taarifa binafsi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi: Ukitumia taarifa bInafsi za mtu bila idhini yake Faini Tsh. Milioni 100

    Dkt. Noe Nnko Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imezitaka taasisi na mashirika kuwa makini katika matumizi ya taarifa za watu, kwani mtu yeyote ambaye taarifa zake zitatumika bila idhini anaweza kudai fidia ya hadi Sh. milioni 100, kwa mujibu wa sheria. Akizungumza Machi 1, 2025...
  2. JanguKamaJangu

    Ma-MC wanaosambaza picha za Watu bila ridhaa waonywa

    TUME ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), imesema washereheshaji wanaosambaza picha za washiriki wa sherehe mbalimbali wanapaswa kuwa makini kwa kuwa wanavunja sheria kwa kuwa hawajapata idhini ya mtu kusambaza picha zake akiwa anacheza au jambo lolote. Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa...
  3. W

    Umewahi kukutana na Madhara gani baada ya kumsajilia mtu laini ya simu?

    Kwa mujibu wa Kifungu cha 21 (1) cha Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta Kuhusu Usajili wa Laini Za Simu mwaka 2025 ni kosa mtu kutumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa kitambulisho cha mtu mwingine au kuruhusu laini ya simu iliyosajiliwa kwa kitambulisho chake itumiwe na mtu mwingine...
  4. W

    Je, unazifahamu haki zako kama mhusika wa taarifa binafsi?

    Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi inatoa haki mbalimbali kwa mhusika wa taarifa binafsi ili kuhakikisha faragha na ulinzi wa taarifa zake. Haki hizi ni pamoja na: Kufahamishwa kuhusu ukusanyaji na madhumuni ya ukusanyaji wa taarifa hizo. Kukataa kutoa taarifa binafsi ikiwa mkusanyaji...
  5. Teknolojia ni Yetu sote

    𝗞𝘂𝗻𝗮 𝗯𝗮𝗮𝗱𝗵𝗶 𝘆𝗮 𝗺𝗮𝗸𝗮𝗺𝗽𝘂𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝘆𝗮𝗻𝗮𝘃𝘂𝗷𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗦𝗶𝗿𝗶 𝘇𝗮 𝘄𝗮𝘁𝗲𝗷𝗮 𝘄𝗮𝗼

    𝗞𝘂𝗻𝗮 𝗯𝗮𝗮𝗱𝗵𝗶 𝘆𝗮 𝗺𝗮𝗸𝗮𝗺𝗽𝘂𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝘆𝗮𝗻𝗮𝘃𝘂𝗷𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗦𝗶𝗿𝗶 𝘇𝗮 𝘄𝗮𝘁𝗲𝗷𝗮 𝘄𝗮𝗼 Nazani kwenye simu yako kwa siku unaweza kupokea ujumbe mbalimbali za matangazo haswa matangazo ya kubashiri au kubahatisha (bahati nasibu) zikiwa zinakushawishi kucheza mchezo fulani ili ufanikiwe ni ujumbe ambao unakuja kwa...
  6. A

    KERO Chuo cha SAUT Mwanza kimeweka wazi taarifa nyeti za wanafunzi ambao hawajasajiliwa kwa mwaka mpya wa masomo

    Chuo kikuu cha SAUT Mwanza kimeweka hadharani taarifa za wanafunzi ambao hawajasajiliwa kwa mwaka mpya wa masomo Taarifa hizo zinajumuisha Majina kamili, namba za simu , emails, tarehe mwezi na mwaka wa kuzaliwa pamoja na namba za mitihani za kidato cha nne Hayo yote yamechapishwa katika mfumo...
  7. w0rM

    DOKEZO Taarifa tunazoandika kwenye Madaftari ya Lodge, Hotel au Ofisi zinatumiwa na kutunzwa vipi?

    Katika miaka ya hivi karibuni, Ulinzi wa Taarifa Binafsi ni muhimu sana maana taarifa za mtu zinaweza kutumika vibaya muda wowote bila ya muhusika kujua. Leo nimewaza sana zile Hotel, Lodge, au Guest ambazo tunaenda na kuambiwa tuandike taarifa zetu kwenye daftari Mapokezi. Hivi zile taarifa...
  8. AmKATRINA

    Wana JF narudia tena, haribu kabisa tiketi au karatasi yenye taarifa zako kamili

    Jamani, Jamani Wapendwa wa humu narudia tena, Chana au haribu kabisa tiketi au karatasi yoyote yenye taarifa zako sahihi kwa usalama wako. Niko hapa Police Kimara, rafiki yangu wa kiume amekamatwa na kuwekwa ndani baada ya tiketi yake ya ki-electronic ya basi moja kutoka Arusha kuja Dar...
  9. Harvey Specter

    Hawa wanaojiita mawakala wa TRA wanauza electronic EFD Machines wanatoa wapi namba zetu?

