tangazo

  1. Yoda

    CHADEMA mnahitaji tangazo jipya bora la TONE TONE, hili la sasa halitafika mbali.

    Tangazo la TONE TONE la CHADEMA la sasa linaonyesha zaidi ufahari na lenye kuwakilisha mazingira ya tabaka la mjini na kishua zaidi. CHADEMA, halina msisitizo na msisimko wa wale mnayopigania au kuhitaji kutoka kwa jamii.
  2. kyagata

    Kwa sisi ambao haipiti siku bila kugegeda,hili tangazo la serikali tulieleweje?

    Wakuu. Nimelia sana,kuona hili tangazo la serikali.
  3. W

    Natafuta dalali wa kiwanja

    TANGAZO: NATAFUTA DALALI WA KIWANJA Natafuta dalali wa kusaidia kuuza kiwanja changu kilichopo Bukoba Mjini. Kiwanja kina eneo zuri, kipo kwenye mahala pazuri kwa makazi au biashara, na kina hati halali. Dalali anayejua soko la viwanja Bukoba na anaweza kupata mteja haraka awasiliane nami...
  4. detected

    TANGAZO LA KAZI YA MUDA MFUPI - MWANZA

    Nafasi: Wasaidizi wa Kukusanya Data za Wateja Eneo: Mwanza Mjini Muda wa Kazi: Mwezi Mmoja Mwisho wa Maombi : 27-02-2025 CollectTech Limited inatangaza nafasi za muda kwa vijana wanaoishi Mwanza Mjini kwa ajili ya kazi ya kukusanya data za wateja. Sifa za Mwombaji: • Awe mkazi wa Mwanza...
  5. El marabiosh

    UTUMISHI: Tabia ya kutoa tangazo halafu mnaita watu kwenye usahili baada ya miezi tisa mkome.

    itaendelea wiki ijayo..
  6. OC-CID

    Mbona sijawahi kuona tangazo la Safari Lager au Serengeti Lite kwenye chaneli za Azam?

    Wakuu kwema… Tupo huku tunavuna viazi na wananzengo wenzangu. Hoja ikaibuka, mbona hatujawahi kuona tangazo la kilimanjaro lager, safari lager, serengeti lite na vinywaji vya namna hiyo katika chaneli za Utv, Azam one & two, Azam Sports 1, 2, 3, 4 wala Sinema Zetu. Mdau mwingine akasema yeye...
  7. Pdidy

    HUYU MWL MBWAWA LUTHERAN SCHOOL UPENDO MSIENDELEE KUONYESHA HILI TANGAZO N AIBU SANA

    HABARI WANA NDUGU NINEANDIKA HUKU BAADA YA KUSHAURI HII TV WAONDOE HILO TANGAZO TANGAZO LIKO HIVI ANATOKEA MWL WAO ANASEMA INAKUPA NN MWANAO KUFAULU KWENDA FORM FIVE BILA KUWA NA NIDHAMU INAKUPA NN MWANAO KUPATA DIV ONE BILA KUWA NA NIDHAMU NILIPOCHOKA WANAONYESHA MATOKEO YAO HAHA WANA DIV...
  8. T

    TANGAZO LA KAZI MAKONDAKTA NA WAHASIBU

    ..
  9. C

    Tangazo hili la Yas linanitia mashaka

    Kuna tangazo moja la kampuni ya Yas,Mtu mmoja anadai ni mkazi wa kijiji kimoja kule wilayani Mkinga,Tanga anajinadi kwamba ameshinda bahati nasibu ya kampuni ya Yas kupitia promotion ya Giftishe na magifti na anajitaja kwa jina sijui Athuman Athuman na baadaye anasikika mama yake naye akishukuru...
  10. Binadamu Mtakatifu

    Tangazo la ajira: Graphic designer & digital marketer

    Tunatafuta mtaalamu mwenye ujuzi katika Graphic Design na Digital Marketing kwa ajili ya kujiunga na timu yetu. Mtu anayefaa kwa nafasi hii anatakiwa kuwa mbunifu, mwenye uelewa mzuri wa masoko ya kidijitali, na uwezo wa kuandaa maudhui yanayovutia. Majukumu: Kubuni na kutengeneza nyenzo za...
  11. J

    Tangazo la ajira

    HABARI !!!NAHITAJI KIJANA WA KIUME ANAEJUA KUPAKA KUCHA RANGI,KUBANDIKAKUCHA, NA KUBANDIKA KOPE ENEO :KATORO- GEITA MAWASILIANO 0693795737 MSHAHARA MAELEWANO Sourc: Ajirazone,on Instagram @ajirazone
  12. Pdidy

