sykes

Oliver Scott "Oli" Sykes (born 20 November 1986) is an English-Brazilian singer and songwriter, best known as the lead vocalist of the rock band Bring Me the Horizon. He also founded the apparel company Drop Dead Clothing, and created a graphic novel.

View More On Wikipedia.org
  1. Camilo Cienfuegos

    Nimeshtuka sana baada ya kugundua wimbo wa Hunifahamu wa Dully Sykes umetimiza miaka 20, kweli nimezeeka sasa

    Nilikuwa youtube hapa nasikiliza ngoma mbalimbali zilizopendwa. Ukaingia wimbo wa Hunifahamu ulioimbwa na Dully Sykes, mwishoni Dully anataja mwaka 2005 ambao ametoa wimbo huo . Nikashtuka leo ni mwaka 2005 takribani miaka 20 imetimia, hakika sasa mimi ni mzee. Yuki wapi aliyesema uzee...
  2. Mohamed Said

    "Sykes, Sykes, Sykes" Ndani ya Mkutano Maalum wa CCM Dodoma

    Majuma mawili yaliyopita kwenye group letu moja kuna mwenzetu mmoja aliandika maneno hayo hapo chini: "Jamani historia nzima ya Tanganyika ni Sykes and Sykes and Sykes and Sykes." Nadhani alikuwa kachoka. Kila ninapoandika historia ya uhuru wa Tanganyika Sykes hawakosekani. Kwa hakika...
  3. Mohamed Said

    Kumbukumbu: Abdul Sykes (12 October 1968)na Julius Nyerere (14 October 1999)

    https://youtu.be/GR0DQyhAdHs?si=0zwCfmI-Z0MLnRNp
  4. econonist

    Ilikuwaje Nyerere akamshinda Sykes?

    Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou...
  5. Mohamed Said

    Tundu Lissu Anakumbusha Uchaguzi wa Urais wa TAA Kati ya Abdulwahid Sykes na Julius Nyerere 1953

    TUNDU LISSU AKUMBUSHA UCHAGUZI WA PRESIDENT WA TAA KATI YA ABDULWAHID SYKES NA JULIUS NYERERE 1953 Kila uchao tunakumbushana na kuazima ukurasa kusoma kutoka historia ambayo ilifutika. Leo usiku katika kipindi cha ITV Dak. 45 Tundu Lissu akihojiwa na Mtangazaji Farhia Middle katika kujadili...
  6. Brojust

    Kumbe Sauda Mwilima ndio alikuwa video vixen kwenye nilikupenda - Abby Skilz ft Dully Syke

    Salaam wana JamiiForum; Maisha yanaenda kasi sana, vijana wenzangu ambao tulikuwepo bado vijana wakati hizi nyimbo zinatoka embu leo kajiangalie tena kwenye kioo alafu linganisha matendo unayofanya na umri wako. Ni hayo tu. Link hii hapa https://youtu.be/IYdqkdh7hks?si=I367eHGJ_G3KHo7F
  7. Mohamed Said

    Jomo Kenyatta (56) na Abdul Sykes (26) Katika Mkutano wa Siri, Nairobi 1950

    IKIWA HUJAPATAPO KUZIONA TARIFA ZA KIKACHERO ZA SPECIAL BRANCH 1950s "Tanganyika Political Intelligence Summary, March 1952": "...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid Sykes has dispatched letters to all branches asking members for suggestions under the following...
  8. G

    Dully Sykes alinifanya nianze kujichua nikiwa na umri mdogo bila onyo la kusikiliza mashairi ya kiutu uzima, naweza kumshtaki?

    Ni mwaka 2002 nikiwa na miaka 12 nilikuwa nasikiliza nyimbo za Dully Sykes, Katika moja wa wimbo wake kuna unaoitwa "Nyambizi" kuna sehemu anaimba Nyambizi, nionee huruma mi sio kuchu, nipe japo kiduchu Mi nshachoka kupiga puchu! Kama mnavyojua zamani kaseti unaweza kuirudia hata mwaka mzima...
  9. Mohamed Said

    Hadithi ya Ali Wawili: Ali Hassan Mwinyi na Ally Kleist Sykes

    HADITHI YA ALI WAWILI: ALI HASSAN MWINYI NA ALLY KLEIST SYKES Majina yao yamefanana mtu na somo yake ila kila mmoja analiandika jina lake vingine. Mimi na Hamza Aziz tulikuwa na Majlis yetu nje ya nyumba yake kwenye kibanda cha makuti pwani kikitazama Bahari ya Hindi. Hapa palikuwa na upepo...
  10. sinza pazuri

    Fact: Prince Dully Sykes ndio muanzilishi wa muziki wa bongofleva

    Watu wengi hawajui historia ya muziki wa bongofleva na hawajui umeanzia wapi. Fact ni kwamba muasisi wa muziki wa bongofleva ni Prince Dully Sykes aka Mr Misifa. Sound hii unayoiskia leo ya bongofleva (baibuda) ilianzia kwa Dully. Kwa wasio na ufahamu, bongofleva ni muziki wa kizazi kipya...
  11. Mohamed Said

    Kumbukumbu Zangu za Mtaa wa Kipata (Mtaa wa Kleist Sykes)

