taarabu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Vijana wa Namna hii huwezi wakuta Mara na viunga vyake. Wapo sana Tanga& Daslam wapenda Taarabu

    Kwa maana hii Dar mambo haya yamebarikiwa na wakazi wake maana hii sio kificho Tena. Bali mambo hadharani kama wanavyosema msondo ngoma. Lakini mkicheka na Nyani siku ya mavuno mtavuna mabua!
  2. Nimemtongoza mpangaji mwenzangu kanikataa halafu ananipigia taarabu

    Toka jana anapiga taarabu za vijembe na kujisifu wanavyopendana ka bwana kake na mimi nikaona isiwe kesi, nikadownload ngoma moja ya jamaa wa Kenya anaitwa alvindo nimbo inaitwa Taka Taka. Inasema... Unakataa kuwa demu yangu naenda kwa mrogi nakuroga unakufa... Na nakuja kwa mazishi yako...
  3. Muziki wa taarabu ulipotokea hadi kufika Afrika ya Mashariki

    Mwaka 1850 wakazi waliokuwa wakiishi katika pwani ya afrika mashariki kuanzia mto juba nchini Somalia mpaka msumbiji, walikuwa wakiimba mashairi yao yenye kusifu viongozi wao na familia zao. Tukimaanisha kuwa thamani ya muziki au kazi za mziki wenye radha ya pwani ulikuwepo hata kabla ya mwaka...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…