Tafuta hela iwe mlizi wako usitafute hela kwa kupata wanawake wazuri. Ukiwa na hela ina kupatia heshima kwenye familia na jamii. Ukiwa na hela ukiumwa inakuwa rahisi kwako kupata matibabu mazuri. Tafuta hela ikupe mke mwema sio mke mzuri, unaweza kuwa na mke mzuri wa sura na umbo lakini akawa...
Salaam, twende kwenye mada,
Ukiwa kama mwanaume hutakiwi kufanya haya;
1. Kutokuwa na pesa wala kazi yoyote ya kukuingizia kipato.
2. Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja wakati huna kipato kikubwa.
3. Kumpondea mwanaume mwenzako kwa mwanamke.
4. Kutokuwa na manzi/kutofanya mapenzi.
5. Kutovaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.