tamwa

The Tanzania Media Women’s Association (TAMWA) - Swahili: Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (CHAWAHATA) - is a nonprofit non-governmental organization focused on women's rights and children's rights, based in Dar es Salaam, Tanzania, and they also keep an office in Zanzibar.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone mwamba

    TAMWA na TCRA waandaa Tuzo za Umahiri za Waandishi wa Habari 'Samia Kalamu Awards 2024'

    Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wameandaa tuzo za umahiri kwa waandishi wa habari Watanzania zinazojulikana kwa jina la “Samia Kalamu Awards 2024.” Zoezi la kutoa tuzo hizo linatarajiwa kufanyika Novemba mwaka huu 2024...
  2. JanguKamaJangu

    Dkt. Mzuri (TAMWA – Zanzibar): Wanahabari kuweni wajasiri na wabunifu katika kuibua Wanawake kushika nafasi ya Uongozi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) - Zanzibar, Dkt. Mzuri Issa amewataka Waandishi wa Habari nchini kuwa Mabalozi kwa kuandika habari zinazohusu masuala ya Wanawake na uongozi. Wito huo ameutoa leo Oktoba 8, 2024 wakati akifungua warsha ya siku ya mbili ya...
  3. G-Mdadisi

    Kamati ya kitaifa Usawa wa Kiuchumi yazipongeza MIF, TAMWA ZNZ kuwezesha Wanawake Kupata Haki zao

    KAMATI ya Kitaifa ya Ushauri kuhusu utekelezaji wa Programu ya Kizazi Chenye Usawa wa kiuchumi (GEF) imezipongeza taasisi zinazowezesha upatikanaji wa haki za wanawake na watoto Zanzibar kwa jitihada zake za kukuza haki na usawa wa kiuchumi kwa makundi yote. Pongezi hizo zimekuja kufuatia ziara...
  4. G-Mdadisi

    Mkurugenzi TAMWA Zanzibar avitaka Vyombo vya Habari kuripoti kwa kina Mapungufu Sheria za Habari ili zifanyiwe marekebisho

    Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar (TAMWA ZNZ), Dkt. Mzuri Issa, amehimiza vyombo vya habari kuripoti kwa kina mapungufu ya sheria za habari za Zanzibar ili zifanyiwe marekebisho na kutoa fursa kwa wananchi kupata habari bila vikwazo. Akizungumza na...
  5. Stephano Mgendanyi

    Waziri Mhagama awahimza TAMWA kuwekea mkazo ajenda ya Uhuru wa Kujieleza unaojumuisha sauti za Wanawake

    Waziri Mhagama Awahimza TAMWA Kuwekea Mkazo Ajenda ya Uhuru wa Kujieleza Unaojumuisha Sauti za Wanawake Chama cha wahandishi wa habari wanawake Tanzania (TAMWA) kimetakiwa kuweka mkazo mkubwa katika uhuru wa kujieleza unaojumuisha sauti za wanawake ndani ya ajenda ya jumla ya haki za binadamu...
  6. G-Mdadisi

    TAMWA Zanzibar Calls for a halt of Abuse of Children through Social Media

    Tanzania Media Women’s Association, Zanzibar (TAMWA - ZNZ) urges the community to refrain from recording children and posting on the social media networks after they have been subjected to humiliating acts. By doing so, is to aggravate the problem and is humiliating them even more. Following...
  7. G-Mdadisi

    Utafiti wa tamwa Zanzibar wabaini kasoro, ufanisi mahakama maalum ya udhalilishaji zanzibar

    ZANZIBAR SERIKALI imeshauriwa kukarabati na kuboresha miundombinu ya Mahakama maalum ya udhalilishaji Zanzibar ikiwa ni pamoja na kuwezesha matumizi ya ushahidi wa kielektroniki hasa kwa kesi zinazohusu watoto ili kuwa rafiki kwa wanaotumia mahakama hizo na kuwezesha upatikanaji wa haki katika...
  8. G-Mdadisi

    Uzinduzi wa waraka wa mapendekezo ya sheria ili wanawake wengi washike nafasi za uongozi

    Asasi za kiraia zinazotetea haki za wanawake Zanzibar kwa pamoja zitazindua waraka wa mapendekezo ya sheria ambao una lengo la kuwawezesha wanawake wengi kupata haki ya kushika nafasi za uongozi katika ngazi za maamuzi. Uzindizi huo utafanyika siku ya Alhamis tarehe 05 Oktoba, 2023 katika...
  9. G-Mdadisi

    Mkurugenzi TAMWA ZNZ ataka Vijana, Wanawake kujiamini kugombea nafasi za uongozi

    MKURUGENZI wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar (TAMWA-ZNZ), Dkt. Mzuri Issa, amewashauri wanawake kujiamini na kuondosha woga wakati wa kugombea nafasi za Uongozi ili kuleta mabadiliko chanya katika jamii. Dkt. Mzuri ameyasema hayo akifungua mafunzo ya siku mbili ya...
  10. G-Mdadisi

    TAMWA ZNZ, MCT urge political parties in the country to allow their privileged female members to use their fundamental right to express themselves

