talaka

Talaka (Belarusian: Талака) was a cultural and enlightenment youth organisation in Belarus during Soviet rule. It existed between 1985 and 1990 and was a predecessor and early part of the Perestroyka-inspired pro-independence movement in Soviet Belarus. Several key members of the Talaka later formed the Belarusian Popular Front.
Talaka was created in 1985 as an informal club for protection of historical architecture. Its creators were Siarzhuk Vitushka, Vintsuk Viachorka (later chairman of the Partyja BNF), Viktar Ivashkevich (later one of the leaders of the Belarusian Popular Front and the Partyja BNF) and several others.
The club organised celebration of traditional holidays, revived traditional ceremonies, participated in archaeologic research. It was active in Samizdat publishing. Towards end of the 1980s the group started to more actively participate in pro-democracy and pro-independence political activities.

View More On Wikipedia.org
  1. G

    Jinsi kanisa lilivyovunja ndoa ya binamu yangu na kumfuja mali za talaka, wanawake wanaoabudu manabii wa mchongo wamechotwa akili huwaambii kitu

    Ni kisa cha miaka 10 iliyopita lakini mhusika anapitia kipindi kigumu mpaka sasa Ilifikia kipindi anashinda sana kanisani mpaka anaacha watoto nyumbani, hapiki analipa kanisa kipaumbele, kuchukua pesa za savings kwajili ya zaka na sadaka za kitapeli, anaweza kesha kanisani, n.k. Mume wake...
  2. Mkalukungone mwamba

    Arusha: Mume avunja nyumba mtoto akiwa ndani, alimpa talaka mke

    Katika hali isiyo ya kawaida kutoka ya Wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha Mwanamke mmoja amelalamika kuvunjiwa nyumba aliyokuwa akiishi yeye pamoja na mtoto wake nyumba hiyo imevunjwa na aliyekuwa Mume wake, Baada ya kumpa talaka Mahakani. Mwanamke huyo anadai kwamba nyumba hiyo walijenga pamoja...
  3. W

    Jennifer Lopez kufungua shauri la kudai talaka ya Ndoa yake ya 4

    Mwigizaji na mwanamuziki wa Marekani, Jennifer Lopez na mumewe Ben Afflect wanatarajiwa kupeana talaka baada ya ndoa yao kudumu kwa miaka miwili baada ya Jeniifer kuwasilisha shauri la kudai talaka Agosti 20, 2024 Aidha katika hati hizo zilizofikishwa mahakamani zinaeleza kuwa ndoa ya wawili...
  4. Mung Chris

    Wanaume waoaji lazima tujifunze vinginevyo tutakufa mapema

    Mwanaume, ukitaka kuoa jitahidi kama una pagala au una nyumba hujaimalizia, malizia mwenyewe usimshirikishe huyo mkeo unaye muoa au unayetaka kumuoa, mali alizokukuta nazo zibaki za kwako binafsi au wanao kama unao wa nje ya ndoa, kwanini, ukimshirikisha akiwa na hela zake akaziweka kwenye...
  5. Yoda

    Nini madhara ya talaka katika jamii?

    Hivi talaka zina hasara au faida zaidi katika jamii?
  6. Abdul Said Naumanga

    Mafufu: sheria ya ndoa ibadilishwe katika vipengele vya ugawanaji wa mali baada ya talaka

    Hoja ya kubadilisha sheria ya ndoa, hasa kwenye vipengele vya ugawanyaji wa mali baada ya talaka, ni mjadala unaoweza kuibua hisia tofauti na mitazamo mingi. Katika jamii yetu, ndoa ni taasisi muhimu inayoheshimiwa na sheria zetu. Hata hivyo, pale ndoa inapovunjika, suala la ugawanyaji wa mali...
  7. PAZIA 3

    Elimu ya talaka, namna ya kudai talaka, vigezo na masharti ya kuandika talaka

    Habari za Leo wanajforum? Tafadhari, naomba tupeane elimu ya talaka hapa jamvini. Elimu ya talaka ni muhimu sana lakini bado haitolewi vya kutosha, tangu nisome elimu yangu, sikuwahi kukutana na mada ya kutalikiana kwa wanandoa, huenda ni elimu ya watu wazima tu. Lakini hatuna budi kujifunza...
  8. DIDAS TUMAINI

    Nchi ya Dominican ndio nchi pekee duniani inayomruhusu mtu kutoa talaka bila kumpa taarifa mwenzi wake

    Mwaka 1994, Mwamba wa kuitwa Gabriel alikutana na mrembo Christina katika party moja huko jijini New York, Marekani. Walipendana na wakaamua kuoana, ingawa Gabriel alimzidi umri christina kwa miaka 30. Hata hivyo waliishi kwenye ndoa yenye furaha na upendo wa kila aina. Miaka 20 baadae...
  9. Manyanza

    Takwimu za talaka nchi mbalimbali

    🇮🇳India: 1% 🇻🇳Vietnam: 7% 🇹🇯Tajikistan: 10% 🇮🇷Iran: 14% 🇲🇽Mexico: 17% 🇪🇬Egypt: 17% 🇿🇦South Africa: 17% 🇧🇷Brazil: 21% 🇹🇷Turkey: 25% 🇨🇴Colombia: 30% 🇵🇱Poland: 33% 🇯🇵Japan: 35% 🇩🇪Germany: 38% 🇬🇧United Kingdom: 41% 🇳🇿New Zealand: 41% 🇦🇺Australia: 43% 🇨🇳China: 44% 🇺🇸United States: 45% 🇰🇷South Korea...
  10. I am Groot

    Yesu alitoa muongozo na majibu ya maswali ya taratibu za talaka kwenye ndoa, kwa nini watawa wa kanisa katoliki hawaoi?

