Mara kwa mara, ninapofanya manunuzi madukani au kwa mama ntilie, nimekuwa nikishuhudia jambo linalonitatiza: bidhaa kufungiwa kwenye makaratasi yaliyoandikwa taarifa nyeti kama vile mitihani ya wanafunzi wa kidato cha nne, kidato cha pili, na darasa la saba.
Maandishi hayo yakiwa na majina...