The Bangladeshi taka (Bengali: টাকা, sign: ৳, code: BDT, short form: Tk) is the currency of the People's Republic of Bangladesh. In Unicode, it is encoded at U+09F3 ৳ .
Issuance of bank notes ৳10 and larger is controlled by Bangladesh Bank, while the ৳2 and ৳5 banknotes are the responsibility of the ministry of finance of the government of Bangladesh. The banknotes of Tk. 2 and Tk.5 have mostly been replaced by coins while lower denomination coins (including all poysha coins) upto Tk. 1 have almost gone out of circulation due to inflation. The most commonly used symbol for the taka is "৳" and "Tk", used on receipts while purchasing goods and services. It was formerly divided into 100 poysha, but poysha coins are no longer in circulation.
Kwema Wakuu. Nahitaji Mtu wa Kunisaidia Niunganishiwe Huduma Tajwa Hapo Juu (kwa Haraka).
NB:
1. Nyumba Ipo Hapa Arusha (Ya Wapangaji)
2. Mimi ni Muajiriwa Mahali na Sina Muda Wakwenda Kupanga Foleni AUWSA kufuata Procedure/s
Karibu PM tuyajenge/tumalizane
Incenerator ni Mtambo utumikao kuteketeza taka. Mitambo ya aina hii ni maarufu sana kutumika kwenye Mahospitali na Viwandani, ila pia ipo Mitambo mikubwa na midogo kwa ajili ya kutumika majumbani.
Ukizunguka kwenye Miji hii mikubwa kama Jiji la Dare Es Salaam, Arusha n.k lazima utakubaliana na...
Salaam Wakuu,
Kumekuwa na kampeni mbalimbali za kuhimiza ufanyaji usafi katika Jiji la Dar es Salaam. Viongozi hasa Wakuu wa Mikoa akiwamo Makalla na Mstaafu Makonda wamejaribu kuanzisha kampeni kwa kuwatumia watu maarufu na kushirikisha Media mbalimbali kuhimiza watu na kuweka siku maalum za...
Kwa hali ya kushangaza nilimtembea rafiki yangu maeneo ya Ubungo Kibangu, wakati tunapiga story tukasikia mtu anagonga mlango, rafiki yangu wa muda mrefu tangu tupo A-level akafungua mlango ili atambue nani anabisha, alipofungua alikuwa mama wa makamo akiwa anakusanya hela za kuzolea taka...
Uwepo wa miundombinu ya usafi wa mazingira kama vile vyoo unachochea afya kwa sababu vinaruhusu watu kutupa taka zao ipasavyo, kuzuia uchafuzi wa mazingira yao na kupunguza hatari kwao wenyewe na majirani zao. Duniani kote, watu wengi hawana huduma za vyoo, na hivyo kusababisha utupaji usiofaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.