    Channel ten..rekebishen tangazo la mkutano WA ccm mwisho mmeandika tar mwezi Mwaka 2024Siku ya pili ♌

    Polen najua n MAKOSA ya kibinadamu Si mbaya tukayasahihisha Nimeangalia tangazo linasema kutakuwa na mkutano WA kamati kuu ccm Dodoma ANGALIEN mwishoni mmeandika tar mwezi sawa Mwaka 2024 badlaa ya 2025 Naamini tutaona tofauti Thx
  13. sulemoney

    Tangazo la kazi alafu linahitaji waombaji waliooajiriwa

    Wakuu naomba kueleweshwa, nimekutana na baadhi ya matangazo ya kazi ambayo Yana kigezo kimojawapo cha muombaji kuwa ni mwajiriwa na aambatanishe barua yenye muhuri kutoka ofisi aliyoajiriwa. Sasa nikajiuliza inamaana hawaoni wasiokuwa na ajira ni wengi mtaani? Ama hawaamini kupata mfanyakazi...
  14. S

    secretarieti ya ajira kuna tangazo linadai vijana wa uvccm ambao ni walimu wawasilishe taarifa zao kuna nini kinaendelea??

    hili ndo tangazo linalosambaa mtandaoni inadaiwa wanachama baadhi wa uvccm wamepokea huu ujumbe hili swala ni serious linahitaji ufafanuzi wa kina
  15. M

    Sekretarieti ya Ajira tunaomba ufafanuzi kuhuzu Ajira za walimu tangazo linalosambaa mtandaoni kwamba wenye kadi ya ccm watapewa kipaumbele

    Nimeweka tangazo kama linavyosomeka namba zilizotumika ni namba za UVCCM dar es salaam . Inaonekana vijana walio uvccm watapewa kipaumbele kwenye hizo ajira Huu ni mchezo ambao haukabiliki haiwezekanu tukaungiza siasa kwenye Ajira . Kua UVCCM haiwezi kukupa uhakika was Ajira tunaomba haki...
  16. DungaMawe

    Tangazo kwa wale wote mtasafiri kutoka mjini kwenda vijijini, hapa kuna mambo ya msingi ya kuzingati

    🇹🇿TANGAZO TANGAZO.🇹🇿 Kwa wale mnaokuja kula christmas vijijini zingatia yafuatayo: 1. Huku pia tuna TV lakini chaneli zetu ni TBC na ITV hakuna mambo ya kuangalia series na TV tunawasha kuanzia saa 2 usiku hivyo mkae kwa kutulia. 2. Mje na dada wa kazi huku hakuna mtu wa kubeba mtoto wako...
  17. Nelson Kileo

    Kwa wale mnaokuja kula Christmas vijijini, zingatieni yafuatayo

    1. Huku pia tuna TV lakini chaneli zetu ni TBC na ITV hakuna mambo ya kuangalia series na TV tunawasha kuanzia saa 12 jioni baada ya kutoka shamba, acheni shobo. 2. Mje na dada wa kazi huku hakuna mtu wa kubeba mtoto wako anaye deka-deka. 3. Hakuna kuchotewa maji ya kuoga, ndoo ya maji kutoka...
  18. fedrick philbarth

    Nahitaji kupata bajaji ya hesabu au mkataba, kwa yeyote anayemiliki

    Poleni na kazi wakuu, Mimi kijana nahitaji kupata bajaji ya hesabu au mkataba, kwa yeyote anayemiliki au anataka kufanya biashara ya bajaji basi mimi niko tayari. Napatikana Dar.
  19. infor

    Msimamizi wa ofisi anahitajika

    Anahitajika kijana mwenye ujuzi na elimu ya masuala ya biashara hususani kwenye sekta ya miamala ya benki na simu. MAJUKUMU -Kusimamia ofisi inayojishughulisha na masuala ya huduma za fedha (Financial services) -Kuandaa ripoti na hesabu za ofisi -Kubuni na kuteleza mikakati ya kuipanua na...
  20. Prof_Adventure_guide

    Twende tukaifahamu chemka hot springs kwa waliopo kilimanjaro na Arusha, Tangazo letu lipo hapo chini na mawasiliano yetu yapo kwenye Tangazo

    Habari! Karibu kwenye jukwaa la jamii yetu! Leo tungependa kujadili safari ya kutembelea Chemka Hot Springs. Kwa kufanya hivyo, wageni watajipatia fursa nyingi muhimu. Kwanza kabisa, kutembelea Chemka ni njia nzuri ya kupumzika na kujiondoa mbali na msongamano wa maisha ya kila siku. Pia, wageni...
Back
Top Bottom