Tanganyika was a sovereign state, comprising the mainland part of present-day Tanzania, that existed from 1961 until 1964. It first gained independence from the United Kingdom on 9 December 1961 as a state headed by Queen Elizabeth II before becoming a republic within the Commonwealth of Nations a year later. After signing the Articles of Union on 22 April 1964 and passing an Act of Union on 25 April, Tanganyika officially joined with the People's Republic of Zanzibar and Pemba to form the United Republic of Tanganyika and Zanzibar on Union Day, 26 April 1964. The new state changed its name to the United Republic of Tanzania within a year.
Leo nimeona mjadala mkubwa umekuwa ukiendelea kuhusiana na utofauti wa bei ya lita moja ya mafuta kati ya Zanzibar na Tanganyika.
Na picha zikisambaa mitandaoni kuonesha Zanzibar lita moja ni 2600+ TZS wakati Tanganyika ni 3100+ TZS, huku swali kubwa likiwa inakuaje bei iko chini Zanzibar...
TAARIFA YA MIAKA 58 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR.
1. UTANGULIZI
Ni historia ya kupigiwa mfano kwa Taifa letu kwamba tunaadhimisha miaka 58 ya Muungano wetu. ambapo nchi mbili huru, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ziliungana rasmi siku ya tarehe 26-04-1964...
Tumelishwa imani nisiyojua nini maana yake. Licha ya Tanzania kuungana na Zanzibar bado Mombasa wana maingiliano makubwa ya kitamaduni na Unguja na Pemba nadhani kuzidi hata Dar es Salaam.
Je, Nani anaweza kufafanua manufaa ambayo Tanganyika imeyapata kutokea muungano ya kiuchumi, kisiasa na...
Katika kuadhimisha Miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Rais Samia Suluhu Hassan amewasamehe wafungwa wapatao 3,826 kwa masharti mbalimbali
Msamaha huo utahusisha Wafungwa wanaotumikia adhabu kwa makosa ya usafirishaji wa Dawa za Kulevya ambao wamekaa gerezani kuanzia miaka 20 na...
Inakuwaje watu wa bara wanashadadia, kupambania na kuutetea ugali ambao hawana mgao wake.
Kuna binti mnaijeria alikuja Zanzibar mwaka jana kusherekea birthday yake, she claims that angebakwa isingekuwa kusingizia ana ukimwi ila hata hivyo bado aliibiwa takribani milioni 2.4, alipoenda polisi...
Wakuu naomba kujuzwa ukweli wa hili, kuwa baada ya mapinduzi ya Zanzibar, kulikuwa na wanasiasa wenye ushawishi wakiongozwa na Abdulrahman Babu wa Umma Party ambao walikuwa na itikadi za kikomunisti na wangeweza kuifanya Zanzibar kitovu cha Ukomunisti Afrika Mashariki
Kuzuia hilo , Waingereza...
Wananchi wa vijiji vya Bungwe, vikonge, Ngomalusambo katika kata ya Tongwe wilayani Tanganyika katika mkoa wa katavi wamekuwa wakikabiliwa na changamoto mbalimbali na kubwa zaidi ni kokosekana kwa zahanati katika vijiji vyao,.
Wanakijiji wa kutoka kijiji cha Bungwe wamekuwa wakisafiri umbali wa...
Hapo chini ni picha za baadhi ya mitaa iliyopewa majina ya wapigania uhuru wa Tanganyika:
Katika picha hizi picha ya kwanza inamuonyesha Ali Msham wa kwanza kulia akiwa na Baba Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika.
Ali Msham amefanya mengi ambayo...
1. Sheria zinazohusu urbanization. Kwao kwa vile kulikuwa na "mlipuko" wa industrialization, walihitaji ardhi kujenga viwanda and accompanying facilities na hivyo kuhitaji ardhi. Watu waliajiliwa, alternative means to sustain life.
Wasio na Ajira wakapata social security money to sustain life...
Wakati wa vita ya pili ya dunia Uingereza ilipatwa na upungufu mkubwa sana wa mafuta ya kula. Wakakaa chini wakaumiza vichwa wafanye nini. Wakakubaliana kulima karanga kwenye koloni lao la Tanganyika. Mipango ikafanywa, eneo linalofaa likatafutwa, wakapata huko Kondoa. Wakanunua matrekta...
