tarehe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. CCM kukutana tarehe 02/ 09

    Kamati kuu ya CCM inatarijia kukutana tarehe 02/09/2024 huku pamoja na mambo mengine huenda Makamo Mwenyekiti wa CCM atajulikana baada ya Vikao hivyo. Chanzo: CCM
  2. Gazeti la Mwangaza, linaangaza kila mahala Jumatano ya tarehe 27 Agosti, 2024.

    Gazeti la Mwangaza, linaangaza kila mahala Jumatano ya tarehe 27 Agosti, 2024.
  3. Tarehe yaleo mwanangu angetimiza mwaka 1 kamili

    Kuna wanawake makatili sana duniani, mwenzenu naandika uzi huu kwa uchungu sana, leo ilikuwa tarehe ambayo mwanangu angetimiza umri wa mwaka mmoja. Kabla ya kuendelea mbele naomba niwajulishe kuwa rambirambi zote napokea PM. Iko hivi, nilimtumia demu nauli ya kuja geto na akala nauli. Laiti...
  4. Kwahiyo kumbe tarehe 8 August, 2024 tulijua iwe isiwe Tutafungwa nao tu ndiyo maana tukaandaa Mashabiki wa Kutetea Kikosi ili Kutuliza hali?

    Halafu Wenzetu wakiwa Kutwa wanatucheka JF kuwa hatuna Akili tunakuja hapa Kuwalaumu wakati wako sahihi 100%.
  5. Tafadhali ID yangu hii isipoonekana kuanzia Saa 3 Kamili za Usiku wa Leo tarehe 8 August,2024 basi jueni kuna tatizo Kubwa la Mtandao huku niliko

    Nimeamua kutoa mapema tu Taarifa hii ili ID yangu isipoonekana kuanzia Saa 3 Kamili ya Usiku wa Leo msinishangae.
  6. Siri ya Tarehe 8 Agosti: Je, Unajua Maadhimisho Muhimu ya Siku Hii?

    Tarehe 8 Agosti ni siku muhimu inayoadhimishwa kwa matukio tofauti duniani kote. Ingawa kila tukio lina umuhimu wake wa kipekee, yote yanashiriki lengo moja la kuhamasisha na kutoa uelewa juu ya masuala muhimu katika jamii zetu. Hebu tuangalie kwa undani zaidi matukio haya na umuhimu wake. 1...
  7. Tafadhali visingizio vifuatavyo hatuvihitaji Kesho tarehe 8 August, 2024 kuanzia Saa 3 Kamili za Usiku sawa?

    1. Tumewaonea tu Huruma nanyi mshinde ili mfurahi 2. Tumewaachia ili msije Kuuana bure 3. Tumeshachukua letu la Kwanza kwa Mandele hivyo tulitaka nanyi mchukue lenu kwa Nyerere 4. GENTAMYCINE alishasema kuwa Mwamuzi ni Shabiki mwenzenu hivyo tulijua tu tutakufa 5. Tumeshachoka kila mara...
  8. Tarehe 4 August, 2024 tutashuhudia Wapambaji wa aina Kuu tatu ambazo zinatamba Duniani

    1. Mpakwa Mafuta ( Masaki na Temeke Uwanja wa Uhuru ) 2. Bia Kijiti daima ( Sinza na Tandale ) 3. Maisha ya Matumaini ( Masaki, Kariakoo, Ilala na Buguruni ) Imeshaisha hiyo.......Kudadadeki.....!!
  9. Tafadhali mlio nje ya Tanzania mtatumia Mbinu gani kuangalia katika Simu haya Matukio ya tarehe 3, 4 na lile Kubwa la 'Kufa Jitu' la tarehe 8?

    Ni matukio ambayo GENTAMYCINE sitaki kabisa kuyakosa hasa hasa lile la tarehe 8 August, 2024 litakalokufa Jitu huko.
  10. TFF mlitumia kigezo gani hadi mkalazimisha Maiti icheze na Muoshaji tarehe 8 August, 2024?

