sykes

Oliver Scott "Oli" Sykes (born 20 November 1986) is an English-Brazilian singer and songwriter, best known as the lead vocalist of the rock band Bring Me the Horizon. He also founded the apparel company Drop Dead Clothing, and created a graphic novel.

View More On Wikipedia.org
  1. Mohamed Said

    Picha Adimu za TANU Kutoka Maktaba ya Marehemu Ally Sykes

    Picha hiyo hapo chini inatoka kwenye Maktaba ya marehemu Ally Sykes. Mimi picha hii nilikuwanayo lakini ilikuwa nakala iliyochoka kupita kiasi na ni hiyo iliyo hapo chini. Kulia ni Haruna Iddi Taratibu (Central Province), Saadan Abdu Kandoro (Lake Province), Julius Nyerere (Eastern Province)...
  2. Mohamed Said

    A Page From: ''Under The Shadow of British Colonialism in Tanganyika'' by Ally Sykes and Mohamed Said

    Leo nimepokea picha kutoka Maktaba ya Picha ya Ally Sykes. Nimeona niiweke picha hiyo hapa pamoja na ukurasa mmoja kutoka mswada ambao mimi na marehemu mzee wangu tuliukamilisha wakati akiwa hai. A PAGE FROM: ''UNDER THE SHADOW OF BRITISH COLONIALISM'' ALLY SYKES AND MOHAMED SAID Kwame Nkrumah...
  3. Nyuki Mdogo

    Babu zake na mwanamuziki Prince Dully sykes

    Picha hapo chini: kutoka kulia ni abdhullwahid Sykes na mdogo wake ally Kleist Sykes, wamevaa gwanda za kijeshi za king's African rifles, waliposhiki vita vya pili vya Dunia. Na hawa ndio waanzilishi wa TANU
  4. Mohamed Said

    TANU na Sanduku la fedha la Abdul Sykes

    TANU NA SANDUKU LA FEDHA LA ABDUL SYKES 1950s Katika moja ya mijadala ya historia ya TANU na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika niliwaahidi wasomaji wangu kuwapa historia ya sanduku la fedha la Abdul Sykes. Nikasahau kwa muda. Leo msomaji wangu mmoja kaniandikia kunikumbusha nitimize ahadi...
  5. M

    BASATA huu Wimbo mpya wa Dully Sykes uitwao 'Bigi' mmeubariki kwa Mikono miwili kabisa?

    Napenda sana Mashairi yake yasemayo... Bigi yangu Nene Bigi yangu Pana Bigi yangu Kubwa Bigi yangu Tamu Naona hata Watoto nao wameupenda.
  6. Mohamed Said

    Miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika1961: Rashid Mfaume Kawawa, Kenneth David Kaunda, Julius Kambarage Nyerere katika nyaraka za Sykes

    MIAKA 60 YA UHURU WA TANGANYIKA1961: RASHID MFAUME KAWAWA, KENNETH DAVID KAUNDA NA JULIUS KAMBARAGE NYERERE NDANI YA NYARAKA ZA SYKES Nimekutana na picha hiyo hapo chini kushoto Rashid Mfaume Kawawa, Kenneth David Kaunda na Julius Kambarage Nyerere. Hii picha bila shaka ni ya miaka ya mwishoni...
  7. Mohamed Said

    Kisa cha al Noor Kassum na Ally Sykes 1957

    KISA CHA AL NOOR KASSUM NA ALLY SYKES 1957 Leo asubuhi tarehe 19 November, 2021 nimeona taarifa ya kifo cha Al Noor Kassum. Al Noor Kassum ametumikia Tanzania katika nyadhifa nyingi tofauti. Nimekutana na Al Noor Kassum wakati naandika maisha ya Ally Sykes, '''Under The Shadow of British...
  8. Mohamed Said

    Zumari: Maziko ya Abdul Sykes 13 oktoba 1968

    Naeleza mazishi yalivyokuwa kuanzia dakika ya 7. Labda unaweza kujifunza kitu kitokana na historia hii ambayo kwa hakika ni historia ya watu wa Dar-es-Salaam na utamaduni wao na vipi historia hii ni sehemu muhimu sana katika historia kubwa ya Tanganyika.
  9. Mohamed Said

    Mkutano wa siri kati ya Abdul Sykes na Jomo Kenyatta, Nairobi, 1950

    TUJIKUMBUSHE ILI TUJUE NA TUSISAHAU KUTOKA MAKTABA: MKUTANO WA SIRI KATI YA ABDUL SYKES NA JOMO KENYATTA NAIROBI 1950 Siku moja katika mazungumzo na Ahmed Rashad Ali akanambia kuwa mwaka wa 1950 yeye akiwa Nairobi wakati wa mashindano ya Gossage Cup Abdul Sykes alifika Nairobi na akawa anakaa...
  10. Mohamed Said

    Masoud Kipanya anamuuliza Mohamed Said: Abdul Sykes ni nani? Tazama sehemu ya kwanza mpaka ya nne

  11. Mohamed Said

    Mohamad Mlamali Adam alivyomweleza Abdulwahid Sykes mwaka 1988

    Siku moja nimepita ofisini kwa Bwana Ally Sykes na katika mazungumzo yetu akaniambia kuwa alikuwa siku ya pili anasafiri anakwenda London. Palepale ikanijia fikra nimpe Bwana Ally makala yangu ambayo nilikuwa nimeandika kuhusu historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika aifikishe jarida la Afrika...
  12. Mohamed Said

    Paula Park na Makala ya Ally Sykes

    PAULA PARK ALIPONZWA NA ALLY SYKES 1986 Hayo hapo chini kwa hakika ni ya kale na yanatufunza matatizo yaliyokuwapo katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika. Ally Sykes ameacha kumbukumbu nyingi katika historia ya kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika. Hebu tutembee katika Mtaa wa...
  13. Mohamed Said

    Balozi Abbas Sykes asomewa Khitma Zanzibar

    BALOZI ABBAS SYKES ASOMEWA KHITMA ZANZIBAR Ndugu, jamaa na marafiki wa Balozi Abbas Sykes jana walimsomea khitma Msikiti wa Makuti Kisiwandui. Wanasiasa wanapenda sana pale wapouzungumza Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kusema kuwa muungano baina ya watu wa nchi hizi mbili ulikuwako kwa...
  14. Mohamed Said

    Majlis ya Balozi Abbas Sykes

    KUTOKA MAJILIS YA ABBAS SYKES Kwa kipindi cha zaidi ya miaka thelathini si CCM wala si rafiki yake mpenzi Julius Nyerere alikuwa anafahamu Dossa anaishi vipi na ana hali gani. Rafiki zake wachache waliokuwa wakimtembelea nyumbani kwake pale Mlandizi walihuzunishwa na hali yake. Dossa ‘’The...
  15. Mohamed Said

    TANZIA Buriani Abbas Kleist Sykes

    BURIANI BABA, RAFIKI NA MZUNGUMZAJI WANGU BALOZI ABBAS KLEIST SYKES Mwezi October 1999 nilikuwa Dubai na nikikaa Carlton Hotel. Siku moja jioni simu yangu ikalia. Walikuwa BBC London Idhaa ya Kiswahili wanataka kunihoji kuhusu Mwalimu Julius Nyerere ambae wakati ule alikuwa amelazwa St...
Back
Top Bottom