    PRESS RELEASE 05th September, 2023. In a joint press statement issued by Tanzania Media Women’s Association (TAMWA Zanzibar), Media Council of Tanzania (MCT) Zanzibar, Union for Journalists who write Development Stories Zanzibar (WAHAMAZA), and Zanzibar Press Club (ZPC) in collaboration with...
  11. G-Mdadisi

    TAMWA ZNZ, MCT, wadau wa Habari watoa tamko Mjumbe Tume ya Uchaguzi Zanzibar kuzuiwa kuzungumza baada ya Kuapishwa na Rais Mwinyi

    CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA Zanzibar), Baraza la Habari Tanzania (MCT), Jumuiya ya Waandishi wa Habari za Maendeleo Zanzibar (WAHAMAZA), pamoja na Klabu ya Waandishi wa Habari Zanzibar (ZPC), zikishirikiana na Kamati ya Wataalamu wa masuala ya habari Zanzibar (ZAMECO)...
  12. G-Mdadisi

    TAMWA ZANZIBAR requests political parties to support the efforts of women who have the intention to participate in leadership roles

    The Tanzania Media Women's Association, Zanzibar (TAMWA-ZNZ), urges women to remain steadfast in their attempt to vie for political leadership position, overcoming any possible challenges that women often face when entering leadership positions to increase their participation in decision-making...
  13. G-Mdadisi

    TAMWA Zanzibar yaomba vyama vya Siasa kuunga mkono wanawake wenye nia ya kushiriki katika uongozi

    CHAMA cha waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar (TAMWA-ZNZ) kinawataka Wanawake kuwa wajasiri na kujitayarisha kiuongozi bila kuogopa changamoto zinazowakabili wanawake wanapoingia katika uongozi ili kuongeza ushiriki wao kwenye vyombo vya maamuzi. Idadi ndogo ya wanawake katika...
  14. G-Mdadisi

    Mauaji Wanawake wawili Zanzibar. ZAFELA, TAMWA ZNZ wataka wahusika wakamatwe

    TAARIFA KWA VYOMBO HABARI 28-Mei-2023 Jumuiya ya Wanasheria Wanawake Zanzibar (ZAFELA) na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar (TAMWA ZNZ) zimesikitishwa kwa vitendo vya mauaji ya kikatili dhidi ya wanawake wawili yaliyotokea hivi karibuni Bububu Kijichi na Mbuzini...
  15. G-Mdadisi

    TAMWA Zanzibar supports establishment of a standalone Ministry for Women

    Tanzania Media Women’s Association- Zanzibar (TAMWA-ZNZ) is sincerely extending its gratitude to The President of Zanzibar HE. Dr. Hussenin Mwinyi for his new thought of creating a special Ministry which among other things will be dealing with Women affairs outside the then arrangement of...
  16. beth

    TAMWA: Jamii inawajibika kukemea vitendo vya Ukatili Wa Kijinsia

    Kuelekea maadhimisho ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia, kila mmoja katika Jamii ana wajibu wa kukemea vitendo vya Ukatili Wa Kijinsia na kutoa Elimu juu ya madhara ya vitendo hivyo Usawa wa Haki, Uwajibikaji na Elimu kwa wote ni muhimu kupunguza matukio ya unyanyasaji wa kijinsia TAMWA
  17. beth

    TAMWA: Elimu itolewe kupunguza ukatili wa kijinsia

    Je wajua kuwa, kiwango cha kufanyiwa ukatili wa kijinsia kwa mwanamke kinaweza kuongezeka kutokana na kiwango cha elimu, dini, kabila, umri, utaifa na hata hata ulemavu? Elimu itolewe kwa makundi yote ili kufikia malengo ya kupunguza ukatili huu katika Nyanja zote. TAMWA
  18. beth

    TAMWA: Mila kandamizi zinazochochea ukatili dhidi ya Wanawake

    Mila kandamizi zimetajwa kuwa chanzo cha ongezeko la Ukatili dhidi ya Wanawake, na jambo hilo linapaswa kukemewa ili kumaliza Mila hizo Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) kimetaja baadhi ya Mila hizo kuwa ni pamoja na Wanawake kuzuiwa kufanya kazi Migodini kwa madai wanapokuwa...
  19. G-Mdadisi

    Utafiti: Vyombo vya Habari vina upungufu wa habari za uchambuzi wa matatizo ya wananchi

    Na Gaspary Charles - TAMWA ZANZIBAR IMEBAINISHWA kuwa vyombo vya habari bado vinakabiliwa na ukosefu wa maudhui ya kutosha ya kiuandishi yatokanayo na uchambuzi wa masuala mbalimbali katika jamii jambo ambalo linapelekea matatizo na kero za wananchi kushindwa kutaftiwa ufumbuzi kwa wakati...
  20. G-Mdadisi

    TAMWA Zanzibar yaviomba Vyombo vya Sheria kuwachukulia hatua wanaopiga na kuua wanawake na watoto

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Chama cha waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar (TAMWA, ZNZ), kinaviomba vyombo vya ulinzi kuhakikisha vinawakamata na kuwafikisha Mahakamani watuhumiwa waliohusika na vitendo vya upigaji na uuaji wa wanawake na watoto vilivyotokea hivi karibuni, hapa...
Back
Top Bottom