tanesco geita

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TANESCO yatangaza kuzima umeme katika Wilaya mbalimbali za Geita siku ya Jumamosi

    Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuzimwa kwa njia kuu ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovoti 220 kutoka Shinyanga hadi Bulyanhulu, pamoja na vituo vya kupoza umeme vya Bulyanhulu, Geita, na Nyakanazi. Hatua hii inatokana na matengenezo ya kuunganisha transfoma mpya katika...
  2. E

    KERO TANESCO Geita kuna shida gani? Mbona umeme unakatika sana?

    Nina siku kadhaa nipo Geita lakini hii trend ya kukatika umeme isiyo na ratiba maalumu inatia shaka utendaji kazi wa watumishi walioko huko ofisini Wenyeji mnaonaje?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…