suti

Suti is a town, with a police station, not identified in 2011 census as a separate place, in the Suti II CD block in the Jangipur subdivision of Murshidabad district in the state of West Bengal, India.

View More On Wikipedia.org
  1. britanicca

    Humphrey Polepole andaa Suti

    Mheshimiwa Balozi nikipata nauli nakuja kukupa hi hapo ubalozini, Andaa Suti kabisa tusalimiane ukiwa tumevaa suti , ingae Kama ya Makatibu katibu wakuu fulan hivi Aisee wanajukwaa Karibuni Moscow tupate vodka Britanicca
  2. Yoda

    Kwanini ni muhimu Zelenskyy kuvaa suti White House ila sio viongozi wengine?

    Mojawapo ya maswali aliyoulizwa Zelenskyy leo na watu wa Trump katika mkutano wa hovyo wa waandishi wa habari wa Trump na timu yake ni kwa nini havai suti Oval Office/Ikulu ya Marekani! Aliyemuuliza swali alisema Wamarekani wengi sana wanatatizwa na kitendo cha Zelenskyy kutokuvaa suti akiwa...
  3. ITR

    Kiongozi wa nchi kuvaa suti bila tai ikoje kiitifaki?

    Kuna huyu rais wa Iran ni mtu anaye penda kuvaa suti lakini cha kushangaza huwa havai tai. Yaani huwa ana vaa kama mshikaji fulani tu ,kiitifaki ikoje hii?
  4. Logikos

    Je ni Heri kuvaa Suti ya Bei wakati una Jasho, unanuka na kuwashwa au bora ununue Sabuni uoge na kuvaa Lubega yako ?

    Better one Step with the People than 10 Steps Without...
  5. Mr Dudumizi

    Ama kweli katika siasa hakuna jambo linalotokea kwa bahati mbaya. Alaumiwe mama Abdul, vijana wa Kaunda suti, au viongozi wa chama?

    Habari zenu wanaJF wenzangu Wakuu kuna mambo mengine yanashangaza sana, kiasi ya kwamba sometimes mtu unajiuliza kwamba haya mambo yanayotokea huwa yanakuja tu yenyewe au kuna mtu/watu wanayapanga yatokee kwa sababu fulan. Kwa leo naomba nizungumzie haya yanayotokea kipindi hiki cha mwezi...
  6. Pdidy

    Ombea magauni na suti mnazovaa harusini; kuna zenye maagano ya kutengana, vifo, kutokuzaa n.k

    Kwa wewe umeoa au kuolewa, hapa ujiombee na kuomba toba na rehema kwa ajili yako na nguo ulizovaa. Hujaoa? Nikujulishe tu kwamba baadhi ya mavazi mnayovaa yana maagano ya vifo, kutengana, kutokuzaa. Kuna koo ambazo hazikai na mke au mume zaidi ya miezi 6. Vita vya ndoa vimejaa huko. Leo...
  7. T

    Wapi napata kaunda suti maridadi?

    Wapi napata kaunda suti matata? Nahitaji kuivaa kesho, nina tukio la kushtukiza. tf.
  8. M

    Kubadilibadili wateule kama kubadili suti hakuna tija

    Tangu serikali ya awamu ya sita iingie madarakani inaelekea kazi ya kuteua na kutengua imegeuka kama sehemu mojawapo ya majukumu muhimu sana ya serikali hiyo. Mpaka imefikia hatua wananchi wanashindwa kuelewa haswa viongozi wao wa wizara, na taasisi mbalimbali ni akina nani. Maana imegeuka kama...
  9. doctor_clothing_store

    KAUNDA SUTI ZA WATOTO

    Mambo vipi wadau wa JF. Leo nimewaletea Kaunda suti za watoto wadogo miaka 2 - 17. Sifa za Kaunda suit 👇 Quality materials ✅ 100% cotton wool materials ✅ Bei👇 Tsh. 95,000/= WhatsApp/call: 0712878245 Location: Kariakoo, Manyema na mchikichi street-Dar es salaam. Tupo nyuma ya jengo la Simba...
  10. doctor_clothing_store

    Suti za ofisini na harusi zinapatikana

    Doctor_clothing_store tunatoa suluhisho la upatikanaji wa suti za kiume za ofisini, harusi, msibani na kwenye matukio maalumu. suti zetu ni za ubora wa hali ya juu (zimetoka uturuki) Bei ya suti inategemea aina ya suti Kuna za Tsh.150,000/=, 170,000/=, 180,000/=, 200,000/=, 250,000/= na...
  11. Mjanja M1

    Mchumba hasomeshwi, muhanga SutiBega

    --- Kupitia akaunti yake ya Instagram Sutibega_ anaandika: "Wakati kakaangu Haji Manara anatafuta mke sahihi nilikuwa sielewi kwani niliambiwa wanaake wengi hawajui kushukuru hawajui thamani ya mtu anejitoa na kupambana hakuna siku nimeumia kama leo nakutambua kumbe nilikuwa daraja la mafanikio...
  12. mdukuzi