    Kwenye Suala la kutoa talaka: Yesu aliwajibu wafarisayo walipomjaribu; Wakamuuliza: “Basi, kwa nini Musa aliagiza kutoa cheti cha kumfukuza na kumtaliki?” 8 Akawajibu: “Musa aliwaruhusu kuwataliki wake zenu kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, lakini haikuwa hivyo tangu mwanzo. Ninawaambia...
  11. MamaSamia2025

    Mstaafu mwenye umri wa miaka 53 amejiua kwa kujichoma moto baada ya mahakama kuamuru kuuza mali zote na kugawana na mkewe mara baada ya kupeana talaka

    Lusaka, ZAMBIA Mnamo saa 09:10asbh Machi 5, 2024, Kituo cha Polisi cha Muwanjuni kilipokea ripoti ya kusikitisha ya tukio la kujiua kutoka kwa Bw. Emmanuel Mutale, mwenye umri wa miaka 42, mkazi wa kijiji cha Selengwe katika eneo la Maili Kumi. Bw. Mutale aliripoti kuwa rafiki yake, Bw. Charles...
  12. OKW BOBAN SUNZU

    Kenya yafuta 50/50 baada ya talaka, unachukua ulichochangia

    Ndugu zangu katika JF tujadili jinsi ya kuanzisha hili vuguvugu ambalo litasababisha mabadiliko ya sheria. Kila mtu aondoke na alichochuma. Hii itasaidia sana kuimarisha ndoa
  13. Damaso

    Somo Kubwa wanaume tumepewa kutoka kwa Erik Spoelstra

    Nilipokuwa ndo ninaanza kubalehe marehemu Babu aliwahi kuniambia “Ukitaka kuwa na Maisha mazuri na yenye furaha kama mwanaume basi usije kuoa! Mwanamke anakondesha Mjukuu! Mwanamke sio ndugu yako kabsa! Kaa nao mbali!" Sikuelewa hata kidogo ila nilipotimiza miaka kadhaa mbeleni nikaanza...
  14. JanguKamaJangu

    Njombe: Wanandoa 61 waomba Talaka ndani ya siku 44

    Imeripotiwa kuwa takribani Wanandoa 61 wamepeleka maombi ya Talaka kwa ajili kuvunja ndoa katika Baraza la Kata ya Kivavi, Halmashauri ya Mjini wa Makambako Mkoani Njombe kwa kipindi cha mwezi mmoja na wiki mbili kuanzia Novemba hadi Desemba 20, 2023. Mwenyekiti wa Baraza la Kata ya Kivavi...
  15. Mhaya

    NJOMBE: Watu 61 wadai talaka ndani ya miezi 6

    Wanandoa 61 wamepeleka maombi ya talaka kwa ajili kuvunja ndoa zao katika Baraza la Kata ya Kivavi Halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe kwa kipindi cha mwezi mmoja na wiki mbili kuanzia November hadi December 20 mwaka huu. AyoTV imezungumza na Mwenyekiti wa Baraza hilo Muhimba Payovela...
  16. F

    Ni sahihi kusema Talaka ya Malaya ni Makofi ?

    Habari wadau. Vijana wanasema talaka ya malaya ni makofi. Je wapo sahihi Nimeona tik tok vijana wanaimba na kucheza kwamba Talaka ya malaya ni makofi
  17. Mr George Francis

    Fahamu kuhusu talaka na taratibu zake katika Uislam

    FAHAMU kuhusu TALAKA na taratibu zake katika UISLAMU. Sehemu Ya 1 ‏اَلسَلامُ عَلَيْكُم وَرَحْمَةُ اَللهِ وَبَرَكاتُهُ‎) As-salāmu alaikum wa-rahmatullahi wabarakātuh. Peace be upon you as well as God's mercy and blessings. Amani iwe juu yako pamoja na rehema na baraka za Mwenyezi Mungu...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    Nawakumbusha, Ndoa ndio ina talaka lakini Mapenzi hayana Talaka

    NAWAKUMBUSHA, NDOA NDIO INA TALAKA LAKINI MAPENZI HAYANA TALAKA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Huwezi amua kumpenda Fulani. Upendo upo naturally. Mapenzi ni naturally. Mapenzi ya kuamua ni bandia. Huwezi amua umpende Fulani. Nataka kusema, mapenzi yapo nje ya uamuzi wa Mtu. Ila kumfanya...
  19. G-Mdadisi

    Kamati za Kupinga Ukatili Zanzibar zashauri Elimu ya Ndoa Ianze kutolewa kwenye taasisi za Elimu kupunguza Talaka

    ZANZIBAR KAMATI za kupinga vitendo vya Udhalilishaji Zanzibar zimeshauri kuundwa kwa mfumo utakaotoa fursa elimu ya ndoa kuanza kufundishwa katika ngazi mbalimbali kwenye taasisi za elimu ili kutoa nafasi kwa vijana kujifunza misingi ya ndoa na kuielewa kabla ya kuingia kwenye ndoa. Wameeleza...
  20. lord atkin

    Kesi ya diamond karanga, Wasafi na Kusaga ilivyofika mwisho mahakamani

    DIAMOND PLATNUMZ NA DIAMOND KARANGA ILIVYOGEUKA TALAKA YA CHOZI Na Luqman MALOTO INGEWEZEKANA, yaliyowezekana kwenye movie ya Superman mwaka 1978, yangewezeshwa katika ulimwengu halisi. Superman alipaa nje ya dunia, akailazimisha sayari kurudi kinyumenyume. Kwa sayari kurudi reverse, muda nao...
Back
Top Bottom