Oliver Scott "Oli" Sykes (born 20 November 1986) is an English-Brazilian singer and songwriter, best known as the lead vocalist of the rock band Bring Me the Horizon. He also founded the apparel company Drop Dead Clothing, and created a graphic novel.
Nilikuwa youtube hapa nasikiliza ngoma mbalimbali zilizopendwa.
Ukaingia wimbo wa Hunifahamu ulioimbwa na Dully Sykes, mwishoni Dully anataja mwaka 2005 ambao ametoa wimbo huo .
Nikashtuka leo ni mwaka 2005 takribani miaka 20 imetimia, hakika sasa mimi ni mzee.
Yuki wapi aliyesema uzee...
Majuma mawili yaliyopita kwenye group letu moja kuna mwenzetu mmoja aliandika maneno hayo hapo chini:
"Jamani historia nzima ya Tanganyika ni Sykes and Sykes and Sykes and Sykes."
Nadhani alikuwa kachoka.
Kila ninapoandika historia ya uhuru wa Tanganyika Sykes hawakosekani.
Kwa hakika...
Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou...
TUNDU LISSU AKUMBUSHA UCHAGUZI WA PRESIDENT WA TAA KATI YA ABDULWAHID SYKES NA JULIUS NYERERE 1953
Kila uchao tunakumbushana na kuazima ukurasa kusoma kutoka historia ambayo ilifutika.
Leo usiku katika kipindi cha ITV Dak. 45 Tundu Lissu akihojiwa na Mtangazaji Farhia Middle katika kujadili...
Salaam wana JamiiForum;
Maisha yanaenda kasi sana, vijana wenzangu ambao tulikuwepo bado vijana wakati hizi nyimbo zinatoka embu leo kajiangalie tena kwenye kioo alafu linganisha matendo unayofanya na umri wako.
Ni hayo tu. Link hii hapa
https://youtu.be/IYdqkdh7hks?si=I367eHGJ_G3KHo7F
IKIWA HUJAPATAPO KUZIONA TARIFA ZA KIKACHERO ZA SPECIAL BRANCH 1950s
"Tanganyika Political Intelligence Summary, March 1952":
"...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid Sykes has dispatched letters to all branches asking members for suggestions under the following...
Ni mwaka 2002 nikiwa na miaka 12 nilikuwa nasikiliza nyimbo za Dully Sykes, Katika moja wa wimbo wake kuna unaoitwa "Nyambizi" kuna sehemu anaimba
Nyambizi, nionee huruma mi sio kuchu,
nipe japo kiduchu
Mi nshachoka kupiga puchu!
Kama mnavyojua zamani kaseti unaweza kuirudia hata mwaka mzima...
HADITHI YA ALI WAWILI: ALI HASSAN MWINYI NA ALLY KLEIST SYKES
Majina yao yamefanana mtu na somo yake ila kila mmoja analiandika jina lake vingine.
Mimi na Hamza Aziz tulikuwa na Majlis yetu nje ya nyumba
yake kwenye kibanda cha makuti pwani kikitazama Bahari ya Hindi.
Hapa palikuwa na upepo...
Watu wengi hawajui historia ya muziki wa bongofleva na hawajui umeanzia wapi.
Fact ni kwamba muasisi wa muziki wa bongofleva ni Prince Dully Sykes aka Mr Misifa.
Sound hii unayoiskia leo ya bongofleva (baibuda) ilianzia kwa Dully.
Kwa wasio na ufahamu, bongofleva ni muziki wa kizazi kipya...
KUMBUKUMBU ZANGU: MTAA WA KIPATA (SASA MTAA WA KLEIST SYKES)
Nimefika Mtaa wa Kipata leo majira ya asubuhi.
Siku zote nifikapo Gerezani na kupita mitaa yake kumbukumbu nyingi za utotoni hunijia.
Nyumba za ndugu na jamaa nilizokuwa nazijua, nyumba za kuezekwa na madebe na mjengo wa vyumba sita...