    Mwaka 1983 Lowassa alinunua suti pair 10 wakati Nyerere na Sokoine wakiwa na kaunda suti zaidi ya pair tano

    Mwaka 1983, Lowassa akiwa na miaka 30 akiwa ofisa wa CCM, walikwenda UK kwa training, alinunua suti jozi 10 kwa mpigo, kumbuka kipindi hicho nchi ilikuwa na makovu ya vita ya Uganda, Nyerere akiwa Rais, Sokoine akiwa Waziri Mkuu walikuwa na viatu jozi mbili na suti jozi nne au tatu. Tuliokuwepo...
  13. Mwamuzi wa Tanzania

    Wanakwaya, Makondakta na MC wameshusha hadhi ya kaunda suti

    Kaunda suti ilikuwa na hadhi waungwana, kaunda suti ukiivaa hata ukitembea kwa miguu unakuwa na thamani kubwa enzi hizo. Sasa hawa ma MC walioibuka kama uyoga kila mmoja ana kaunda suti zake. Yaani mtu akichapwa na maisha tu anajiita MC na cha kwanza ni kushona kaunda suti.
  14. GENTAMYCINE

    Mwambieni huyo Mgaigai ( Mshamba ) wenu wa Kikongo kuwa Suti huwa haichomekewi anaharibu na anaboa sasa

    Halafu mwambieni kwa huo Upuuzi wake ambao kuna baadhi ya Wapuuzi wanaufurahia Kibiashara anaweza akawa anajifungia Milango ya kupata Endorsements nyingi na Watu serious na akaishia tu kupata hizo Fedha za Magodoro yenye Kunguni na Vyura ndani yake na Kumiliki hilo Gari ambalo anadhani ni lake...
  15. Bull Bucka

    Kenya: Kaunda suti haziruhusiwi ndani ya Bunge

    Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang'ula amepiga marufuku mavazi yasiyo rasmi ndani ya eneo la bunge. Wetang'ula alisema kanuni hiyo inawahusu Wabunge wote, wasio wafanyakazi, wawakilishi wa vyombo vya habari na wageni Pia alieleza kuwa wasio wabunge ni lazima wakati wote wavae vitambulisho...
  16. F

    Kama wewe unajua kuuza. Biashara ya U MC wa Harusi ndie biashara nyepesi kukupa faida ya milioni 20 kwa mwezi. Kwa mtaji wa mdomo wako tu na suti

    Habari wadau. Kwenye jukwaa la biashara leo tuongelee kuhusu biashara ya ku sherehesha sherehe. Ni biashara ambayo watu wengi hawaiwazi. Ila inaingiza hela nyingi sana kama faida. Unapaswa kuwa mjanja kuelewa biashara yao wanavyoifanya na cost wanazotumia. Hiyo biashara imejigawa pande...
  17. Venus Star

    Nashauri Pascal Mayalla ateuliwe kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara

    Ndugu yetu Pascal Mayalla amesugua benchi sana. Na kama kutumia uwezo wake kuwashawishi viongozi, ametumia wote. Ni muda mwafaka sasa wa mwana JF mwenzetu kuukwapua ukuu wa wilaya ya mtwara. Bwana Pascal Mayalla anayohaiba ya kuwa mkuu wa wilaya na anaijua miiko ya uongozi. Napaza sauti yangu...
  18. and 300

    Panya road waliovaa suti?

    Msanii Nay wa Mitego, ameshusha Ngoma mpya humo ndani wanatajwa Panya Road, waliovaa suti mm bado sijawajua hao Panya Road waliovaa suti ni wa kina nani. Mwenye uelewa tafadhali.
  19. Bata Boy Official

    Unaweza kushona/kutengeneza mfano wa zile suti za superheroes kama(Spiderman, Superman...)

    Habari zenu wakuu? Nahisi kichwa cha uzi kinajitosheleza, japo kwa kuongezea kama wewe ni mmoja kati ya wanaoweza/kumfahamu anayeweza naomba tuwasiliane. Njoo PM chap kwa haraka tufanye biashara.
  20. Uhakika Bro

    Zelensky kutokupigilia suti kama marais wenzake, kung'angania tisheti casual na combat inadhalilisha Ukraine

    Kwanini asivae suti kali? Kwanini avae tisheti tu? Mbaya zaidi hata anapokutana na delegations za nchi nyingine, pamoja na mikutanoni yeye ni matisheti tu. Why? Yaani unakuta hadi walinzi na madereva wa hao viongozi wengine wamenyuka misuti mikali mikali halafu rais wanayempokea/pokelewa naye...
Back
Top Bottom