swimming pool

  1. Kaunara

    Plastic swimming pool kama hii ntapata wapi kwa Dar?

    Hello! Kama kichwa cha habari kinavyosema.
  2. The Box

    NI sehemu gani Dodoma kuna swimming pool za wakubwa?

    Wakuu. Nitakuwa Dodoma Kesho. Napenda kuogelea. Ni sehemu gani Dodoma kuna swimming pool za wakubwa?
  3. Olive 1010

    Nyumba ya kupanga yenye swimming pool

    Msaada nina rafiki yangu anatafuta nyumba au apartment ya kupangaisha yenye swimming pool Dar; Any recommendation? maeneo ya Mbezi beach kuelekea Bagamoyo!
  4. February Makamba

    Swimming pool za wapi zenye watoto?

    Wadau wa kupiga mbizi tujuane tupeane na machimbo. Mimi napenda kupiga maji Kila weekend na napenda pia pool iwe na watoto wakali...ila sio zile za uswahilini isijae watu mob mpaka ukose pa kukanyaga...Zile swaga za Dem mmoja anaingia anapiganiwa na watu sita siziwezi. Napenda Ile unakuta pool...
  5. JanguKamaJangu

    Vicky Kamata asema marehemu mume wake "Alikuwa na vinyumba vya kawaida na msururu wa watoto!"

    Nakuomba msamaha mume wangu kwa kuwa mimi ni Mkatoliki na Imani yangu inaniambia unaona na unajua kila kitu kinachoendelea kati yangu na wanao. Najua muda utaongea lakini kwa kuwa nami ni binadamu naomba niseme yafuatayo! Ni kweli mimi ni kiumbe dhaifu na mwenye dhambi nyingi tu kama wengine...
  6. Ujinga mtupu

    TANZIA Mtoto wa mwanamziki Davido Afariki Dunia akiwa anaogelea

    Habari. Mtoto wa mwanamziki mashuhuri Davido Amefariki akiwa anaogelea Kwenye Swimming pool. RIP little Young. Music icon, David Adeleke aka Davido has sadly lost his first son, Ifeanyi David, he had with Chioma Rowland aka Chef Chi. Ifeanyi who only recently celebrated his 3rd birthday...
  7. Bujibuji Simba Nyamaume

    Ntotofula Natural Swimming Pool- Mbeya

    Ntotofula Natural Swimming Pool NTOTOFULA ni neno la Kinyakyusa lenye maana ya Povu, Sehemu hii ya kuogelea inayopatikana ndani ya Mto Mbaka katika kijiji cha Mbambo Halmashauri ya Busokelo iliitwa hivyo kutokana na uwepo wa povu la asili litokanalo na maji kujipiga kwenye Mwamba/mawe ama ukuta...
  8. sifi leo

    Wewe Mtanzania unayetawaliwa kama Mimi unapata picha gani? Mtoto wa Waziri kugonga magari akiwa amelewa chakali, mtoto wa mbunge kufia Swimming pool?

    Ni saa 5;50 tarehe 26/08/2022. Kichwa Cha habari kinajieleza kinatutaka Kila kijana wa kitanzania, mtu mzima wa Tanzania, ambao wote tupo nje ya mfumo WA utawala tunapata picha gani ya maisha ya familia za watawala wetu?je sisi tunayaishi maisha hayo? Wakati mtoto wa Waziri anagonga magari ya...
  9. M

    The new Aeroplane with Shopping mall and Swimming pool heat the wave..

    When a fixed-wing aircraft is driven forward by the thrust of a jet engine, a propeller, or a rocket engine, it is referred to as an airplane or aeroplane (informally plane). Depending on the model, the size, shape, and wing configuration can be customized. Recreation, transportation of goods...
  10. ndege JOHN

    Kukojoa ndani ya swimming pool sio uungwana

    Najua hii tabia wanayo binadamu wengi unakuta mnaogelea katika pool mtu anabanwa mkojo badala aende toilet anaamua kumalizia shida zake humohumo ndani. Mwingine ndo shenzi wahed anakunya kabisa. Unaweza ukashangaa kinyesi kinapanda juu ya maji. Aisee kweli nimeamini kila mtu ana upumbavu wake...
Back
Top Bottom