Ijumaa,Siku ambayo tulikuwa tunawahi kutoka Darasani kwani ilikuwa ni siku special kwa ajili ya Michezo. Basi bwana me nkiwa na kibaiskeli changu nilichochukua kwa Dogo mmoja wa Olevel... chini nkiwa nmepiga Soksi na Sendo huku juu tisheti na...
  18. M

    Kamishina wa Ardhi Rukwa, Mkuu wa Idara ya Ardhi Sumbawanga na Fagio Auctioner wananyanyasa wananchi Rukwa juu ya Kodi ya Ardhi

    Kichwa cha habari chahusika. Kumekuwa na unyanyasaji na uvunjifu wa sheria ubaofantwa na Kamishina wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Rukwa,Mkuu wa Idara ya Ardhi Manispaa ya Sumbawanga na dalali kutoka mbeya anayeitwa Fagio Auctioneer. Kiuhalisia dalali huyu ametafutwa na huyo Mkuu wa Idara ya Ardhi...
  19. mapesa yamejaa

    Kipigo cha mbwa koko Sumbawanga

    Mzee mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Manase amepokea kipigo kutoka kundi la vijana wamachinga hapa mjini Sumbawanga. Nikiwa nimetulia zangu hapa kwenye biashara zangu za madafu, mita kama 100 mbele yangu nikaona kundi linamkimbiza huyo mzee aliyevalia nguo za CCM huku akipigwa mawe na fimbo...
  20. Dr wa Kaliua

    Naacha chuo kwa muda, naenda Sumbawanga kujifunza uganga

    Habari JF, Baaada ya maisha ya chuo kuwa magumu hapa Dar es Salaam, sasa nimeamua kupostpone masomo mpaka second semester Next Year, pia nimepostpone pesa HESLB mpaka Next Year. Ajira hakuna, so chuo ntamalizia mwakani, Ila kwa sasa naenda kujifunza uganga short course miezi 6. Babu yangu...
Back
Top Bottom