taiwan

Taiwan, officially the Republic of China (ROC), is a country in East Asia. It shares maritime borders with the People's Republic of China (PRC) to the northwest, Japan to the northeast, and the Philippines to the south. The main island of Taiwan has an area of 35,808 square kilometres (13,826 sq mi), with mountain ranges dominating the eastern two-thirds and plains in the western third, where its highly urbanised population is concentrated. The capital is Taipei, which, along with New Taipei and Keelung, forms the largest metropolitan area of Taiwan. Other major cities include Kaohsiung, Taichung, Tainan and Taoyuan. With 23.45 million inhabitants, Taiwan is among the most densely populated countries in the world.
Austronesian-speaking ancestors of Taiwanese indigenous peoples settled the island around 6,000 years ago. In the 17th century, large-scale Han Chinese immigration to western Taiwan began under a Dutch colony and continued under the Kingdom of Tungning. The island was annexed in 1683 by the Qing dynasty of China, and ceded to the Empire of Japan in 1895. The Republic of China, which had overthrown the Qing in 1911, took control of Taiwan on behalf of the World War II Allies following the surrender of Japan in 1945. The resumption of the Chinese Civil War resulted in the ROC's loss of mainland China to forces of the Chinese Communist Party (CCP) and retreat to Taiwan in 1949. Its effective jurisdiction has since been limited to Taiwan and numerous smaller islands.
In the early 1960s, Taiwan entered a period of rapid economic growth and industrialisation called the "Taiwan Miracle". In the late 1980s and early 1990s, the ROC transitioned from a one-party military dictatorship to a multi-party democracy with a semi-presidential system. Taiwan's export-oriented industrial economy is the 21st-largest in the world by nominal GDP, and 20th-largest by PPP measures, with major contributions from steel, machinery, electronics and chemicals manufacturing. Taiwan is a developed country, ranking 15th in GDP per capita. It is ranked highly in terms of political and civil liberties, education, health care and human development.The political status of Taiwan is contentious. The ROC no longer represents China as a member of the United Nations, after UN members voted in 1971 to recognize the PRC instead. Meanwhile, the ROC continued to claim to be the legitimate representative of China and its territory, although this has been downplayed since its democratization in the 1990s. Taiwan is claimed by the PRC, which refuses diplomatic relations with countries that recognise the ROC. Taiwan maintains official diplomatic relations with 14 out of 193 UN member states and the Holy See, though many others maintain unofficial diplomatic ties with Taiwan through representative offices and institutions that function as de facto embassies and consulates. International organisations in which the PRC participates either refuse to grant membership to Taiwan or allow it to participate only on a non-state basis under various names. Domestically, the major political contention is between parties favouring eventual Chinese unification and promoting a pan-Chinese identity contrasted with those aspiring to formal international recognition and promoting a Taiwanese identity, although both sides have moderated their positions to broaden their appeal.

View More On Wikipedia.org
  1. Raphael Thedomiri

    China yatuma ndege 71, meli 7 za kivita kuelekea Taiwan

    Wizara ya Ulinzi ya Taiwan imesema jeshi la China limetuma ndege 71 za kivita na meli saba katika kile ilichokiita "maonesho ya saa 24 ya uchokozi" dhidi ya kisiwa hicho. Taiwan imesema ilifuatilia hatua za China kupitia mifumo ya makombora ya ardhini na kwenye vyombo vyake vya majini...
  2. Shujaa Mwendazake

    Taiwan yarusha ndegevita baada ya kugundua vikosi vya China vilivyo karibu

    Ulinzi wa Taipei umeanzishwa kujibu shughuli za hivi karibuni za kijeshi za Beijing karibu na kisiwa kinachojitawala. Vikosi vya jeshi la Taiwan vimechukua hatua ya kuonya ndege za China na vyombo vya majini vilivyogunduliwa karibu na kisiwa hicho kinachojitawala, hii ikiwa ni pamoja na ndege...
  3. Shujaa Mwendazake

    Putin: Ziara ya “KIBIBI” Pelosi huko Taiwan ni upuuzi mtupu

    Kuwa na Spika wa Bunge la Marekani Nancy Pelosi kuzuru Taiwan ilikuwa uchochezi unaolenga China, ambayo kisiwa hicho ni mali yake, Rais wa Urusi Vladimir Putin alisema Alhamisi katika mkutano wa Klabu ya Majadiliano ya Valdai huko Moscow. "Taiwan ni sehemu ya Jamhuri ya Watu wa Uchina, na ziara...
  4. I

