Kuna wanawake makatili sana duniani, mwenzenu naandika uzi huu kwa uchungu sana, leo ilikuwa tarehe ambayo mwanangu angetimiza umri wa mwaka mmoja.
Kabla ya kuendelea mbele naomba niwajulishe kuwa rambirambi zote napokea PM.
Iko hivi, nilimtumia demu nauli ya kuja geto na akala nauli. Laiti...