    Kumekua na tabia za kupigiwa simu na watu wanaojiita mawakala wa TRA wakitangaza biashara zao za kuuza electronic efd machines kwamba unaweza kutoa efd receipt kupitia simu ya mkononi. Natambua kwamba hilo linawezekana lakini, swali langu ni kwamba wanatoa wapi hizi namba zetu? na...
  10. J

    Airtel Tanzania acheni kuruhusu mtu abadili PIN bila kigezo chochote

    Ndugu wanabodi. Mimi binafsi ni mtumiaji mzuri wa mtandao wa Airtel. Lakini pia ni freelancer na agent wa mitandao yote ikiwemo na Airtel. Kitu kilichonistua mpaka kuandika hii thread. Ni baada ya wateja wangu kama wawili walikuja Kwa mda tofauti. Mmoja alikuja kifanya SIM SWAP, baada ya...
  11. Mkalukungone mwamba

    Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC ) yaongeza muda wa usajili kwa Taasisi hadi 30 Aprili, 2025

    Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imeongeza muda wa mwisho wa usajili kwa taasisi zote za umma na binafsi ambazo hazijajisajili kabisa na ambazo hazijakamilisha hadi kufikia tarehe 30 Aprili, 2025 baada ya muda wa usajili wa hiari kumalizika tarehe 31 Desemba, 2024 kama ilivyoelekezwa na...
  12. Roving Journalist

    Uganda: JamiiForums Yashiriki Kongamano la Afrika Kuhusiana na Ulinzi wa Taarifa Binafsi, Desemba 4, 2024

    https://www.youtube.com/live/JA35HedbKJA JamiiForums na ADRH (Africa Digital Rights Hub) wanaendesha Kongamano la Afrika kuhusiana na Ulinzi wa Taarifa Binafsi jijini Kampala, Uganda ambapo Mwaka huu wa 2024 Kongamano hilo linaangazia Ulinzi wa Taarifa Binafsi kama nyenzo muhimu katika ukuaji...
  13. J

    JamiiForums yashirikiana na DPDC kuendesha Mafunzo ya Uelewa wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa Mahakimu Wakazi wa Mikoa 29

    Taasisi ya JamiiForums kwa kushirikiana na Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) iliendesha Mafunzo ya Uelewa wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa Mhimili wa Mahakama ili kurahisisha mazingira ya Utekelezwaji wake katika Mashauri mbalimbali yanayofika Mahakamani. Mafunzo hayo...
  14. M

    Mamlaka zidhibiti taarifa za watu kutumika kama vifungashio

    Mara kwa mara, ninapofanya manunuzi madukani au kwa mama ntilie, nimekuwa nikishuhudia jambo linalonitatiza: bidhaa kufungiwa kwenye makaratasi yaliyoandikwa taarifa nyeti kama vile mitihani ya wanafunzi wa kidato cha nne, kidato cha pili, na darasa la saba. Maandishi hayo yakiwa na majina...
  15. Crocodiletooth

    Application za kukopesha za simu, kuhack majina ya simu za mteja bila ruhusa tofauti zile ambazo umewapa kama wadhamini

    Udharura wakati mwingine hutupata sisi binadamu hata wakati mwingine uwe na mali za wingi wa kiasi gani lakini Udharura ipo siku utakupigia hodi. -My question is that, wakati unapoazima fedha kwenye kampuni hizi, hukuomba namba yako ya simu, na namba mbili, za watu ambao huwa kama wadhamini...
  16. A

    KERO Benki ziache kutoa taarifa za wateja kwa mtu asiyehusika

    Mtu mmoja ananidai pesa; nimekuwa nikimlipa kidogo kidogo na karibu namaliza deni. Ajabu jana kanipigia simu kuwa amefuatilia katika akaunti yangu na kuona nimetoa fedha bila kumlipa. Taarifa hii kaipewaje hapo Bank ilihali akaunti siyo yake? Je, benki mnatoa taarifa za wateja wenu kwa mtu...
  17. Kingsmann

    Wateja wa CRDB wakumbwa na ulaghai wa mtandaoni ili kupata taarifa binafsi za kibenki

    Wateja wa Benki ya CRDB ambayo ndiyo mkopeshaji mkubwa wa Tanzania kwa mali na amana, wamepokea barua pepe za udanganyifu kutoka kwa matapeli wanaojifanya ni benki hiyo. Katika shambulio hilo la hadaa, wateja wa Benki ya CRDB walipokea barua pepe zilizowataka kubofya kiungo (link) kinachotiliwa...
  18. J

    tiGO wajitenga na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Lissu. Wasema mmiliki wa sasa ni mwingine si yule wa nyakati za shambulio!

    Kampuni ya TIGO imesema haihusiki na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Antipas Lisu HONORA imesema kampuni mama ya Tigo haikuwa mmiliki Wakati Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu anashambuliwa ---- Dar es Salaam. Kampuni ya Honora Tanzania Public Limited Company ("TIGO")...
  19. Nehemia Kilave

    Ijue Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, sheria no. 11 ya mwaka 2022

    Hii ni sheria ya 2022 , lakini ni vyema kujifunza yafuatayo tunavyoelekea kwenye kesi ya Tundu Lissu vs Tigo kama mkusanyaji na mchakataji wa taarifa za Tundu lissu. 1. Kuna Tume ya ulinzi wa Taarifa binafsi 2. Mtu yeyote atakayebaini kuwa mkusanyaji au mchakataji amekiuka misingi ya ulinzi wa...
  20. Erythrocyte

    Mashehe na Maaskofu wanaohangaika kumuombea Dua Paul Makonda wanajisikiaje anapotajwa waziwazi kushiriki kushambulia watu?

    Kwenye Biblia Takatifu kuna andiko husomwa mara nyingi kwenye misiba na hasa wakati wa Mazishi, linaandikwa hivi' Msitake kuzijua habari za waliolala mauti, maana mkizijua Mtasononeka, Sina hakika kama nimepatia, kwa vile mimi si mjuzi sana wa mambo haya. Wajuzi wanasema andiko hili...
Back
Top Bottom