Sijasema wakubwa wasiende ila napenda watakaokuwa front ndio watangulie plus Mahitaji ya Waathirika badala ya kwenda kuleta taharuki nyingine.
Huko PM yupo
Mkuu wa Majeshi yupo
Mawaziri wapo
Na wengine wanaendelea kumikinika ,Sasa sijajua Kama Kasi ya wakubwa kumikinika inaendana na Kasi ya...
Katika pita pita zangu na tafakuri za hapa na pale kwenye kichwa changu.
Nikawaza kuwa itakuwaje endapo Utapata Taarifa kuwa wazazi ulionao/Waliokulea Sio wazazi wako halisi Huenda umekuwa ukijua kuwa ni wazazi wako kwa Takribani miaka 50s, 40s ,30s au hata 20s ya kuishi duniani..
Je...
Mobutu Seseko wa Zaire alikufa kifo chenye fedheha na kisichofaa hata kidogo maana pamoja na kushirikiana ma wezi wa rasilimali za Wazaire sasa Drc alifia ugenini na bila heshima yoyote. Hii ni kwa sababu alishindwa kuwa mzalendo kulinda rasilimali za taifa lake liwanufaishe raia wa taifa hilo...
Mfano, wewe mwanaume una hela, Unasukuma gari nzuri kiasi, laki mbili tatu za bata kila wiki hazikupigi chenga, una kazi nzuri na biashara, una nyumba nje ya mji, kibongobongo watu tunaassume umetoboa..
Unakutana na binti maisha yamemchapa, kwasababu unampenda, unamtakatisha kwa kumpa vihuduma...
Nimepata tabu kiasi kupata maana halisi ya neno"mapenzi" nikaishia na neno mahaba.
Tabu niliyoipata ni katika kuchaguwa namna ya kuiweka sentensi ili ifahamike, kila nilipojaribu neno, nikaona halijakaa sawa, nimejaribu maneno penzi, mapenzi, pendo, upendo nakupenda, sikupendi na kadhalika...
Nazungumza na wale wenye miaka 35+
Jaribu leo utoke peke yako, na uende kwenye mazingira tulivu, kama yanaruhusu kupata kinywaji au kula matunda yoyote fanya hivyo.
Jitafakari ulipotoka, mpaka hapo ulipo sasa.
Jiulize haya maswali; leo hii nikifungwa gerezani ni nani atakuwa karibu na mimi...
Kwanini wanafunzi wanaotuma maombi kujiunga na vyuo vikuu ambao hawajafaham vizuri kozi zinazotolewa na vyuo husika, wanatakiwa kulipa kwanza hela kabla yakuchagua kozi!!!
Kitu ambacho kinawalazim wachague kozi wasizozipenda kwakuwa pesa hairudi.
Usipolipa huwezi kuona hatua inayofuata...
Nawasalimia kwa Jina la Jamhuri ya Nchi yetu.
Wote tunatambua kuwa wanawake ni watu makini sana na waoga linapokuja jambo lisilo la maslahi kwa Nchi.
Hivi Karibuni mkataba wa Tz Bara na Dubai ulishughulikiwa na mihimili 2 inayoongozwa na wamama ikiwa ni Serikali (Mama SSH) na Bunge ( Tulia)...
Hili la adui ujinga nimeliandika mara nyingi hapa JF kwenye posts tofauti.
Kwa miaka mingi sasa huwa nauliza na kujiuliza "hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?" Kuuliza kwangu siyo kwa kukisia au kwa kebehi au kejeli, ni swali la ukweli kabisa.
Kilichonisukuma kuandika haya, ni yote...
JE NI MKATABA WA BANDARI AU MAKUBALIANO YA BANDARI? JE NI MKATABA AU MAKUBALIANO YA TANGANYIKA NA ZANZIBAR?
Leo 13:15hrs 29/06/2023
Rais Museveni alipokuja Chato aliwahi kusema Watanzania tuna uhaba wa maneno ya kiswahili,Ukweli ni kwamba neno "mkataba" kwa kiswahili lina maana pana sana...