    Gharama za Himars 'zapaa' na Taiwan kuongeza malipo ya dola milioni 400 ili kupata ingizo la kwanza la silaha hizo hatari

    Mifumo hiyo itaanza kuwasili mwaka 2024 kwa mujibu wa gazeti la Liberty Times la Taiwan. Taiwan inahitaji kuagiza jumla ya mifumo 29 ya Himars kutoka nchini Marekani. Makubaliano ya awali kati ya Taiwan na Marekani yalisema kwamba uagizwaji wa kwanza ungegharimu jumla ya dola milioni 300.9 kwa...
  5. Webabu

    Teknolojia imempa Ellon Musk ukuu wa dunia. Atoa amri kwa Ukraine na Taiwan

    Umiliki wa teknolojia za mawasiliano ni jambo muhimu katika kuitawala dunia. Hiyo imeonekana kwa tajiri mkubwa wa dunia Ellon Musk anayemiliki satelite ya Starlink. Wakati vita kati ya Ukraine na Urusi vikianza jeshi la Urusi liliwahi kuibomoa minara ya mawasiliano ya makampuni ya simu ili...
  6. JanguKamaJangu

    Rais Biden: Marekani itailinda Taiwan ikivamiwa na China

    Rais wa Marekani, Joe Biden amesisitiza kuwa taifa lake litailinda Taiwan dhidi ya mashambulizi yoyote yatakayofanywa na China. Hiyo ni mara ya tatu Rais Biden kutoa kauli inayoendana na kuilinda Taiwan ambapo mwanzoni mwa Septemba 2022 Marekani ilipitisha mpango wa kuiuzia Taiwan silaha za...
  7. Messenger RNA

    Biden asema Marekani itailinda Taiwan iwapo China itashambulia

    Rais wa Marekani Joe Biden amesema kwa mara nyengine kwamba Marekani itailinda Taiwan endapo kutatokea "shambulio ambalo halijawahi kushuhudiwa" na China. Akizungumza katika mahojiano ya chombo cha Habari cha CBS, Bw Biden alijibu "Ndiyo" alipoulizwa ikiwa hiyo inamaanisha majeshi ya Marekani...
  8. Suzy Elias

    Tetesi: Inahisiwa China imemtengenezea tetemeko Taiwan hali mbaya

    Unaambiwa muda huu hakukariki huko Taiwan na hali ya hatari ilishatangazwa tayari. Inasemekana China kaunda Tetemeko la Sunami kuiangamiza Taiwan! Inasemekana lakini.
  9. JanguKamaJangu

    Marekani kuiuzia Taiwan silaha za Dola Bilioni 1.1

    Marekani imeidhinisha uwezekano wa kuiuzia silaha Taiwan zenye thamani ya Dola Bilioni 1.1, hatua ambayo inaweza kuzidisha mvutano ambao tayari upo kati ya Marekani na China. Mauzo hayo yatajumuisha makombora 60 ya kukinga meli, makombora 100 ya angani na msaada wa vifaa vya ufuatiliaji wa...
  10. Axel Lloyd

    Taiwan kupata Makombora mapya ya kuzamisha Meli kutoka Marekani

    Utawala wa Biden umeomba idhini Bunge la Congress kuruhusu kuiuzia Taiwan Makombora ya kuzamisha Meli, Makombora ya kulipua ndege pamoja na Rada za kisasa za uchunguzi kwenye dili la thamani ya Dola bilioni moja. United States President Joe Biden plans to ask Congress to approve an estimated...
  11. Poker

    Mbabe wa dunia yote US atuma meli za kivita 2 huko Taiwan. Ole wake mtu akohoe cha moto atakiona

    Mbabe wa dunia yote nchi kubwa inayoogopeka na kila nchi duniani imetu.a meli 2 za kivita huko Taiwan. Na katika ujumbe wao wameonya ole wao China ijaribu kurusha kombora wataita maji mma! Na wamesema watazidi kuleta vifaa zaidi ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuipoteza china kwenye uso wa...
  12. Lady Whistledown