    TFF mna Roho Mbaya sana na wala hamna Huruma. au mna Agenda yenu ya kutaka Watu wavurugane zaidi mapema yote hii?
  11. Bado sijaiona Simba SC ya kuifunga Yanga SC tarehe 8 August, 2024 labda wana Simba SC wote tutoane Kafara tufe ndipo tuwafunge

    Hapa tutafarijiana tu ila kiukweli na hasa Kiufundi hasa kwa maeneo yote Simba SC ya sasa kwa Yanga SC bado mno.
  12. Simba mnaweza Kujifunza kwa Kilichomkuta Kaizer Chiefs Leo, ila kwakua nyie ni sikio la kufa subirini tarehe 8

    Habari Hongera na weekend! Nianze hivi kilichomkuta Kaizer sio kusema kanunuliwa sio kusema sijui ana udhamini wa GSM ni kapigwa Mpira unaitwa Kosa Kujisahau tu. Kwa wasiojua Kaizer Alienda Pre season nje ya Sauzi na tangu atangazwe NABI alikua hajapoteza huko Pre-Season yani ilikua full dozi...
  13. Yanga anaanda kikosi Cha CAFCL, niwatoe hofu Simba tarehe 8 leteni timu msiogope Wala Yanga hawana tatizo na nyie, sisi ni ndugu

    Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane! Nikimnukuu kocha wa Yanga alichosema baada ya kumalizika mchezo huko Kwa Madiba Gamondi "You know Yanga & Simba are friends,so here in South Africa I prepare my team because of CACL,iam not here for Simba,So let I assure the Simba fans, we're brothers...
  14. Shabiki wa Simba hakikisha unavaa SANDA yako tarehe 8

    Hongera sana boss MO na Sandaland kwa kutengeneza sanda janja (smart sanda). Tarehe 8 Simba itaandika historia mpya kuwa timu yakwanza kufa kwa bao 10 bila kwenye mechi za ngao ya jamii. Kwa kulitambua hilo, maboss wameandaa sanda kwa kila shabiki na mwana chama ili kupunguza gharama za...
  15. K

    Naomba niulize hivi 4 R zilianza tarehe ngapi na mwezi upi hapa Tanzania?

    Naenda kwenye maada Moja Kwa Moja hivi 4R za mama Samia chimbuko lake na zilianza kutumika lini hapa Tz. Ahsante naomba kuwasilisha
  16. Tarehe 8 msipoleta timu tunawafuata huko huko Bunju

    Nyie sinamzijua sana kejeli? Nyie si mna midomo? Nyie si mmesajili mnauhakika? Tarehe 8 . 8 ni siku kuu ya wakulima hivyo siku hiyo tutahakikisha msipoleta timu uwanjani tutawafuata huko huko Njubu na tutawapeni ZAWADI za matikiti kabla hayajadondoka Ili mzipelekee familia zenu! Ubuyu Ubwete!
  17. Maandamano mapya tena tarehe 16 mwezi wa 7 huko Kenya

    Ruto anapata wakati mgumu wakenya wamepanga tena maandamano siku ya Jumanne ambayo tarehe 16 mwezi huu. Lengo ni kuondoka madarakani Ruto si vingine hata abadilishe nini?
  18. K

    Tarehe 30/06/2024ni Killed Cha Maadhimisho ya Kupinga utengenezaji, utumiaji na usambaji wa madawa ya kulevya.

    Tukio ilo kitaifa litafanyika mkoa wa MWANZA Mh Waziri Mkuu atakua mgen rasmi wa jambo hilo kwenye uwanja wa Nyamagana.Brudan zitaanza saa 12:00 Karibuni sana.
  19. KESHO TAREHE 27 GENERATION Z WANATIMIZA TAKWA MOJA LILILOBAKI!.

    Wakuu Heshima mbele! Nilisoma yale ambayo Generation Z waliyasema na yote wameyatekeleza kwa asilimia 100%. Kesho 27/06 Waandamanaji wamesema watafunga njia kuu ya kuelekea nairobi na kuiteka ikulu kushuhudia ruto akisaini ili kuwafanya kuwa watumwa katika nchi yao. Na uzingatie vijana hawa...
  20. Mimi huyo tarehe 13 july 2024😁

    😁🤸
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…