Kiwango alichokionesha Chama, kiungo Punda pamoja na beki za pembeni za Simba zinanipelekea nihisi kuwa kuna umafia mkubwa sana umefanyika kuelekea katika hii mechi ya nusu fainali ya kombe la shirikisho la Azam.
Kuna kila dalili ya wachezaji tajwa kuonesha kuwa wamecheza chini ya viwango vyao...
Ujana una mengi na siwezi danganya mengi nimefanya.
Sifa zangu
Urefu Futi 5.9
Elimu: degree moja
Kazi Mwalimu wa secondary (Government)
Kabila Haya
Sifa za Mwanamke
Awe Bikra
Elimu sio lazima Cha muhimu kusoma na kuandika Kiswahili
Dini Muslim
Sifa kuu awe bikra
na smart kichwani That all...
Hotuba ya kwanza ya Lissu ilikuwa jana. Basi kama ilivyo kwa makombora tulitegemea majibu thabiti kutokea ule upande mwingine.
"Kinyume chake kumepiga kimyaaaa!"
Kwa kimya kingi hiki ni wazi kuwa:
1. Mama hana uungwaji wowote mkono kwenye huku alikotufikisha na hali hii ya maisha, ikiwamo bei...
Kabla sijalala usiku huu nimeingiwa na tafakari nzito.
Leo tayari ni 31st Dec 2022, siku ya mwisho wa mwaka 2022.
Namshukuru Mungu kwa kunipa ingalau kuiona hii siku.
Rafiki yangu, tena wa cheo cha juu, alifariki SIKU YA KRISMASI! Na tumempumzisha jana.
Mimi nimempa nini Mungu?
Ni rehema...
Siku moja mbwa wa uswazi akiwa kakonda na manyoya yamenyonyoka kwa kukosa matunzo, alianza kukatiza mitaa akitafuta msosi.
Mbwa huyo alizunguka sana ghafla akajikuta ushuani. Akamuona mbwa wa ushuani akiwa kanona kweli kweli. Shingo shongo na manyoya yake yana afya nzuri na masafi haswa lkn...
Edward Snowden, mtaalamu wa Kompyuta na wakala wa zamani wa shirika la usalama wa taifa Marekani, NSA. Alipamba vichwa vya habari ulimwenguni baada ya kufichua udukuzi mkubwa unaofanywa na NSA duniani kote..huku akitajwa kuwa ni shujaa, msaliti, mzalendo na muasi. Aliamua kuweka ukweli...
Poleni kwa tozo,
Mwenye akili timamu kabisa hawezi fikiri KUWA Mama kaanzisha Tozo kupitia waziri wa fedha Ili kuwaudhi watanzania Ili waje wamchague tena MWAKA 2025.
Pia kwamba Mwigulu nchemba kaanzisha Tozo Ili wananchi wamchukie Halafu ategemee eti MWAKA 2025 achukue fomu ya urais Ili...
Mara nyingi nimekuwa nikitafakari, ni namna gani nimefika hapa nilipo. Siku zote naona ni kama kitendawili kwa maana ni mambo mengi yanahusika hadi mtu kufikia hatua yoyote katika maisha yake, iwe ni kupata kazi, kupata mtoto wa kwanza, kumzawadia mtu wake wa thamani ili apate furaha ndani yake...
Kumekuwa na mfululizo wa threads za kumpondea Makamba kila uchao!
Akijikwaa basi inafunguliwa thread hasi dhidi yake;
Akikohoa basi inafunguliwa thread hasi dhidi yake;
Akisalimia basi inafunguliwa thread hasi dhidi yake;
Akisalimia hali hiyohiyo;
Akitoa zawadi, kama wanavyofanya wengine...
Following the footseps of the one and only one speaker bora kabisa kuwahi kutokea nchini Tanzania na kusini mwa Jangwa la Sahara Job Ndugai aliacha legacy iliyotukuka sana kwa bunge la nchi hii.
Mojawapo ya legacy yake ni kuwaapisha wabunge wasio na chama katika kigereji cha bunge na aliwaahidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.