tanganyika law society

Tanganyika Law Society is the organisation which is part of the bar association of Tanzania Mainland which was founded in 1954 by an act of parliament-the Tanganyika Law Society Ordinance 1954.

View More On Wikipedia.org
  1. Pascal Mayalla

    Kwa la Bandari, Pongezi TLS. Katiba yetu imenajisiwa. Bunge limetunga Sheria batili. Haki za Watanzania zimeporwa. Kwanini TLS wamenyamaza kimya?

    Wanabodi, Nikiwa ni mwanachama wa TLS, nimeisoma taarifa ya TLS kuhusu issue ya Bandari na DPW, kiukweli kabisa TLS inastahili pongezi za dhati!, imefunga huu mjadala, ingekuwa mimi ni Mnyamwezi, Kinyamwezi hii inaitwa "funga kalomo", yaani funga mdomo!. Taarifa hii ya TLS ni funga kazi, na...
  2. sifi leo

    Vyama vya kitaaluma viko wapi? Tanganyika Law Society tuongozeni tupinge hili

    Vi Wapi vyama vya kitaaluma? Kuna sheria mbovu na ya ajabu inazunguka kwenye mitandao yetu hapa Tanzania Yaani HII ya mabadiliko ya sheria ya Usalama wa Taifa mi wapi wanasheria? Yaani mswada unapendekeza Usalama wa Taifa wapewe Kinga Kwa makosa ya kijinai kweli?kweli kabisa Usalama wa Taifa...
Back
Top Bottom