Tanganyika/Tanzania Bara na Zanzibar zina idadi tofauti la ukubwa wa eneo, idadi ya watu, mikoa, Wilaya, majimbo, bila shaka na kata, vijiji na vitongoji.
Juzi nikasikia kuwa kwa zoezi la kuweka anuani za makazi Tanganyika imepewa sh. 1billion kila mkoa na Zanzibar sh. 500,000,000 (nusu bil.)...
KURASA DARASA TBC1: UCHAMBUZI WA MAGAZETI, MAJARIDA KATIKA HISTORIA YA TANGANYIKA
Leo nilikuwa na matembezi ndani ya mitaa na vichochoro vya Maktaba nikimzungusha Mtangazaji wa kipindi cha ''Kurasa Darasa,'' Bi. Maureen Minanago.
Bi. Maureen alitaka kujua sababu za mimi kuhifadhi baadhi ya...
RIZIKI SHAHARI: WANAWAKE KATIKA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA 1950s
Ilikuwa wakati Julius Nyerere yuko Musoma ndipo John Hatch kutoka Chama cha Labour cha Uingereza alipokuja Tanganyika kama mgeni wa TANU.
Chama kilifanya mkutano mkubwa sana Mnazi Mmoja na Hatch akawahutubia wananchi...
1. Wazanzibari walipoambiwa Zanzibar kuna mafuta walipambana hadi wakaondoa mafuta kwenye mambo ya Muungano lakini bado hela ya madini ya Mererani inaenda kununua CT scan hospitali za Pemba.
2. Wamepambana kuondoa bandari ya Zanzibar chini ya TPA na kuanzisha mamlaka yao ya bandari lakini bado...
MOHAMED SHEBE CAMERA YAKE NDIYO ILIYOTUHIFADHIA HISTORIA YA TANU, MWALIMU NYERERE NA UHURU WA TANGANYIKA
Picha hiyo hapo chini inamuonyesha Mohamed Shebe kushoto na anaefuatia ni John Rupia na kulia mwisho ni Julius Kambarage Nyerere.
Mohamed Shebe kaishi na viongozi hawa toka siku ya kwanza...
Tanganyika Wattle Company Limited is inviting applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for employment to fill the following vacant posts.
MECHANICAL ENGINEER - 1 POST
Required Qualification
Holder of Bachelor of Science Degree in Mechanical Engineering, or equivalent...
WATAALAMU "PROFESSIONALS" WA TANGANYIKA WANAFUNZI WA COUNT VICTOR LUSTIG
Uzuri wa Tanganyika ni kuwa unaweza kukodi kila aina ya huduma na kwa kweli fani hii ina wataalamu mabingwa khasa.
Mathalan una jambo lako lakini halinogi sharti uwapate masheikh.
Hawa "wataalamu professionals," watataka...
TANZANIA BARA, ZANZIBAR KUTEKELEZA KWA PAMOJA ANWANI ZA MAKAZI
Utekelezaji Tanzania Bara wafikia 3% na Zanzibar 7%
Ifikapo Mwezi Mei, 2022 utekelezaji unahitajika ufike 100%
Anwani kupatikana kwenye programu tumizi maalum ya TEHAMA ya NaPA
Kutekelezwa kwa Shilingi Bilioni 28...
1. Kwanini hii bajeti inajumuisha wizara zote za muungano na zisizo za muungano?
2. Bajeti inayoishia 2021/2022, trilioni 39 Zanzibar imechangia kiasi gani kwenye makusanyo?
3. Hii misaada na mikopo kuna formula ya mgao kati ya Tanzania bara na Zanzibar Ila sijaona formula ya kulipa mikopo hii...
DEDAN KIMATHI ALINYONGWA SIKU KAMA YA LEO 1957
Nimeona hapa barzani imewekwa taarifa ya kunyongwa Dedan Kimathi siku kama ya leo mwaka wa 1957.
Taarifa hii imenigutua na nimefunua kitabu cha Abdul Sykes kuangalia kile nilichoandika kuhusu Dedan Kimathi.
Naweka hapo chini yale ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.