    KUMBUKUMBU ZANGU: MTAA WA KIPATA (SASA MTAA WA KLEIST SYKES) Nimefika Mtaa wa Kipata leo majira ya asubuhi. Siku zote nifikapo Gerezani na kupita mitaa yake kumbukumbu nyingi za utotoni hunijia. Nyumba za ndugu na jamaa nilizokuwa nazijua, nyumba za kuezekwa na madebe na mjengo wa vyumba sita...
  12. Mohamed Said

    Dully Sykes

    DULLY SYKES Hukaa nikarudi nyuma sana katika fikra. Ilikuwa mwaka wa 1968 mimi na Ebby Sykes tumekaa kwenye kibaraza cha nyumba moja Mtaa wa Mchikichi na Livingstone. Ebby alikuwa ndiyo kafiwa karibuni na baba yake. Hapo si mbali sana na kwao nyumbani kwa bibi yake Bi. Mruguru bint Mussa...
  13. Mohamed Said

    Kitabu cha Abdul Sykes katika PDF

    Ndugu zangu, Kitabu cha Abdul Sykes hicho hapo chini kwa atakae kukisoma. KInapatikana Hard Copy Ibn Hazm Media Centre katika maduka yake ya vitabu Msikiti wa Mtoro, Manyema (Kariakoo), Mtambani (Kinondoni) na Kichangani (Magomeni) bei Shs: 10,000.00...
  14. Magical power

    Hii ndio historia ya familia ya Sykes

    HII NDIO HISTORIA YA FAMILIA YA SYKES. Historia hii inaanzia kwa MZEE SYKES MBUWANE KLEIST. Huyu ndiye baba yake KLEIST SYKES. MZEE SYKES MBUWANE KLEIST ni nani? Sykes Mbuwane ni mamluki wa KIZULU aliyechukuliwa yeye na vijana wenzake wa kizulu kutoka kijiji cha LIKUNYI MSUMBIJI. Walifikaje...
  15. Mohamed Said

    Kwa Sykes Wanarejewa na Kurejewa Katika Historia ya Uhuru wa Tanganyika?

    MUULIZAJI KAULIZA KWA NINI SYKES WANAREJEWA NA KUREJEWA? ''Nauliza hakuna familia nyengine ila ya akina sykes ilo shiriki? Kugomboa tanganyika naona kila mara tunawarejea hao hao?'' Namjibu: NYARAKA ZA SYKES KATIKA HISTORIA YA TANGANYIKA Siku nilipofunguliwa sefu iliyokuwa na nyaraka za Sykes...
  16. Mohamed Said

    Historia ya Bi. Titi Katika Kitabu cha Abdul Sykes

    HISTORIA YA BI. TITI KATIKA KITABU CHA ABDUL SYKES 1955 Mikutano ya TANU ya siku za mwanzo ilikuwa ikifanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja mbele ya Princess Hotel. Kwenye jukwaa lililojengwa kwa miti walikuwa wakikaa wale viongozi wa mstari wa mbele ndani ya TANU - Nyerere rais wa TANU...
  17. Mohamed Said

    Kitabu cha Abdulwahid Kleist Sykes (1924 - 1968) katika PDF

    KITABU CHA ABDUL SYKES KATIKA PDF Kitabu hiki kilichochapwa na Minerva Press London 1998 sasa kipo katika pdf. Nimeshindwa kupata link lakini nimewatumia watu wengi katika Whatsapp peaneni humo kwa humo na wenyewe kwa wenyewe mpate kukisoma kitabu hiki bure. Soma Kwa Furaha.
  18. Mohamed Said

    Malkia Elizabeth (1926 - 2022) Katika Nyaraka za Sykes

    MALKIA ELIZABETH (1926 - 2022) KATIKA NYARAKA ZA SYKES 1953 Katika nyaraka za Sykes kuna nakala ya barua ya tarehe 2 June, 1953 kutoka TAA kwenda kwa Malkia Elizabeth iliyotiwa saini na viongozi wote wa TAA 1953: Rais: Julius Nyerere Makamu wa Rais: Abdulwahid Sykes Katibu Mkuu: Dome Okochi...
  19. Mohamed Said

    RafikiNdugu: Abdallah Tambaza na Kleist Sykes

    ABDALLAH TAMBAZA NA KLEIST SYKES Nafungua gazeti la Raia Mwema nimekuta katika ukurasa maarufu wa Shajara ya Mwana Mzizima makala haya, "Huyu Ndiye Kleist Sykes Meya Aliyebuni Mradi wa Mwendokasi." Abdallah na Kleist ni marafiki toka udogo wao walipoanza kusoma Al Jamiatul Islamiyya School Mtaa...
  20. Mohamed Said

    Picha Kutoka Maktaba ya Ally Sykes: Vijana wa Nyakati Moshi 1955

    Katika picha hiyo hapo chini aliye hai kadri ya ufahamu wangu ni Mrs. Frank Humplink. Katika watu hawa saba mimi nimebahatika kukutana na wanne: Mrs. Humplink nimekuwa nikienda nyumbani kwake Lushoto wakati wa uhai wa mumewe, Frank Humplink, Peter Colmore nimezungumza na yeye nyumbani kwake...
Back
Top Bottom