DULLY SYKES
Hukaa nikarudi nyuma sana katika fikra.
Ilikuwa mwaka wa 1968 mimi na Ebby Sykes tumekaa kwenye kibaraza cha nyumba moja Mtaa wa Mchikichi na Livingstone.
Ebby alikuwa ndiyo kafiwa karibuni na baba yake.
Hapo si mbali sana na kwao nyumbani kwa bibi yake Bi. Mruguru bint Mussa...
Ndugu zangu,
Kitabu cha Abdul Sykes hicho hapo chini kwa atakae kukisoma.
KInapatikana Hard Copy Ibn Hazm Media Centre katika maduka yake ya vitabu Msikiti wa Mtoro, Manyema (Kariakoo), Mtambani (Kinondoni) na Kichangani (Magomeni) bei Shs: 10,000.00...
HII NDIO HISTORIA YA FAMILIA YA SYKES.
Historia hii inaanzia kwa MZEE SYKES MBUWANE KLEIST. Huyu ndiye baba yake KLEIST SYKES.
MZEE SYKES MBUWANE KLEIST ni nani?
Sykes Mbuwane ni mamluki wa KIZULU aliyechukuliwa yeye na vijana wenzake wa kizulu kutoka kijiji cha LIKUNYI MSUMBIJI.
Walifikaje...
MUULIZAJI KAULIZA KWA NINI SYKES WANAREJEWA NA KUREJEWA?
''Nauliza hakuna familia nyengine ila ya akina sykes ilo shiriki?
Kugomboa tanganyika naona kila mara tunawarejea hao hao?''
Namjibu:
NYARAKA ZA SYKES KATIKA HISTORIA YA TANGANYIKA
Siku nilipofunguliwa sefu iliyokuwa na nyaraka za Sykes...
HISTORIA YA BI. TITI KATIKA KITABU CHA ABDUL SYKES 1955
Mikutano ya TANU ya siku za mwanzo ilikuwa ikifanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja mbele ya Princess Hotel.
Kwenye jukwaa lililojengwa kwa miti walikuwa wakikaa wale viongozi wa mstari wa mbele ndani ya TANU - Nyerere rais wa TANU...
KITABU CHA ABDUL SYKES KATIKA PDF
Kitabu hiki kilichochapwa na Minerva Press London 1998 sasa kipo katika pdf.
Nimeshindwa kupata link lakini nimewatumia watu wengi katika Whatsapp peaneni humo kwa humo na wenyewe kwa wenyewe mpate kukisoma kitabu hiki bure.
Soma Kwa Furaha.
MALKIA ELIZABETH (1926 - 2022) KATIKA NYARAKA ZA SYKES 1953
Katika nyaraka za Sykes kuna nakala ya barua ya tarehe 2 June, 1953 kutoka TAA kwenda kwa Malkia Elizabeth iliyotiwa saini na viongozi wote wa TAA 1953:
Rais: Julius Nyerere
Makamu wa Rais: Abdulwahid Sykes
Katibu Mkuu: Dome Okochi...
ABDALLAH TAMBAZA NA KLEIST SYKES
Nafungua gazeti la Raia Mwema nimekuta katika ukurasa maarufu wa Shajara ya Mwana Mzizima makala haya, "Huyu Ndiye Kleist Sykes Meya Aliyebuni Mradi wa Mwendokasi."
Abdallah na Kleist ni marafiki toka udogo wao walipoanza kusoma Al Jamiatul Islamiyya School Mtaa...
Katika picha hiyo hapo chini aliye hai kadri ya ufahamu wangu ni Mrs. Frank Humplink.
Katika watu hawa saba mimi nimebahatika kukutana na wanne: Mrs. Humplink nimekuwa nikienda nyumbani kwake Lushoto wakati wa uhai wa mumewe, Frank Humplink, Peter Colmore nimezungumza na yeye nyumbani kwake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.