    China yawawekea vikwazo Maafisa 7 wa Taiwan

    China imewawekea vikwazo maafisa hao ikiwemo marufuku ya kuingia China na maeneo ya Hong Kong na Macau, na kuzuiwa kufanya kazi na maafisa wa China, kwa madai ya kuunga mkono uhuru wa kisiwa hicho kinachojitawala. Maafisa saba wanaolengwa na vikwazo hivyo ni pamoja na Bi-khim Hsiao, mwakilishi...
  13. JanguKamaJangu

    Jeshi la China lafanya mazoezi zaidi karibu na Taiwan

    Jeshi la China lilisema lilifanya mazoezi zaidi karibu na Taiwan siku ya Jumatatu wakati kundi la wabunge wa Marekani lilipotembelea kisiwa hicho kinachodaiwa ni himaya ya China na kukutana na Rais Tsai Ing-wen, katika kile Beijing ilisema ni ukiukaji wa uhuru wake. Wabunge hao watano wa...
  14. Mathanzua

    Yanayotokea katika mgogoro wa Taiwan, China na Marekani. Chanzo na hatima ya mgogoro

    Kwa mara nyingine tena Marekani imetuma wajumbe wa Baraza la Congress kwa ndege ya kijeshi hadi Taiwan tarehe 14 Agosti 2022. Kwa kitendo hiki,Marekani inafanya uchokozi wa wazi kwa China. Ujumbe huu mwingine wa Bunge la Congress ulikwenda Taiwan kwa kutumia ndege ya kijeshi, moja kwa...
  15. MK254

    Taiwan watunishia China misuli, meli zao za kivita zatazamana na za China

    Ni mwendo wa kutishiana misuli na mikwara, Mchina amepiga piga mabomu kwenye bahari, ila sasa amesogezewa meli za Taiwan ole wake aguse moja, leo ndio siku ya mwisho Mchina anageuza.... ================ TAIPEI (Reuters) -Chinese and Taiwanese warships played high-seas "cat and mouse" on Sunday...
  16. Willima

    China yaanza mazoezi ya kijeshi karibu na Taiwan

    China imeanza mazoezi makubwa ya kijeshi ya baharini na angani kuzunguka kisiwa kinachojitawala cha Taiwan, saa chache baada ya Spika wa Bunge la Marekani Nancy Pelosi kuondoka Taipei. Vyombo vya habari vya serikali viliripoti mazoezi ya kuzima moto katika maeneo sita karibu na Taiwan yalianza...
  17. L

    Ziara ya Pelosi katika sehemu ya Taiwan yaleta hasara kwa pande zote

    Spika wa Baraza la Wawakilishi la Bunge la Marekani Nancy Pelosi hivi karibuni alifanya ziara Taiwan, China, na kuongeza hali ya wasiwasi ya kikanda na ya kimataifa. Kitendo hiki cha kisiasa kinacholeta hasara kwa pande zote kimeonyesha kuwa, mfumo wa kisiasa wa Marekani ni kama mgonjwa. Kwanza...
  18. Lusungo

    Nancy Pelosi aondoka Taiwan

    Hatimaye mwanasiasa wa ngazi ya juu wa marekani ameondoka Taiwan mchana huu. Ziara ya Pelosi ilileta gumzo duniani kote na kufuatiliwa na mamilioni ya watu ulimwenguni kote. China imeachwa na kitendawili nini cha kufanya baada ya mwanasiasa huyo kutua salama salimini licha ya vitisho vyote vya...
  19. JanguKamaJangu

    Spika wa Bunge la Marekani awasili Taiwan kwa ndege ya Kijeshi, Urusi yadai ni uchochezi

    Licha ya vitisho kutoka kwa China, Spika wa Bunge la Marekani, Nancy Pelosi amewasili katika Kisiwa cha Taiwan. Amewasili kwa kutumia ndege ya Jeshi ambayo ilitokea Malaysia alipokuwa katika ziara kisha kutumia njia ndefu ili kuikwepa bahari ya Kusini ya China. Aidha, Urusi imeshutumu ziara...
  20. MK254

    China kuanza zoezi la kulipua mabomu baharini, huku Pelosi ametua Taiwan bila shida

    Baada ya mikwara kila siku kwamba Nancy Pelosi akithubutu kuingia Taiwan, basi China itafanya jambo la kweli, wameishia kuandaa maandalizi ya kufyatua makombora kwenye bahari, wanasubiriwa wafanye kweli maana kwenye Taiwan, Marekani ana mkataba kabisa wa kulinda, hivyo atahusika moja kwa moja...
Back
Top Bottom