Wanabodi, Salaam!
Paul Christian Makonda anaposimama kutoa maelekezo tusimhujumu au kumchukulia tofauti.
Msimamo anaoutoa siyo wa kwake - ni msimamo wa taasisi yake iliyompendekeza na kumteua "CCM". So wkt wa kampeni za uchaguzi za mwaka 2015 na 2020 wapinzani wakiwa Kagera, Dar, Arusha...